duniani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Brain Kingdom

    JamiiForums Tanzania Tabia ya wadada/wanawake kutosalimia huku Duniani mjiandae kwa mrejesho

    Naomba wahenga na wadau wa masuala ya jinsia na mshikamano kwenye jamii mtusaidie, hii tabia inayokuwa Kwa kasi ya wadada/ wanawake kutosalimia mzizi wake ni nini. Binadamu Hazina yake kubwa ni utashi wa kusalimiana. Kusalimia sio kutongozwa, na haimanishi ndio unajenga masndalizi ya...
  2. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Rais aliyetawala muda mrefu zaidi duniani anapigiwa kura tena leo

    Anaitwa Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, Afisa Mstaafu wa Jeshi anayehudumu kama Rais wa 2 wa Equatorial Guinea tangu Agosti 1979 baada ya kumpindua na kumhukumu kifo Mjomba wake Macías Nguema. Raia 425,000 wanapiga Kura katika Taifa hilo lenye watu 1,512,450. Obiang anachuana na Buenaventura...
  3. Poker

    JamiiForums Tanzania Wafalme wawili duniani. Unadhani nani alishinda hapo?

  4. MTV MBONGO

    JamiiForums Tanzania Zijue kampuni kubwa duniani zinazotengeneza ndege na nchi zinazozimiliki

    Wadau mjue haya: 1. BOEING-MAREKANI 2. AIRBUS-(ULAYA-Ufaransa, Ujerumani, Hispania) 3. BOMBARDIER-CANADA 4. COMAC-CHINA 5. MITSUBISHI-JAPAN 6. UAC-RUSSIA 7. EMBRAER-BRAZIL Nawakilisha
  5. L

    JamiiForums Tanzania Utoaji wa hewa chafu wa jeshi la Marekani wachangia mabadiliko ya tabianchi duniani

    Mkutano wa 27 wa Nchi Wanachama wa Makubaliano ya Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi unafanyika nchini Misri, na pande mbalimbali zinajadiliana jinsi ya kukabiliana na changamoto zinaozidi kuongezeka za mabadiliko ya tabianchi duniani. Nje ya mkutano huo, utoaji wa hewa chafu wa...
  6. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Leo ni 'Siku ya Bilioni 8', mtoto anayezaliwa popote duniani anaweka rekodi ya watu Bilioni 8

    Leo Novemba 15, 2022, idadi ya watu duniani inakadiriwa kufikia watu Bilioni 8, ambayo ni hatua muhimu katika maendeleo ya binadamu. Ukuaji huu ambao haujawahi kushuhudiwa unatokana na ongezeko la taratibu la maisha ya binadamu kutokana na kuboreshwa kwa afya ya umma, lishe, usafi wa kibinafsi...
  7. MTV MBONGO

    JamiiForums Tanzania Vijue vituo vya Televisheni vya kimataifa vinavyoongoza kwa watazamaji wengi duniani

    1. CNN (US) 2. BBC (UK) 3. DW (GERMANY) 4. ALJAZEERA (QATAR) 5. RT (RUSSIA) 6. SKY NEWS (UK) 7. VOA (USA)
  8. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Zaa kwa mahesabu, sio uzae watoto waje kufanywa Watumwa huku Duniani

    ZAA KWA MAHESABU, SIO UZAE WATOTO WAJE KUFANYWA WATUMWA HUKU DUNIANI! Anaandika, Robert Heriel Shahidi! UTUMWA! Usukule! Kutumwa tumwa! Kuvujishwa jasho pasipo malipo, Kulambishwa mavumbi ya viatu pasipo utu. Kuimba pambio katika wimbo wa walao nchi. Manamba na vibarua wa mashamba, HAO ndio...
  9. Killing machine

    JamiiForums Tanzania "Fanya haya mama ili ubaki kuwa mama bora duniani"

    a) vunja Katiba iliyopo lete Katiba mpya iliyo sahihi inayo egemea kwa 90% kwa Ile ya Warioba. b) Unda tume huru ambayo wasimamizi wa uchaguzi wata chaguliwa na wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi tu uchaguzi utakapo karibia. c) Baada ya kuya...
  10. BARD AI

    JamiiForums Tanzania FORBES: Samsung yatajwa kuwa 'Mwajiri Bora Duniani'

    Samsung imetajwa kuwa ya kwanza kwenye orodha ya Forbes ya ‘Waajiri Bora Duniani 2022’ kwa mwaka wa tatu mfululizo. Kwa ushirikiano na Statista, Forbes ilifanya utafiti kwa zaidi ya wafanyakazi 150,000 katika makampuni 800 duniani kote, yakiwemo makampuni kutoka Uingereza, Ujerumani, Marekani...
  11. Mtini

    JamiiForums Tanzania Zoezi zima la uokoaji ajali ya Precision limetuacha uchi duniani, kuathiri sekta ya utalii nchini

    Nimejaribu kufatilia vyombo vya habari karibu vyote duniani vimeonyesha tukio hili la ajali na zoezi zima la ukoaji namna lilivyoendeshwa kijima. Binafsi naona dunia na watalii kwa ujumla wameona namna ambavyo Tanzania hatujawa tayari katika sekta nzima ya usafiri wa anga. Juhudi za Royal...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Hili ndilo chimbuko la maji duniani

    Mzuka Wanajamvi! Huko chini sana ardhini kuna miamba na hii miamba mda wote inacheza cheza na kutekenyana tekenyana masaa 24/7. Huko kutekenyana na kucheza cheza zinatoa jasho na hilo jasho ndio maji. JF CEO of water Source, Heritage and conservation. Masters John Hopkins
  13. Poker

    JamiiForums Tanzania Fahamu ukweli wa yote yanayokutokea hapa Duniani

    Hapa duniani kuna kitu kinaitwa  nature ambacho ndio kinaamua all fates and destinies. Ukiangalia katika science theories utagundua ya kwamba kila kitu kinajirudia na kwamba kila kitu kilifanyika in the past. Hivyo kila kinachokutokea sasa ni kutokana na matendo yako ya nyuma. Ulishawahi...
  14. Frustration

    JamiiForums Tanzania Songea umeme unakatwa zaidi kuliko mji wowote Duniani kwa sasa

    Kila siku umeme wanakata na sasa ni masaa manne yamepita toka wakate na hakuna hitilafu yoyote bali ni maelekezo tu ya mtu mmoja. Anapiga simu na umeme unakatwa na akijisikia anapiga tena simu kuwasha umeme. Baa anatamba eti nitakata umeme, watu hauwezi, aah umekatwa sasa. Nimeota haya leo
  15. Championship

    JamiiForums Tanzania Kwa takwimu hizi za sensa hapa Tanzania na duniani, agizo la Quran kuoa mpaka wanawake wanne halitekelezeki

    Kuna mambo yanafikirisha pale baadhi ya vitabu vya kale kutoa maelekezo ambayo yanapingana na uhalisia wa dunia. Tanzania (mwaka 2022) Wanawake 31,687,990 Wanaume 30,053,130 Duniani (mwaka 2021) Wanaume: 3,970,238,390 (bilioni 3.97 sawa na asilimia 50.42%) Wanawake: 3,904,727,342 (bilioni...
  16. Poker

    JamiiForums Tanzania Kwanini jamii ya Wayahudi inalindwa sana duniani kuliko watu weusi?

    Jamii ya wayahudi imekuwa ni jamii inayolindwa sana duniani kiasi kwamba ukiongea neno lolote lenye kiashiria kibaya au cha kibaguzi dhidi yao hata kama ni cha ukweli lazima wakushughulikie. Ila jamii ya watu weusi kutwa kucha inabaguliwa lakini hatua hazichukuliwi na inaonekana ni sawa tu...
  17. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Serikali yoyote duniani corrupt lazima wananchi wake wapate shida

  18. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Bei ya makaa ya mawe duniani imefika USD 270 kutoka USD 50 kwa tani sababu ya vita vya Ukraine na Urusi, ulaya wanahitaji nishati

    Bei ya makaa ya mawe duniani imefika USD 270USD kutoka USD 50 kwa tani sababu ya vita vya Ukraine na Urusi, ulaya wanahitaji nishati. Tanzania ina akiba ya tani Millioni 290 ardhini, kwa hesabu zaharakaharaka hiyo ni Trillioni 184. Vituo vya afya na lami kila kona; VIONGOZI WANGU...
  19. REALITY

    JamiiForums Tanzania Taja vitu duniani ambavyo ni uongo

    Habari wakuu, kuna mambo mengi sana ambayo nimegundua kuwa si kweli, bali ni uwongo na wanadamu huamini ni ukweli. 1. Jua limesimama wakati linazunguka. 2. Ndege kutumia mafuta: Ndege hutumia 90% compressed air na 10% kerosene ili kufanya safari zake. 3. Mafuta hupatikana kwa mizoga: Mafuta...
  20. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Ajali za treni duniani. SGR, tumejitayarishakuelimisha matumizi ya makutano ?

    Tunategemea kuwa reli yetu inayojengwa , SGR, itakuwa ya kisasa na yenye spidi kali. Spidi zinazotazamiwa ni hadi 160km/hr. Hii ni spidi kali sana kwa mwendo wa ardhini. Kwa vile kutakuwa na makutano(Railway crossings) nyingi sana kati ya njia za treni hiyo na barabara, tumejitayarisha kivipi...
Back
Top Bottom