diamond platnumz

  1. Show ya Diamond Platnumz (MTV Base )

    Kuhusu kulipia show =========== Jamaa kaona isiwe kesi, Kiki hakuna kaamua kujilipua kwa kununua Airtime ili Akiki siku mbili tatu ==================== Kuhusu performance ya kuwa nzuri ===================== ================== Kuhusu performance ya kuwa sio nzuri ================
  2. Video: Harmonize akicheza wimbo wa Jeje wa Diamond Platnumz

    Huenda kuna kitu Kati ya hawa watu, tuwe na akiba ya maneno
  3. Diamond Platnumz aanza kutoa msaada wa kodi ya miezi 3 kwa kaya 500

    Mkurugenzi wa kampuni ya Wasafi, msanii Diamond Platnumz ametoa msaada wa kodi ya pango kwa watu 57 ambao ni wajane, walemavu pamoja na wasiojiweza. Msaada huo ni awamu ya kwanza katika ile dhamira yake ya kusaidia kodi ya pango kwa kaya 500 nchini zilizoathirika kiuchumi na janga la mlipuko wa...
  4. Hivi ni kidude gani alichokiimba Diamond Platnumz hapa?

    Katika kibao chake kiitwacho Baba Lao, nyota wa muziki anayepeperusha vyema bendera ya Tanzania Diamond Platnumz ameimba maneno haya katika moja ya verses kwenye wimbo huo "Eeeh! Tumewachapa (Kidude) Hakichomoki (Kidude) Kimewanasa (Kidude) Wanatapatapa (Kidude)" Hicho kidude anacho kiimba...
  5. Diamond Platnumz ulichomfanyia Stonebwoy kwenye Black Madonna ni unyama. Sio kwa kumfunika huku

    Kama wewe ni msanii na una mpango wa kutoa wimbo ukamshirikisha huyu kijana wa Tandale inabidi ujiandae vya kutosha. Zaidi ya hapo mwachie tu wimbo uwe wake tu kama alivofanya Innos' B na Yope Remix Hii Black Madonna Stonebwoy ndo anaonekama kama kashirikishwa wakati ni wimbo wake Nimeshindwa...
  6. Y

    Huyu ndie Diamond Platnumz

    Jina halisi: Nasibu Abdul. Umri: 30 years. Mtanzania maarufu zaidi huko duniani. Kijana mpambanaji zaidi katika historia ya tanzania. Mtanzania anaefuatiliwa zaid dunian kupitia platform na social network. Anamiliki label kubwa zaid afrika. Anamiliki label maarufu zaid afrika. Youtube king...
  7. Diamond Platnumz afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kuharibu nyumba aliyokuwa amepanga

    Mwanamuziki Nassibu Abdul 'Diamond Plutnumz' amepelekwa mahakamani kwa tuhuma za uharibifu wa mali ndani ya nyumba aliyokuwa amepanga kwa ajili ya studio maeneo ya Sinza Kijitonyama kabla ya kuhamia Mbezi, jijini Dar es Salaam huku akidaiwa kodi ya mwezi mmoja. Mali hiyo yenye thamani ya zaidi...
  8. B

    Uwezekano wa Diamond Platnumz kuendelea kuishi na Tanasha ni Mkubwa sana

    Wengi huwa nawaambia ukiona mtu na demu wake au mke wanagombana usiingilie kwa kumchamba au kumsema vibaye mwingine au kumuelekeza chuki dhidi ya mmoja no uta ahibika, lazima tuishi kwa kuwaelewa na kuwaombea ipo siku watarudiana. Niliwahi kwenda kuamua ugomvi wa binam na mumewe nikamlazimisha...
  9. Mondi kusamehewa iwapo atamuacha Tanasha? Sidhani

    Mimi ni fan wa Mondi. Kama mtu mwenye uwezo wa kuchambua mambo, naweza kuamua kumu "un-fan" muda wowote. Anguko la Mondi linaweza kutokana na mambo ya mahusiano kwa sababu hizi (3): 1. "Ego" - kwa tabia anataka lazima awe mwenye "control" kwa mwenza wake. Uhalisia, Ili kufanikiwa kwenye...
  10. H

    Turkish airlines watakuwa sponsor wa European tour ya Diamond Platnumz

    Msanii wa kimataifa kutoka nchini Tanzania Diamond platnumz amepata dili kutoka shirika kubwa la ndege la Turkish airlines kuwa Kama main sponsor wa show yake ya European tour atayoifanya hivi karibuni.Kabla ya hapo diamond aliwahi kupata dili la Emirates airlines Mwaka 2018 pamoja na kutangaza...
  11. Diamond na Hamisa wadaiwa kurudiana

    Habari inayowaka moto kwenye mitandao ya kijamii kwa sasa ni Video inayoonyesha Gari ya Diamond Platnumz ikiwa imepaki, huku ndani ya gari hilo ikisemekana yupo na aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Hamisa Mobetto ambaye pia ni Mzazi mwenzie. Video hyo inazagaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii...
  12. Je, Harmonize alifanya uamuzi sahihi kuuza nyumba zake 3 katika harakati za kujitoa WCB? Wewe ungefanyaje?

    Harmonize anapambana ili aweze kuachana kabisa na WCB. Alitakiwa kulipa shs milioni 500 ili aweze kuwa msanii huria na kufanya kazi zake kama yeye mwenyewe. Jambo ambalo linamaanisha kwamba kama msanii huria, fedha yote atakayoipata katika kazi zake za sanaa itakuwa ni yake. Alivyokuwa chini ya...
  13. Video: Baraka The Prince adai Alli Kiba ni level ya Best Naso na sio Diamond Platnumz

    Baracka the Prince ametamka hayo wakat akihojiwa na kituo fulan, amesema Kwa sasa ni kumkosea heshima Diamond kumfananisha na Ally Kiba , na hvyo Ally Kiba anatakiwa afananishwe na Best naso , video sekunde 38 waweza Ichek
  14. Diamond Platnumz achaguliwa kutumbuiza katika Tuzo za CAF na Tuzo za Kituo cha Nigeria Sound City

    Diamond ana perform ktk hizi tuzo za CAF kwa mara ya tatu. ---------------------------- Diamond Platnumz aki-perform kwenye CAF
  15. Kumlinganisha Diamond Platnumz na Ali Kiba ni kumkosea nidhamu

    Nimekuwa nikisikia mara kadhaa mijadala ya vijana wakijaribu kumlinganisha Diamond Platnumz na Ali Kiba, nionavyo mimi kwa mahali alipofika Diamond, hakuna msanii wa kulinganisha naye kwa hapa nchini. Ali Kiba ni msanii mzuri kwamaana ya talent lakini level zake ni akina Harmonize tena...
  16. Mrithi wa kiti cha ufalme wa bongofleva hawezi kutoka kwenye mikono ya Ali Kiba wala Diamond Platnumz,

    Ahlan wassalan wana jamvi, baada ya pilika pilika za sikuu ya Christmas hopefully mko poa, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu mrithi wa kiti cha ufalme wa bongo fleva hatatoka kwenye mikono ya hawa manguli wawili wanaotifuana na kupelekana mchaka mchaka kunako game ya bongofleva...
  17. H

    10 years of Diamond Platnumz

    Kwanza kabisa na mpongeza kwa kufikisha miaka 10 ya mziki wake SI rahisi kuwa on top kwa miaka hiyo yote lakini huyu mwamba kaweza.Haya ni baadhi ya mambo aliyofanya kwenye kipindi chake chote Cha mziki 1.kutengeneza wasanii wakubwa from scratch kupitia label yake ya WCB Kama vile Rayvanny...
  18. Diamond platnumz atawala chart za Kenya na Tanzania Boomplay kwa wanamuziki wa TZ.

    Rf
  19. Pendekezo la Kidiplomasia: Diamond Platnumz Apewe Pasi ya Kibalozi (kama hana)

    Na. M. M. Mwanakijiji Naomba kupendekeza kuwa huyu kijana apewe rasmi hati ya kusafiria ya Kibalozi (Diplomatic Passport). Nimekuwa nikifuatilia jinsi anavyoshirikiana na wasanii wengine ndani na nje ya nchi lakini pia jinsi gani anakubalika katika sehemu mbalimbali za Afrika. Nimefuatilia kwa...
  20. Diamond Platnumz anajulikana kuliko PEPSI!!!

    Issue ya Diamond Platnumz kuitangaza Pepsi linanifikirisha sana kwamba pepsi na Diamond nani maarufu kiasi cha kumtangaza mwenzake
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…