Dhambi ni kutolijua Neno la Mungu.
Ukilijua Neno la Mungu, ukalielewa, ukalishika, litakuweka huru kweli kweli.
Utakuwa huru na dhambi zote za duniani.
Hutozini.
Hutolewi.
Hutofanya umalaya.
Hutokuwa mmbea.
Hutokuwa msengenya.
Hutokuwa mfura.
Hutofanya dhambi.
Kwa kifupi, ukisikia dhambi...