Duuu, zenji dar mkuu. Shuka nami,
Nikiwa chuo mwaka wa pili, nilikua nimepanga kitaa na na washkaji zangu wawili, mmoja kutoka Moro town chalii wa kinyamwezi ila walowezi wa moro, na mdigo mmoja alolowea korogwe.
Mshkaji wa moro alikua na demu wake anatesoma form five alfa gems hapo moro, ila...