GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Binafsi nitafaidika zaidi nikiona Picha za Rais yypo maeneo mbalimbali ya nchi yenye Changamoto mbalimbali akionana na Wananchi wake na kutatua Matatizo yao ya Kimsingi.
Mpaka hivi sasa GENTAMYCINE naitafuta Tija ya kila mara tu Mitandaoni tunaonyesha Picha za Rais akipunga mkono akipanda Ndege kutokea Dodoma kuja Dar es Salaam na akitua Dar es Salaam tena anatupungia mikono sana sana naanza Kupatwa na Wasiwasi juu yake na hata wale wanaloona hilo ni Jambo la Kimantiki Kimaendeleo.
Na kama Kutuonyesha Rais akipanda na kushuka katika Ndege huku akitupungia Mikono yake akina GENTAMYCINE kuna Tija mbona akipanda Gari zake kutoka Dodoma kuja Morogoro hatuonyeshwi akisimama katika Gari na Kutuaga na Kutupungia? Mmeambiwa Watanzania wote ni Washamba ( Mambwiga ) wa Kupanda Ndege?
Kwa Sindano yangu hii ambayo najua imeingia kabisa mfupani GENTAMYCINE nipo tayari Kuchukiwa au hata Kuitwa Sukuma Gang au kuambiwa nina Chuki, Wivu au natumika vibaya na Maadui au Mabeberu au hata Kuniwahisha Sebuleni Mbinguni sawa tu, ila mkifanya Jambo la Tija nitawapongezeni sana na mkiharibu nitawasema ( nitawasilibeni ) kama hivi.
Tunahitaji Maendeleo na siyo Mipicha.
Mpaka hivi sasa GENTAMYCINE naitafuta Tija ya kila mara tu Mitandaoni tunaonyesha Picha za Rais akipunga mkono akipanda Ndege kutokea Dodoma kuja Dar es Salaam na akitua Dar es Salaam tena anatupungia mikono sana sana naanza Kupatwa na Wasiwasi juu yake na hata wale wanaloona hilo ni Jambo la Kimantiki Kimaendeleo.
Na kama Kutuonyesha Rais akipanda na kushuka katika Ndege huku akitupungia Mikono yake akina GENTAMYCINE kuna Tija mbona akipanda Gari zake kutoka Dodoma kuja Morogoro hatuonyeshwi akisimama katika Gari na Kutuaga na Kutupungia? Mmeambiwa Watanzania wote ni Washamba ( Mambwiga ) wa Kupanda Ndege?
Kwa Sindano yangu hii ambayo najua imeingia kabisa mfupani GENTAMYCINE nipo tayari Kuchukiwa au hata Kuitwa Sukuma Gang au kuambiwa nina Chuki, Wivu au natumika vibaya na Maadui au Mabeberu au hata Kuniwahisha Sebuleni Mbinguni sawa tu, ila mkifanya Jambo la Tija nitawapongezeni sana na mkiharibu nitawasema ( nitawasilibeni ) kama hivi.
Tunahitaji Maendeleo na siyo Mipicha.