Esta Wanyiramba Express kuzindua Hotel Dodoma/Korogwe

Esta Wanyiramba Express kuzindua Hotel Dodoma/Korogwe

Hizi hotel za mskampuni ya mabasi ni utapeli mtupu
Mnasimama Korogwe mkienda Arusha mnaambiwa dakika kumi, unaanza foleni chooni dakika tatu ,foleni ya chakula dakika nne unaanza kula unasikia basi linataka kuondoka unaacha chakula( nasikia wanauza tena)
Vyakula vyao ghali na vibaya.
 
Hizi hotel za mskampuni ya mabasi ni utapeli mtupu
Mnasimama Korogwe mkienda Arusha mnaambiwa dakika kumi, unaanza foleni chooni dakika tatu ,foleni ya chakula dakika nne unaanza kula unasikia basi linataka kuondoka unaacha chakula( nasikia wanauza tena)
Vyakula vyao ghali na vibaya.
Hivi kwa mfano wakisema kula ni dakika 30 wanapungukiwa nini? Hio dakika 20 extra kuna nini wanapata wakiwa kufika Arusha?
 
Back
Top Bottom