muya97
Member
- Feb 21, 2021
- 6
- 3
Habari zenu wakuu, nawasalimu sana kwa jina la Jamhuri ya Muungano.
Nalifkisha hili kwenu ili kupata msaada wakuu, kuna binti anatafta kazi ya kuuza duka la nguo (zakike/kiume), supermarket, Usafi maofisini na pia yupo tayari kufanya kazi ktk kampuni yeyote ya mabasi aidha kusafiri na Bus au Kuhudumia ofisini. (Sehemu aliopo ni Dar s'laam)
Age yake: 22years
Level ya elimu: FormSix _pcb
Mawasiliano: 0716 291 217
Nalifkisha hili kwenu ili kupata msaada wakuu, kuna binti anatafta kazi ya kuuza duka la nguo (zakike/kiume), supermarket, Usafi maofisini na pia yupo tayari kufanya kazi ktk kampuni yeyote ya mabasi aidha kusafiri na Bus au Kuhudumia ofisini. (Sehemu aliopo ni Dar s'laam)
Age yake: 22years
Level ya elimu: FormSix _pcb
Mawasiliano: 0716 291 217