Kumekuwa na mjadala mkubwa sana kuhusu ipi ni ligi bora kati ya la liga na EPL. Niseme kitu kimoja ambacho kinawachanganya watu ni vitu viwili: ushindani na ubora, watu wameshindwa kutofautisha both things.
Ligi ya Uingereza ni ligi ya ushindani lakini si bora, ukiangalia team kama Man U na Arsenal zina wachezaji baadhi ni wa kawaida ambao hata wakienda Leicester City number hawapati. Ndo maana wakicheza na team ndogo wanapata shida.
Ukiangalia team ya Man City ambayo ndio team bora kwa sasa EPL, ukimpeleka UEFA kajitahidi sana ni robo fainali. Kiufupi hawafanyi vizuri sana UEFA; mwaka jana kidogo ndo wamefanya vizuri lakini miaka 10 iliyopita mfululizo vilabu vya Hispania vime-dominate.
Ligi ya Hispania imekuwa ikifanya vizuri kutokana na ubora wa wachezaji walionayo pamoja na soka wanaocheza ndo maana vilabu vya uingereza vikikutana na vilabu vya hispain wanapata shida Sana.
Hitimisho: ingawa me ni mshabiki wa epl lakini kuhusu ubora wa ligi naona upo hispania but tukisema ligi ya ushindani naona upo epl.
Ligi ya Uingereza ni ligi ya ushindani lakini si bora, ukiangalia team kama Man U na Arsenal zina wachezaji baadhi ni wa kawaida ambao hata wakienda Leicester City number hawapati. Ndo maana wakicheza na team ndogo wanapata shida.
Ukiangalia team ya Man City ambayo ndio team bora kwa sasa EPL, ukimpeleka UEFA kajitahidi sana ni robo fainali. Kiufupi hawafanyi vizuri sana UEFA; mwaka jana kidogo ndo wamefanya vizuri lakini miaka 10 iliyopita mfululizo vilabu vya Hispania vime-dominate.
Ligi ya Hispania imekuwa ikifanya vizuri kutokana na ubora wa wachezaji walionayo pamoja na soka wanaocheza ndo maana vilabu vya uingereza vikikutana na vilabu vya hispain wanapata shida Sana.
Hitimisho: ingawa me ni mshabiki wa epl lakini kuhusu ubora wa ligi naona upo hispania but tukisema ligi ya ushindani naona upo epl.