Binti anatafuta kazi ya kuuza duka au usafi maofisini

muya97

Member
Feb 21, 2021
6
3
Habari zenu wakuu, nawasalimu sana kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Nalifkisha hili kwenu ili kupata msaada wakuu, kuna binti anatafta kazi ya kuuza duka la nguo (zakike/kiume), supermarket, Usafi maofisini na pia yupo tayari kufanya kazi ktk kampuni yeyote ya mabasi aidha kusafiri na Bus au Kuhudumia ofisini. (Sehemu aliopo ni Dar s'laam)

Age yake: 22years
Level ya elimu: FormSix _pcb
Mawasiliano: 0716 291 217
 
WAKUU VIPI, NAISHI DAR MAENEO YA MTONGANI, NISAIDIENI JAMANI KAMA KUNA ANAEJUE POPOTE PALE KWENYE MISHE YA YOYOTE ILE YA KUINGIZA PESA. nina
1.BACHELOR OF HR
2.FUNDI UCHOMELEAJI VYUMA (cheti ninacho)
namba : 0716 291 217
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom