dini

  1. T

    JamiiForums Tanzania Ardhi yetu itufaidishe sisi kwanza kabla ya dini au wakoloni

    Angalia hii video
  2. JamiiForums Tanzania Lissu katika kutetea haki ni amewazidi, zaidi ya maaskofu, mapadre, wachungaji, mitume na manabii(viongozi wa dini)

    Katika kutetea IMANI yake ,Lisu ni muumini wa HAKI ,utawala wa sheria na katiba. Katika hili amewazidi viongozi wote wa dini. Kwa tafsiri yangu isiyo rasmi amewazidi UTAKATIFU hao wanaojiita mitime na manabii ,na MAFARISAYO WOTE waliokalia kiti cha Musa na kubeba fimbo ya HARUNI na kukaa viti...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Dini ilivumbuliwa pale tapeli wa kwanza alipokutana na mjinga wa kwanza

    Habari za wakati huu Wakuu, Kuna usemi maarufu sana unaozunguka mtandaoni unaosema: "Religion was invented when the first con man met the first fool" (Dini ilivumbuliwa pale tapeli wa kwanza alipokutana na mjinga wa kwanza). Mara nyingi msemo huu unanasibishwa na mwandishi Mark Twain, lakini...
  4. JamiiForums Tanzania Unakuta mtu ana roho mbaya na tabia za hovyo afu anajifanya mtu dini

    Watu wa namna hii wanashangaza Sana na kuumiza how come unajifanya innocent kumbe ni devil inside
  5. JamiiForums Tanzania Ripoti ya Utafiti: Dini ya Kikristo yapungua Duniani, Uislamu wafikia 26%

    Wale wenye dini zenu za Wazungu na Waarabu nawaletea utafiti Kwa mujibu wa ripoti ya BBC. Uislamu wakua kwa kasi duniani huku Ukristo ukipungua - Utafiti mpya === Utafiti mpya wa kituo cha Utafiti cha Pew umebaini kwamba Afrika ya jangwa la Sahara imelipiku bara Ulaya kama sehemu ilio na...
  6. JamiiForums Tanzania Mzee Said, unaforce kutengeneza tatizo ambao halipo. Tz ilijijenga katika misingi ya kuheshimiana dini zetu. Wewe ni udini ndio unakusumbua.

    Mohamed Said Unatamani sana nchi hii ingekuwa chini ya caliphate, sasa kwa kuwa misingi ya dini katika siasa iliminywa na sera za nyeerere ili isipelekee taifa kugawanyika kidini na kugeuka kuwa lebanon sasa inapelekea kukuumiza sana kwa kudanganya watu kuwa TANU na nyerere waliua historia na...
  7. JamiiForums Tanzania Je, dini inaweza kuimarisha ujinga na umaskini?

    Wakuu, heshima kwenu. Lengo langu siyo kushambulia wala kudhalilisha, bali nikujaribu kuangalia uhalisia wa masuala ya ibada katika maisha halisi na matokeo yake. Tangu nikiwa kijana mdogo kabisa, nimeshiriki ibada fulani kila mwaka. "Ibada ya kubariki mbegu" Kwenye dhehebu langu. Kwenye...
  8. JamiiForums Tanzania Je, uwepo wa Dini ni sababu ya Afrika kutokuendelea?

    Kumekuwa na hoja inayorudiwa mara kwa mara kwamba Afrika imechelewa kimaendeleo kwa sababu watu wake wana dini nyingi, hasa Uislamu. Lakini je, hoja hiyo ina uzito wa kutosha, au ni njia rahisi ya kuficha sababu halisi za changamoto za maendeleo? Kwanza kabisa, ni muhimu kutofautisha kati ya...
  9. JamiiForums Tanzania Kungekuwa hakuna dini, binadamu walio wengi wangewehuka

    Ukifatilia kwa ukaribu dini zilianzishwa na GREAT ELITES purposefully kuja kuneutralize na kutoa hope kwenye mikwamo ya kila iitwayo leo kwenye maisha ya mwanadamu. Siku kama ya Ijumaa,jumamosi na jumapili watu wapo bize na kupayuka,wengine wanaimba kwa nguvu kwa matarajio na imani kwamba mambo...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini waumini masikini wasitibiwe au kusoma bure kwenye hospitali na shule za dini

    Habarini, Yaani waumini wa kiafrika waliowengi ni maskini lakini wanajitoa kwa sadaka ili kujenga hospital8 na zhule za makanisa na miskiti ila wanalipia juduma zote kwa 100%. Kwanini watu wa Mungu hao wasio na uwezo wasitibiwe bure wakati makanisa na miskiti hailipi kodi? Wajinga ndiyo waliwao!!
  11. H

    JamiiForums Tanzania Kuna ujinga uko ndani ya Waafrika juu dini za kuja hadi inakera

    Habarini, Hata hili la muombaji kusoma biblia kwa kutumia miwani kwaajili ya kumponya mjongwa wa macho/kipofu hamulioni?
  12. JamiiForums Tanzania Dini ni biashara ya ujanjajanja, ambapo bidhaa haionekani, na pale hiyo bidhaa inaposhindwa kufanya kazi, mteja ndiye anayelaumiwa

    Dini ni moja ya taasisi kubwa zaidi katika historia ya binadamu, na mara nyingi imechukuliwa kama biashara yenye mafanikio makubwa. Dini hutumia imani ya watu kama bidhaa isiyoonekana. Bidhaa hizi ni ahadi za wokovu, baraka, uponyaji, au maisha bora baada ya kifo. Hizi ni bidhaa ambazo haziwezi...
  13. JamiiForums Tanzania Waislamu kuna mada yenu hapa.Kwa nini mnapenda kukimbilia nchi ambazo sio dini yenu.

    Wakitoka south afrika kufukuza waafrika naona wazungu wataanza na hii operation ya imani. Kama dini imewapenda sana kwa nini mnakimbilia nchi ambazo sio dini yenu.
  14. B

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa dini: Vita vya Leo Ushindi wa Kesho (Audio + Video are using AI)

    Vita vya Leo Ushindi wa Kesho ni wimbo wa kutia moyo unaobeba ujumbe wenye nguvu kutoka Waamuzi 3:1–2. Katika kifungu hiki, Mungu aliwaacha baadhi ya mataifa ili kuwafundisha Waisraeli namna ya kupigana vita—hasa wale ambao hawakuwa wamepitia vita hapo awali. Hii inaonyesha kuwa wakati mwingine...
  15. JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

    Imani haina tofauti na itikadi. Imani inakupa mwelekeo wa kusimamia masuala yanayohusu utawala usioonekana kwamba ndiyo unaotawala fikra na hisia kuhusu uwepo, uumbaji na yanayodhanika kujiri baada ya nafsi na roho kuachana na mwili. (Hii ni tafsiri yangu) Dini, ni utaratibu uliobuniwa na...
  16. JamiiForums Tanzania Mods kitendo chenu cha kuzuia Post ya Mistari 135 ya nukuu za HAKI kwenye Bibilia ni cha kuuona ukiristu ni dini ya Uchochezi.

    Leo nikuweka Post inayohusu HAKI kwenye Bibilia kwa makusudi na nia ovu mkaiondoa, Bibilia si kitabu cha uchochezi kama mnavyodhani, ni kitabu Kitakatifu hivyo nukuu zake lazima ziheshimike kama zilivyo. Ninawashauri muirejeshe ile Post kwa heshima ya Wakiristu.
  17. JamiiForums Tanzania Je, kwa dini ya kiislamu ni ruksa kuvuta sigara?

    Wasalaam waleikhum ndugu zangu waislam na wakristo.... Ni kawaida kwa waumini wa kislamu kukuta hawatumii pombe kwa kuwa imekatazwa kwenye maandiko. Ila sigara kwao ni kama chanda na pete!! Ukitembelea nchi nyingi za kiislamu kuna uvutaji mkubwa wa sigara na siku hizi shisha. Je ni ruksa kwao...
  18. JamiiForums Tanzania Hakuna aliewahi kuchanganya dini na kazi na akafanikiwa. Wamarekani imani yao ni capitalism, warusi ni ukomonisti, sasa walinganishe na sisi.

    Najua hautaelewa kwa sababu umelewa dini. Umevaa lishuka lako hapo unashindwa kwenda nje ya box kisa tu sijui hadithi ya shemeji ya nabii hakufanya hivyo basi ni haramu Umekaa hapo unajiandaa kesho kupeleka 100,000 ya kujimaliza kwa jamaa akutoe nuksi ili ufanikiwe na unapakwa mafuta usoni...
  19. JamiiForums Tanzania Waislamu ni lini mtajua dini madhehebu na siasa kama ilivyo dini nyengine.

    Shida kuelimisha mtu kama kobe kujiondoa kwenye gamba lake. Dini zetu zimetumia nguvu nyingi kumwaga damu zaidi ya history za vita ya dunia zote. Dini zimekuwa kujificha kwa watawala kuanzia imani zao na kabira zao japo wanaweza kutumia haya. Kuna mada wengi wanadanganywa uislamu ulikuwepo...
  20. JamiiForums Tanzania Ila hizi dini bhana! 😀 Wanajua kabisa sina kazi, nauza pombe; lakini kanisani wanataka nitoe sadaka na zaka. Kwao, zaka si haramu?

    Ila hizi dini bhana! 😀 Wanajua kabisa sina kazi, nauza pombe; lakini kanisani wanataka nitoe sadaka na zaka. Kwao, zaka si haramu? 😆
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…