OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,206
- 103,779
Hakika nimemuelewa sana Peter Msigwa. Kuna viongozi wa dini muda wote ni kusifu tu, hata pale yanapotolea mambo ya hovyo hutawasikia wakikemea. Wale wachache wanapokemea wanaitwa wachochezi na wanaingilia siasa.
Waacha unafiki. Wanapopata fursa ya kukutana na viongozi wasifie na kuonya,huo ndio utumishi wa Mungu wa kweli