duniani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rungwe88

    Watanzania kilio chenu tayari kimesikika duniani na mbinguni, futeni machozi sasa, ila fanyeni yafuatayo

    Watanzania ( Tanganyika) tumelia sana na mateso, mauaji, kutekwa, udhalilishaji, uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu uliofanywa na unaoendelea kufanywa na watawala wa sasa akiwemo Raisi feki na vibaraka wake wakiwemo viongozi wa vyombo vya usalama n.k Mateso hayo kwa watanzania yamefanyika...
  2. A

    Revolution za hatari zilizowahi kutokea duniani na faida zake

    1. French Revolution (1789–1799) – Ufaransa Faida zake: Iliangusha utawala wa kifalme wa kidikteta.Ilileta haki za kiraia, uhuru wa watu, na misingi ya demokrasia.Ilianza mfumo wa serikali ya wananchi (Republic). Vifo: Zaidi ya 300,000 (makadirio), ikijumuisha “Reign of Terror”. 2...
  3. Griss

    Hivi duniani hii inawezekana

    Ni dharau Kiburi Ulimbukeni Kukosa maarifa? Au uhuni? Mama Rais mtoto waziri Hii sikumbuki ilitokea nchi gani duniani yenye democrasia Toka nimezaliwa sijawai kusikia Wala kuona.
  4. mcTobby

    Kila nchi Duniani inapigana na Changamoto zake

    Ni ukweli usiopingika, Kila nchi kwa sasa inapigana na shida na Changamoto zake kuanzia za kisiasa na zile za kijamii. Kwa mfano , sasahivi kuanzia Mexico hadi kule Nepal au Indonesia Changamoto za kisiasa na za kijamii viongozi wanahaha kuzikabili. Mbaya zaidi kinachonyima Watawala na...
  5. ELI COHEN

    Ogopa sana hii connection inayoendana sambamba kuleta machafuko na taharuki duniani. "UKOMNONISTI-MLENGWA WA KUSHOTO-ITIKADI KALI"

    Kila muoneaji na mkandamizaji hapa duniani ni rafiki mkubwa wa china na urusi na analindwa kimaslahi na wao. Kila machafuko yanayotokea dunia kwa asilimia kubwa yanafadhiria na syndicates za kutoka mashariki ya kati. Liberals sasa Wameona vitabu vya kishoga vimepigwa marafuku, sasa wameanza...
  6. Samia atosha tukutane2030

    Kwa utafiti usio rasmi nimegundua kuwa Watanzania ndio wajinga nambari 1 duniani

    Kipimo cha uwezo wa mtu kufikiri au kipimo cha kupima ujinga wa mtu kichwani ni kuangalia jinsi anavyoweza kuchambua jambo analoambiwa au kusikia. Chukua simu zako mbili moja ivike uhusika mwingine, huyo mtu awe maarufu fanya kama unachati naye huyo mtu chukua screen shot weka mitandaoni. Kwa...
  7. digba sowey

    Saini petition hii Toka shirika la haki za binadamu duniani ili kuilazimisha Dunia na jumuia zote kumuadhibu SAMIA kwa mauaji ya watanganyika

    https://www.amnesty.org/en/petition/demand-accountability-for-the-repression-in-tanzania/ Taka Uwajibikaji Nchini Tanzania Chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, mamlaka za Tanzania zimekuwa zikinyamazisha kwa makusudi sauti za upinzani kwa kulenga wakosoaji wa serikali, waandishi wa habari, asasi...
  8. President of China

    Chama cha Mapinduzi (CCM) ni kati ya vyama 10 vikubwa duniani - Fahari ya Tanzania na Afrika; Je, mnalijua hili?

    UTANGULIZI Je, unajua kwamba Chama cha Mapinduzi (CCM) ni miongoni mwa vyama vya kisiasa vikubwa duniani? Wengi hawajui, lakini Chama cha Mapinduzi (CCM) chama tawala cha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni miongoni mwa vyama vikubwa zaidi duniani kwa idadi ya wanachama. Hii ni heshima kubwa...
  9. K

    Hongera Mama umekuwa kichekesho na kituko Duniani

    Hongera Mama umekuwa kichekesho na kituko Duniani kura fake 98% na video za wezi wa kura. Kusema chaguzi zilikuwa za haki Mama amekuwa ni kituko na kichekesho. Juzi nilikuwa Texas wanauliza kama nimetokea Tanzania au Kenya nikasema Tanzania kila mtu akacheka! Wanasema walikuwa wanaona video...
  10. D

    Hata kama kuna kitu angetamani kufanya, hawezi kufanya….she has no legitimacy, mbingu zimemkataa na dunia imemkataa

    Alichokifunga Mungu mwanadamu hawezi kukifungua. Huyu keshapigwa pin mazima, hawezi kufanya lolote hadi apishe hiyo ofisi. Baada ya Kaini kumwua ndugu yake Abeli, Biblia (katika Mwanzo 4:8–16) inaeleza mambo yafuatayo: Mungu alimlaani Kaini – Mungu alimwambia kwamba damu ya Abeli ilikuwa...
  11. B

    GE2025 Samia vs Suluhu: Gazeti la The Standard Kenya laonyesha jinsi uchaguzi wa 2025 Samia anavyoshindana mwenyenye bila mpinzani wa maana

    SAMIA vs SULUHU: The Standard’s front page reports how opposition parties have been effectively sidelined in Tanzania’s 2025 general elections, leaving President Samia Suluhu Hassan and the ruling CCM party with a largely uncontested path to victory. With leading opposition parties such as...
  12. R

    Nani kutoka Duniani wa kutusaidia kulifurusha jinamizi

    Toa maoni yako.
  13. Echolima1

    GRAPHIC VIDEO: Waarabu ni watu wakatili sana duniani.!!!

    Baada ya Magaidi wa Hamas kushindwa kwenye vita waliyoianzisha wao wenyewe Oct 07,2023 sasa hivi wamewageukia raia wasio na hatia kwa kuwapiga na kuwaua kwa njia za kutisha kabisa. Ukiondoa ukatili walio wafanye a wayahudi Oct 07,2023 sasa hivi magaidi hao wanawafanyia watu wao wenyewe kwa...
  14. GENTAMYCINE

    Ukinuna hapa duniani umetaka Mwenyewe

  15. Keynez

    Duniani kote hakunaga maandamano ya hivyo

    Kabla haujasoma ninachotaka kusema, embu tuelewane kidogo. Sijawahi kuisifia wala kuitetea CCM na serikali zake. Siungi mkono vitendo vyovyote vya unyanyasaji, utekaji, mauaji na uminywaji wa haki na uhuru wa raia wa Tanzania. Baada ya kusema hayo, naomba niendelee na mada yangu ya leo. Hauwezi...
  16. ELI COHEN

    Hii ndio genocide ya kwanza duniani ambapo wahanga wanasaidia kuua wahanga wenzao

    Baada ya kutungwa stori za uongo kuwa israel inasababisha genocide hapo gaza, ukweli wa mambo umejiidhirisha wenyewe kuonesha wauaji wa raia wa kweli ni wakina nani, lakini cha ajabu dunia imetulia. Hamas wanaendelea kuua wanachi wa gaza tena hadharani kwa hasira ya kushindwa vita.
  17. technically

    Samia na genge lake wamekataliwa duniani na mbinguni

    Unaweza sema ni kimavi au nukusi? Yaani yeye na genge lake wote wamekataliwa na Watanzania ni aibu kweli! Ilikuwa page ya yanga leo huyo chawa wa Samia baada ya kupositiwa.
  18. Mshana Jr

    MUGABE: Mfungwa aliyekuwa Rais msomi kuliko marais wote duniani

    Inaelezwa kuwa alikuwa ndiye Rais aliyekuwa na elimu kubwa kuwazidi Marais wote duniani alikuwa ni Rais wa Zimbabwe, Robert Gabriel Mugabe. Mugabe alizaliwa 21 February 1924 kule Kutama, Southern Rhodesia (Zimbabwe) miezi michache baada ya Southern Rhodesia kuwa koloni la Uingereza. Watu wake...
  19. Yoyo Zhou

    Jua yachomoza mashariki—upendeleo kwa China duniani waendelea kuongezeka

    Maneno kama “Mshiriki mwenye ushawishi mkubwa zaidi katika masuala ya kimataifa”, “Mshirika wa kuaminika”, “China inazidi kuvutia”. Yanasikika zaidi katika zama hizi. Hivi karibuni, hojaji zilizofanywa na mashirika mbalimbali ya kimataifa ya uchunguzi wa maoni zimeonyesha kuwa taswira ya China...
  20. Lycaon pictus

    Nchi za Magharibi zinaongoza kwa rushwa duniani

    Ukichunguza vizuri nchi hizi utaona ndiyo vinara wa rushwa duniani. Rushwa zao wamezifichaficha na kuzihalalisha kwenye makaratasi. US wanapeana rushwa kubwa kubwa wanazoita lobbying. Unakuta wafanyakazi wengi wa serikali wakistaafu wanaenda kupata kazi nono kwenye makampuni yaliyokuwa...
Back
Top Bottom