dar es salaam

Dar es Salaam
Dar es Salaam is the largest city and financial hub of Tanzania. With a population of over five million people, Dar es Salaam is the largest city in East Africa and the sixth-largest in Africa. Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic center and one of the fastest-growing cities in the world.
  1. Mkogoti

    Ubalozi Marekani watahadharisha raia wake nchini Tanzania kuhusu kimbunga Jobo

    Ubalozi wa Marekani jijini Dar es salaam umetoa tahadhari ya kiusalama kwa wafanyikazi wake walioko nchini Tanzania kuhusu hatari ya Kimbunga Jobo kinachoeleka katika pwani ya nchi hiyo na kitaufikia pia mji wa Dar es Salaam. Kupitia tahadhari kwa wafanyikazi wa ubalozi wake , afisa...
  2. Tony254

    Kimbunga kizito kinakuja kutandika Dar es Salaam Jumatatu ijayo. Mjitahadhari

    Majirani mjitahadhari dhidi ya Kimbunga Kikali kinachokuja kubamiza Dar juma tatu ijayo. Kimbunga kitakuwa na upepo unaovuma at 100 kph Rare tropical cyclone is approaching one of Africa's most populated cities By Pedram Javaheri, CNN Meteorologist Updated 7:51 PM EDT, Thu April 22, 2021...
  3. Jamii Opportunities

    Teacher at Dar es Salaam Independent School

    DAR ES SALAAM INDEPENDENT SCHOOL Registration Numbers S. 2544 and DS/02/7/037 VACANCIES FOR THE SCHOOL YEAR 2021/22 We need ONE ASSISTANT ART TEACHER starting MAY 2021: ALL TEACHERS APPLYING FOR POSITIONS AT DIS Should have: Experience of Cambridge Curriculum. Evidence of students’...
  4. Mkogoti

    Huyu amani kwa Kaka Voda milionea ndo nani? Huko Dar es Salaam

    Habari wadau na wana wa humu Naomba kujua kidogo kuna huyu ndugu hapa Amani kwa kaka voda milionea huwa naona anatajwa sana na wasanii kuna nyimbo kama ya jay mo na langa walimtaja sana kwenye nyimbo zao Kuna vitu naskia anafanya sijajua ni vitu ngani? Wadau mnitoe mwanga.
  5. CFX

    Naomba ushauri wa namna ya kupata ajira jiji la Dar es Salaam

    Wakuu Kesho nataka Kuingia Mzigoni Kupita Ofisi Moja Moja Hapa Jijini Dar Kutafuta Ajira hata ya Muda Mfupi Ili niweze kusongesha Gurudumu La Maisha. Nimeona niandike Thread Hii kupata Ushauri Ofisi Gan Nizipe kipaumbele na Nisiziache Kwa wenye Uzoefu. Course: INFORMATION TECHNOLOGY...
  6. I

    Tahadhari: Kimbunga hiki/upepo mkali ukiambatana na mvua kubwa huenda vikatokea pwani ya Tanzania

    Kimbunga hiki/upepo mkali ukiambatana na mvua kubwa huenda vikatokea pwani yetu hususan miji ya Lindi,Mtwara,Dar es salaam,Unguja,Mombasa,Malindi Chanzo kinasema upepo huo unatarajiwa kati ya tarehe 21/4/2021 na 26/4/2021. Hivyo tuchukue tahadhari na bahari kwa siku hizi,na kufuatilia utabiri...
  7. P

    Asili na Maana ya Jina/majina ya sehemu mbalimbali Tanzania

    Hivi umepata kujiuliza unapopita katika mitaa mbalimbali ya mjini Dar au mji mwingine wowote Tanzania, jina la mtaa au eneo husika limetokana na nini? Kwa mfano, Kijito Nyama limetokana na nini? Au Mlalakuwa, Au Mtoni kwa Aziz Ali n.k, n.k. Labda utadhani imetokea tu ... just ipo ipo, hapana...
  8. M

    Magufuli Bus Terminal - Dar es Salaam fire and frozen rents about the illusory project that will never perform

    THIS THREAD CAN BE WELL UNDERSTOOD IF THE ORIGINAL DOCUMENT ATTACHED HEREWITH CAN BE PERUSED. Before he died, President Magufuli stood upright in the crowd of the global prominent leaders as the welfare president of the 21st Century. As for the implementation of the Chama cha Mapinduzi (CCM)...
  9. beth

    Waziri Mkuu: Dodoma itaendelea kuwa Makao Makuu ya Nchi. Ujenzi utaendelea

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewatoa hofu Watanzania waliofikiri mkakati wa Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi hautoendelea. Akiwa Bungeni Dodoma, "Serikali imeweka mfumo mzuri wa kuhakikisha Makao Makuu ya Nchi yanaendelezwa kwa kujenga na kuendelea na mipango ya maendeleo ya Jiji la...
  10. K

    Bandari ya Dar es Salaam na mpango wa eneo la Kurasini

    Bagamoyo inafyreka tu, haitakuwa na simile na mtu! Tuliwahi kusikia taarifa nyingi kuhusu mpango wa kuiboresha bandari ya Dar es Salaam ili iweze kutoa huduma nzuri kwa wateja wake, na kuvutia wateja wapya toka sehemu mbalimbali, hasa majirani zetu wasiokuwa na bandari, kama DRC, Zambia...
  11. Kurunzi

    Bandari ya Bagamoyo Ijengwe au Isijengwe? Soma Makala hii Tujadili

    MIAKA sita iliyopita, Mradi wa Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania ulikuwa ukitajwa kama mmoja wa miradi ya kimkakati yenye fursa kubwa ya kuzimua uchumi wa taifa hilo. Midomoni kwa watumishi wa umma na viongozi wa serikali, neno bandari ya Bagamoyo halikutoka. Hata hivyo, miaka...
  12. U

    Rais Samia Suluhu Hassan akutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu Ally Hassan Mwinyi

    Taarifa kamili ya mazungumzo ya Viongozi hao imeambatanishwa hapo chini
  13. jitombashisho

    Rais Samia Suluhu awasili Dar es Salaam akitokea Zanzibar

    Akiwa visiwani Zanzibar Samia alihudhuria swala ya kumswalia Hayati mzee Karume ambaye ni mpigania uhuru na mwasisi wa Taifa la Zanzibar. Mheshimiwa Rais Samia mara baada ya kutua kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius K Nyerere ameelekea Ikulu ndogo ya Magogoni iliyopo Dar es Salaam...
  14. C

    Naomba kujuzwa ratiba za minada inayoizunguka Dar es Salaam

    Wakuu mimi ni mgeni hapa. Naomba kujuzwa minada ya Dar na karibu na Dar kama Pwani na Morogoro, minada ya bidhaa mchanganyiko.
  15. ViwanjaTanzania

    House4Rent 2 Bedrooms House for rent at Block 41, Morocco, Dar es Salaam.

    Rental house with 2 bedrooms, 2 bathrooms, paved compound, ample parking, wall fence, specious compound, located in a cool neighborhood within well developed area with good security in Block 41 behind Best Bite Namanga. Interested to have a look? Please schedule a DAY and HOUR for a visit or...
  16. buyoya419

    Kusafirisha Mchele kutoka Mbeya kuja Dar es Salaam

    Kwa wanaofahamu lengo langu nataka ninunue gunia za mchele kutoka Mbeya kuja Dar es salaam kwa ajili ya biashara. Nataka nifahamu bei ya usafirishaji. Na pia nifahamu sehemu nitakayopata magari ya kusafirishia. Na pia nataka nijue vibali vya kuwa navyo ili nisisumbuliwe na bei zake zote. Na...
  17. BVR 2015

    Uongozi wa DAWASCO umeshindwa kufanya kazi ipasavyo na kusababisha wakasi wa jiji la Dar Es Salaam kunywa maji machafu

    Wakazi wa Dar es salaam kwa siku mbili mfululizo tunachota maji yaliyo na vumbi katika mabomba ya Dawasco.tunaomba uongozi wa Dawasco iwajibike kwa uzembe wa kushindwa kuyatibu haya maji,wananchi tuna wasiwasi na haya maji yanaweza kuwa na wadudu waenezao magonjwa
  18. sky soldier

    Kwa walio Dar es Salaam tu: Hili ndilo suluhisho la uhakika kukabiliana na gharama zilizopanda za internet

    Kama upo Dar maeneo ya Kariakoo, Mjini posta, Msasani, Peninsular, Upanga, Kinondoni ya Morocco, Mikocheni, Masaki, O'bey, n.k Kuna fiber za kutosha kama zuku, Raha, Gofiber, n.k Fibre ni internet ya waya, unavutiwa waya hadi sehemu ulipo nyumbani kwako, ni internet ya waya lakini kuna kifaa...
  19. Samia atosha tukutane2030

    Nahitaji kuku wa kienyeji Dar es Salaam kwa ajili ya ufugaji

    Anayejua wanapouzwa kuku wa kienyeji kwa bei ya jumla kwaajili ya ufugaji anijuze. Nahitaji kuku kama 30-50 hivi nianze ufugaji.
  20. YEHODAYA

    Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

    Baada ya Ibada ya kuuombea na kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli kufanyika katika kanisa la St Peters Jiji Dar es Salaam sasa ni muda wa uwanja wa Uhuru Dar Es Salaam. Wananchi wamekusanyika kwa wingi kuuaga mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania WAKAZI WA DAR...
Back
Top Bottom