dosari

Al-Dosari (Arabic: الدوسري‎) is an Arabic surname. It may refer to:

Falah Abdullah Al-Dosari Qatari
Abdullah Al-Dosari (born 1969), Saudi Arabian footballer
Abdullah Jumaan Al-Dosari (born 1977), Saudi Arabian footballer
Ghanem al-Dosari (born 1980), London-based Saudi human rights activist
Hamad Mubarak Al-Dosari (born 1977), Qatari hurdler
Khamis Al-Dosari (1973–2020), Saudi Arabian footballer
Medhadi Al-Dosari (born 1976), Saudi Arabian former cyclist
Mohamed Jaman Al-Dosari (born 1946), Saudi Arabian sprinter
Mohammed al-Dosari (born 1961), Saudi Arabian runner
Nassar Al-Dosari (born 1965), Saudi Arabian fencer
Obeid Al-Dosari (born 1975), Saudi Arabian footballer
Rashid Al-Dosari (born 1980), Bahraini footballer
Rashid Shafi Al-Dosari (born 1981), Qatari track and field athlete
Saad Al-Dosari (1977–2004), Saudi Arabian footballer
Said Khalil Al-Dosari (born 1948), Saudi Arabian sprinter
Saleh Al-Dosari (born 1987), Saudi Arabian footballer
Saud al-Dosari (1971–2015), Saudi television presenter
Youssef Al-Dosari (born 1962), Saudi Arabian hurdler

View More On Wikipedia.org
  1. Heparin

    Dkt. Ndugulile: Uchaguzi wa 2020 ulikuwa na dosari ambayo hatuwezi kuificha, siungi Mkono kupita bila kupingwa

    "Uchaguzi wa 2020 ulikuwa na dosari ambayo hatuwezi kuificha, haiwezekani wagombea wa upinzani tu ndio hawakujua kujaza fomu ipasavyo halafu wagombea wa CCM wakaweza kujaza fomu ipasavyo kila mahali” Dkt. Faustine Ndugulile. Ndugulile amesema haungi mkono suala la wagombea kupita bila kupingwa...
  2. L

    Uhusiano kati ya China na Afrika waonesha dosari zilizopo kwenye uhusiano kati ya Afrika na nchi za magharibi

    Uhusiano wa karibu kati ya China na nchi za Afrika, ambao umekuwa wa kina zaidi baada ya China kuwa na maendeleo makubwa kiuchumi, umekuwa unafuatiliwa kwa karibu na nchi za magharibi, na katika baadhi ya nyakati umekuwa ukipakwa matope kwa kila njia bila mafanikio, kujaribu kuleta migongano...
  3. T

    Jana Nilikuwa na furaha kutwa nzima. Kufika usiku furaha yangu ikatiwa dosari

    Jana nimekwenda ibadani nikapata upako wa kutosha. Na nikarudi nyumbani, nikitarajia kuwa furaha hiyo itaendelea hadi usiku wote. Kufika majira ya saa nne za usiku, timu moja, inayoitwa Taifa Stars ikatibua furaha yangu ya kutwa nzima. Hovyo kabisa. Nimesikitika sana. Yaani mnaruhusu goli dakika...
  4. eagletai

    Tetesi: Uchaguzi TCCIA Wa 07.11.2023 wadaiwa kuingia dosari za kujazia fomu kutokea ndani ya kamati ya uchaguzi na menejimenti

    Mimi Tai katika kupaa kwangu nimekutana na penyenye kuwa Uchaguzi wa TCCIA unaofanyika tarehe 07.11.2023 umeanza kupata dosari. Viongozi wa Makao Makuu wameanza kupanga safu, ikiwa ni pamoja na kujazia fomu wagombea ambao hawakuomba nafasi hizo hadi zoezi linafungwa. Penyenye hii inasema...
  5. B

    Mahojiano ya BBC na Waziri Tax yalipokwenda mrama

    Hii ilikuwa interview ikisikilizwa duniani kuhusu ujio wa makamu wa rais wa Marekani: Ama kwa hakika shughuli ipo. Labda itabidi kuomba mwongozo kufahamu ni sehemu ipi kama ipo tunayofanya vizuri. Ya CAG nani hajayasikia?
  6. R

    Jaji Mkuu: Toeni taarifa dosari za mahakama zitatuliwe

    Ameyasema juzi katia ufunguzi wa majengo ya Mahakama huko Same/Mwanga. Kweli Mh. Jaji Mkuu, hujui dosari za mahakama zako? Hilo ulilolisema linatoka rohoni au unajikosha? watu wanaozea jela kwa kuonewa hasa wafuasi wa Chadema, nalo hulijui? La "wabunge" 19 wa mchongo nalo hulijui? Unaona...
  7. peno hasegawa

    Uchaguzi wa CCM Hai Kilimanjaro waingia dosari , iundwe Tume ya CCM kufuatilia

    Uchaguzi wa CCM wilaya ya Hai huko Kilimanjaro waingia dosari baada ya DC kuiba Kura na kupata kura 400 ambazo hakuna waliompigia kura. Idadi ya waliojiandikisha kupiga Kura imezidi Idadi ya Kura zilizopiga. Kwa uchaguzi wa CCM wilaya ya Hai unahitajika urudiwe na usimamiwe na viongozi wa...
  8. BARD AI

    Kamati ya Bunge ya Sheria yabaini dosari 33 kwenye sheria ndogo 14

    Mwenyekiti wa kamati hiyo, Jasson Rweikiza amesema hayo leo Jumatano Septemba 21, 2022 wakati akiwasilisha uchambuzio wa taarifa za maazimio ya Bunge kuhusu sheria ndogo. “Kamati ilibaini dosari ya kukinzana na masharti ya sheria inayotoa mamlaka ya kutungwa kwa sheria ndogo inayohusika na...
  9. L

    Shughuli yote nzuri ya kilele Cha Simba day imetiwa dosari na uletaji wa jeneza uwanjani

    Wasaniii walioingia uwanjani wangeweza kufikisha ujumbe vizuri na kuleta shangwe hata bila kubeba jeneza, vitendo hivi kwa Karne hii hatupaswi kuvichekea tu maana vinatupa aibu site Tena kufanywa na klabu kubwa hapa Afrika Kama Simba, ambayo unafuatilia na wapenzi wa kandanda kila pembe ya...
  10. Roving Journalist

    Shinyanga: TAKUKURU yabaini dosari miradi minne ya Maendeleo inayoendelea

    Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa Tanzania (TAKUKURU) Mkoani Shinyanga imeelezea kubaini dosari miradi minne ya Maendeleo inayoendelea.
  11. H

    Waziri Nape, kuna dosari kwenye zoezi la anuani za Mitaa

    Waziri Nape, kuna dosari kwenye zoezi la anuani za Mitaa. Ipo mitaa inandikwa kwa jina la Kiswahili na mingine inaandikwa kwa lugha ya Kiingereza. Unakute vibao viwili vinavyotumia mlingoti mmoja, kimoja kimeandika Mtaa wa MTAA WA MARKET, na kibao kingine kwenye mlingoti huo huo kimeandikwa...
  12. Lord OSAGYEFO

    CHADEMA, ulinzi kwa viongozi wenu una dosari kubwa

    Nimekuwa najiuliza kama CHADEMA ndio chama kikuu cha upinzani Tanzania ni dhahiri pia ndio chama kinachochukiwa zaidi na chama tawala kwa siasa za Afrika. - Hebu jiulize siku Mh.Tundu Lissu alipopigwa risasi 32 Dodoma inaonyesha Mh. Tundu Lissu hakuwa na ulinzi wowote wa chama chake na kama...
  13. N

    Mbona kila jambo awamu hii linapokelewa kwa kuwekewa dosari? CCM tujirekebishe

    Hata uteuzi wa leo tayari dosari zimeonekana. Tayari malalamiko kibao kuwa watu hawapo makini majina yamejirudia. Haya uteuzi wa Mtednaji wa TANROAD tayari utaratibu umenyoshewa vidole. Miamala dosari! Bei za mafuta dosari! Mishahara ya watumishi dosari. Safari za Mkuu wa Nchi dosari! Ndege ya...
Back
Top Bottom