diamond

  1. Expensive life

    Dudubaya adai Diamond toka atoke nyumbani kwa P Diddy akili zake hazipo sawa

    Msanii nguli wa bongo fleva. Dudubaya adai toka msanii mwenzie Diamond plutnumz atoke nyumbani kwa P diddy huko Marekani, akili zake nado hazipo sawa.
  2. Common Folk

    Mitandao huwa haisahau, Diamond mwaka 2013 ulikuwa unalalamikia yaleyale ambayo raia wengi wanayalalamikia leo hii

    Masikini akipata matako hulia mbwata!
  3. Victor Mlaki

    Diamond Platnum, Nasib Abdallah: Kuna watu wanafanyakazi kulikowewe, ukiona umefanikiwa mshukuru Mungu

    Katika hali inayokera na kufedhehesha ni tabia ya mtu kujiona amefanikiwa kwa sababu anafanya kazi kuliko wengine wote, au wengine hawafanyi kazi kuliko yeye. Kufanikiwa hakupo hivyo hata kidogo na kama ingekuwa hivyo basi kanuni ya mafanikio ingekuwa rahisi sana. Mafanikio hayahitaji kelele...
  4. Fbn

    Kauli ya diamond na ommy kama mashaikh,basata,TCRA,JESHI LA POLISI, wasipojitokeza kumuonya basi ndo haya haya wanayoendeleza kubariki huu utawala

    Ni kwamba sasa washatuzarau kuonesha wanakula keki ya taifa na watala wa CCM mpaka kufikia steji ya kututukana. Hivi kwa nini wananchi na mashabiki kuweka ajenda kuunfollow na kutosupport kazi zake.
  5. raiswenu

    Kauli ya Diamond katika mtazamo chanya

    Mnaambiwa mwache kulalamika mfanye kazi malalamika tena😀, mbona nyie watu hamweleweki, Kila awamu nyie ni kulalamika tu. Tukiachana na awamu ya Nyerere na Mwinyi ambayo sina kumbukumbu sahihi, awamu ya mkapa mmelalamika, awamu ya Kikwete mmelalamika, awamu ya Magufuli ndiyo...
  6. L

    Diamond Platinums: Hakuna Kiongozi Atakayekuja kukuwekea Pesa Mfukoni na Kumaliza Shida zako. Pambana kivyako kutimiza ndoto zako

    Ndugu zangu Watanzania, Huu ni ujumbe mzito kutoka kwa msanii maarufu kwenda kwa watanzania wanaoshabikia upinzani na kudanganywa na maneno hewa ya wasaka tonge na wachumia tumbo wa upinzani au waweza kuwaita wajasiriasiasa.. Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi...
  7. Stroke

    Diamond apigwe marufuku nyimbo zake zimejaa matusi

    Wakuu Huyu kijana amechangia mno kuharibu hiki kizazi. Nyimbo zake ni matusi tupu. Apigwe marufuku kabisa .
  8. GENTAMYCINE

    Diamond Platinum tokea uhamia kuishabikia Klabu moja hivi duniani yenye Washamba wengi nawe pia sasa umekuwa kama Wao tu

    Unamsakama Mboso kisa tu kumuandikia mistari ya Wimbo wake kana kwamba vile hata Wewe mwenyewe 85% ya Nyimbo zako huwa unaandika mistari mwenyewe. Nilikuwa nakuheshimu sana na hata Kukutetea mno hapa JamiiForums ila sasa nimeamini ukiwa Mshabiki wa hiyo Timu uliyoko sasa utakuwa Mshamba na Juha...
  9. fimboyaukwaju

    Katam ya diamond ni kiboko

    Dah huu wimbo Katam,diamond kaimba ya yule mkenya wa sauti sol bien,wow,fantastic bonge la songi
  10. M

    Ugomvi baina ya Diamond, Mbosso na Baba Levo kisa wimbo wa Pawa

    DIAMOND: @Officialbabalevo WEWE KUANA MWENZANGU NA NAHESHIMU NAFASI YAKO ILA UNAPOELEKEA. UNANILAZIMISHA KUKAA MBALI NA WEWE MAANA UNAFANYA. NIHISI KUNA AGENDA. NISIOLJUA UNANITENGENEZEA. @mbosso_ UNAHAKI YA KUTOPENDEZWA, KUCHUKIA NA KUREACT KWA NAMNA YOYOTE UNAYOHISI NI SAHIHI UNAPOKOSEWA ILA...
  11. Sky Eclat

    The pink diamond from Mwadui Williamson found in 1947 now belongs to the British Royal Family

    The pink diamond was found in October 1947 at the Mwadui mine in Tanzania, owned by Dr. John Thorburn Williamson. The uncut stone weighed 54.5 carats. The stone was cut by Briefel and Lemer of Clerkenwell over a two month period to its current 23.6 carats. Queen Mary and Princess Elizabeth...
  12. sinza pazuri

    Tazama Diamond Platnumz akiandika wimbo wa Pawa alioimba Mbosso

    https://www.instagram.com/reel/DNKynyksZuT/?igsh=MXZ2Ym0zcGh1MDNjdQ== Kuna wakati nilieleza kuhusu Diamond Platnumz kuandika hitsong ya Pawa ambayo imeimbwa na Mbosso nilioga matusi hapa. Sasa kuna receipt hapa imepostiwa kwenye ukurasa wa Instagram wa media namba moja Tanzania. Wasanii wasio...
  13. Waufukweni

    Picha: Diamond Platnumz akiwa ametupia mwilini zaidi ya Tsh. Milioni 659!

    Msanii Diamond Platnumz ametupia mavazi na vito vya thamani kubwa vilivyogharimu jumla ya dola 265,259.95, sawa na Tsh. Milioni 659,171,100 akiwa ameunganishia mitindo ya kifahari kutoka Prada, Moncler, Louis Vuitton, Chrome Hearts, Balenciaga, na John Varvatos pamoja na mkufu wake wa Wasafi...
  14. N

    Diamond kalikejeli eneo la Mtoni Mtongani akijisahau ni National Icon Artist mweny mashabiki maenei mbalimbali, hakutakiwa kupadhihaki

    Wengine tuna Ndugu, Jamaa na Marafiki wanaoishi huko Hata wana Jamii Forums maarufu kina Lucas Mwashambwa GENTAMYCINE Ritz kipara kipya Tlaatlaah wanakujua, wana ndugu zao, wanaishi au waliwahi kuishi.
  15. NALIA NGWENA

    Diamond platnums anapaswa kuingia mwenyewe kwenye uwanja wa kusaka vipaji kama alivyofanya kwa harmonise, rayvanny n.k

    Diamond Platnumz, msanii namba moja wa muziki Afrika Mashariki na mwanzilishi wa lebo ya WCB Wasafi, amethibitisha mara nyingi kuwa ana "jicho la kipekee" linapokuja kwenye kugundua na kukuza vipaji vipya. Si tu kwamba ana uwezo wa kutengeneza muziki bora, bali pia ana kipawa cha ajabu cha...
  16. Knock life

    Diamond Plutnumz unabidi kujipanga unatoa nyimbo haingii number one trending

    Kwa sasa umedrop kimuziki unatoa video haingii number one trending.
  17. D

    Diamond Platinumz alivyomtembelea Balozi Kairuki alivaa kiholela. Muone 50 cent sasa!

    Tofauti kubwa iliyopo kati ya Wasanii wa Ulaya/Marekani ni kujua jinsi ya kuvaa kulingana na mazingira. When you're in Rome, live like the Romans. Hakika Masikini wa Marekani sio sawa na Masikini wa Tanzania, and the same applies to other professions as well. 50 Cent, whose real name is...
  18. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 DJ wa Diamond, RDJ ajitosa kuchukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Mbagala

    DJ wa Msanii Diamond, RDJ amejitosa kuchukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Mbagala Kupitia CCM. RDJ amechukua fomu hiyo leo katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Temeke, zilizopo mtaa wa Taifa Pub, jijini Dar es Salaam. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea...
  19. Papillon 1906

    Diamond Platnumz kashindwa kung'amua au balenciaga wamefeli kwenye designing

    Baada ya diamond Platnumz kuposti kwenye insta story yake kavaa viatu vya Balenciaga vyenye thamani ya euro 1650 sawa na shilingi milioni 4,815,794 za Kitanzania. Viatu hivyo ni brand ya Balenciaga aina ya Botte venom kuna viatu vya kike na vyakiume lakini Diamond Platnumz kanunua vyakike kike...
  20. SweetyCandy

    Youtube wampa tuzo ya Diamond, msanii Diamond Platnumz kwa kufikisha subscribers Milioni 10

    Msanii kutokea Tanzania Diamond Platnumz amepewa tuzo maalum na Youtube kwa kufikisha subscribers Milioni kwenye ukurasa wake wa Youtube Hongera zake na kaimprove kuongea kingereza
Back
Top Bottom