duniani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kwanini inashauriwa duniani kote Watu wa Usalama ( Intelligence ) lazima watokee katika Familia ambazo zina Historia ya kuweko huko?

    Leo GENTAMYCINE Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ni Kusoma tu Comments zenu ili Nielimike zaidi nikiamini kuwa hapa JamiiForums kuna Wabobezi na Wazoefu wa Fani hii inayoitwa ya Wenye Nchi.
  2. L

    Marekani yavuruga usalama wa kijamii duniani kwa kuuzia nchi nyingine silaha

    Katika miaka ya hivi majuzi, mauaji ya kufyatua risasi yamezidi kuwa ugonjwa sugu wa kijamii nchini Marekani. Wakati huo huo, Marekani inasafirisha maafa haya kwa nchi nyingine duniani kupitia kuziuzia silaha, na kusababisha tishio kubwa kwa usalama wa kijamii duniani. Shirika la Habari la...
  3. L

    Wachina waenzi na kuendeleza moyo wa “Baba wa Mpunga Chotara” wa kuwanufaisha watu wote duniani kwa chakula

    Kilimo ni uti wa mgongo wa maisha na pia ni sehemu muhimu sana hasa katika jamii yetu ya kisasa, ambapo kinaathiri chakula tunachokula, ardhi tunayoishi, na mambo mengine mengi ya jamii yetu. Mamilioni ya watu wanaweza kujikwamua na umaskini duniani endapo watawekeza kwenye sekta ya kilimo...
  4. F

    INDIA INSTITUTES OF TECHNLOGY: Kuna Mtanzania yeyote aliyesoma India anasoma vyuo vinavyosifiwa duniani?

    Habari wadau. Nazani wote tunajua kwamba kuna wimbi kubwa la wa Tanzania kupeleka watoto kusoma india. Nimegundua wahindi wengi wenye big position na matajiri ni alumni wa India institutes of technology kwa kifupi IIT Nimejiuliza watoto wetu wa ki Tanzania waliojaa wanasoma india. Je na wapo...
  5. Nyerere alivyokuwa akiheshimiwa duniani

    Hii video ilishawahi kuwekwa hapa lakini hakuna ubaya kuirudia tena. Angalia pale sekunde ya 20 alivyopigiwa Saluti na Prince Charles ambaye sasa ndiye mfalme wa uingereza. https://www.youtube.com/watch?v=0bSemyQSTv4
  6. S

    Profesa Tibaijuka alipeleka Sakata la Bandari duniani

    Profesa Tibaijuka alipeleka sakata la bandari kidunia
  7. M

    Leo Agosti 14 ni Siku ya Mjusi Duniani

    Mzuka wanajamvi! Leo August 14 2023 ni siku ya mijusi (Lizard Day) duniani mwamba Kenge "The fighter" akiwemo. The Lizard Day inaadhimishwa kila tarehe 14 August. Japo wengi hawaifahamu hii siku (Kenge day) lakini sisi reptile enthusiast huwa tunaisubirigi kwa hamu na hatimae imefika ni...
  8. Je, hapa duniani pameshawahi kutokea Rais Dikteta mwanamke?

    Tangu kuanza kwa hii mifumo ya uongozi ya Urais, hivi pameshawahi kutokea Rais Dikteta mwanamke?
  9. I

    Bara la Afrika linaongoza kwa mapinduzi ya kijeshi duniani

    Bara la Afrika lilishuhudia ongezeko kubwa la mapinduzi katika mwaka mmoja na nusu uliopita, huku takwimu za kijeshi zikichukua nchi za Burkina Faso, Sudan, Guinea, Chad na Mali. Baada ya mapinduzi ya Sudan mwezi Oktoba 2021, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres alizungumzia "janga"...
  10. Hukumu ya bandari Mbeya yamuibuwa mwanazuoni mbobezi wa IGA duniani Johanne Poirier

    Johanne Poirier Full Professor Peter MacKell Chair in Federalism New Chancellor Day Hall 3644 Peel Street Room 604 Montreal, Quebec Canada H3A 1W9 514-398-3296 [Office] Email Website: Peter MacKell Chair in Federalism List of Publications Recent media appearances The Sunday Magazine (hosted...
  11. R

    Intergovernmental Agreements (IGAs) na Host Government Agreements (HGAs) zina standard template inayotumika kuwanyonya third world countries

    Nimefanya simple research nikaona kuwa - Intergovernmental Agreements (IGAs) na Host Government Agreements (HGAs), zina template maalum ambayo mabeberu waliitengeneza kulinda maslahi yao na kuiba mali za developing world. Nimesoma mikataba iliyopo kwenye google nikagundua format hiyo iko kila...
  12. Twitter kubadilishwa jina na mwonekano kuanzia leo, Itaitwa "X"

    Ni taarifa iliyotolewa na mmiliki wa Kampuni hiyo, Elon Musk ambaye amesema Twitter itaitwa 'X' na itapatikana kwa tovuti ya 'x.com', pia, 'Logo' ya Ndege wa Blue itaondolewa rasmi na kuanza kutumika logo ya 'X'. Aidha, Musk amesema mwonekano wote wa Mtandao huo utakuwa umebadilika kufikia...
  13. CCM ni Chama pekee Makini Duniani

    Nakipenda Chama Cha Mapinduzi Kwa; 1. Sera makini (utekelezaji 100%), 2. Demokrasia, 3. Uwajibikaji Kwa walipa Kodi (wapiga kura). NB: CCM itatawala milele na milele. Asanteni
  14. R

    Nchi inaweza kuendelea kwa viongozi kuzunguka Duniani kuomba fedha?

    Mjadala mkubwa ulipo mtaani sasa hivi ni kuhusu viongozi wetu kutamka kwenye majukwaa kwamba wanazunguka Duniani kutafuta pesa kwaajili yetu; wengi wanajiuliza hizo pesa tunazopewa huko nje zinatokana na nini? Kwamba wenzetu wafanyakazi kwa bidii kwa ajili ya kutupa fedha sisi? Je tunapopewa...
  15. Unabii juu ya tawara zote duniani,Tanzania kuwa jiwe kuu la pembeni.

    . Sauti ya kilio na maombolezo ilisikika watu wasikubali kufarijiwa kwa kuwa hayupo tena,amelala. Siku zikapita,miezi ikapita,na hatimae mwaka ukapita nisielewe maana ya fumbo hili!.Nikijiuliza kwanini ardhi imekubali kumpokea wakati bado tunamwitaji? Nikiwa katika usingizi,tazama nilikuwa...
  16. Licha ya idadi ya Wanawake walio katika nafasi za maamuzi duniani kuongezeka, bado jitihada zinahitajika

    Usawa wa kijinsia katika uongozi ni suala la msingi ambalo linapaswa kuzingatiwa kwa makini na kushughulikiwa kwa dhati. Kuwa na uwiano sawa wa wanaume na wanawake katika nafasi za uongozi ni jambo ambalo linakwenda mbali zaidi ya suala la haki ya kijinsia pekee; ni suala la usawa wa haki na...
  17. U.S Federal Reserve wakiadopt expansion monetary policy uhaba wa dola uliopo dunian utaondoka

    Baada ya corona kuisha kulikua na inflation kubwa dunian marekani kupitia federal reserver waliamua ku-implement contraction monetary policy kwa kuongeza interest rate ili kupunguza fedha kwenye mzunguko na hatimaye kupunguza inflation Madhara ya contraction monetary policy Kuongeza riba ya...
  18. B

    Siku ya vijana duniani. WYD Portugal live link

    Tumsifu Yesu Kristo. Waktristo halisi.
  19. Agosti 4, 2023 Siku ya Kimataifa ya Bia Duniani

    Siku ya Kimataifa ya Bia Duniani ambayo husherehekewa kila Ijumaa ya Kwanza ya Mwezi Agosti, ilianzishwa mwaka 2007 huko Santa Cruz, California, Marekani Siku hii hunganisha Dunia kwa kusherehekea aina mbalimbali za #Beer kutoka Mataifa yote Duniani, ambapo marafiki hukusanyika na kufurahia...
  20. Je, Afrika yenye utajiri mwingi inakuwaje bara maskini zaidi duniani?

    Je, Afrika yenye utajiri mwingi, inakuwaje bara maskini zaidi duniani, anauliza Captain Ibrahim Traore Raisi wa mpito wa Burkina faso. Captain Ibrahim Traore ni Raisi wa mpito wa Burkina Faso baada ya kufanya mapinduzi ya kijeshi akiwa na umri wa miaka 35 tu. Rais huyu wa mpito wa Burkina Faso...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…