Rangoo14
Member
- Sep 4, 2019
- 50
- 116
Habari wanajamvi karibuni kwenye threat hii,
Noble Real Estate ni wauzaji wa mashamba na viwanja waliojitika hasa katika jiji la Dar es Salaam na Pwani. Viwanja vyetu vimepimwa na vinatambulika toka Wizara ya Ardhi.
Nitakua nikiwaletea miradi mbali mbali kuanzia picha, bei na maelekezo mengineyo. Kwa kuanza Ningependa niwatambulishe mradi wa Mbopo kinondo.
Mradi upo km 3 kutoka Bunju A, bagamoyo road(lami)
Eneo limepimwa na ramani kutoka wizarani ipo
Tsh 15,000 kwa square metre na eneo limepimwa kuanzia square metre 400 sawa na Tsh 6,000,000
Mradi umezungukwa na huduma zote za kijamii kama maji, umeme, barabara ,shule nk.
Mteja ataruhusu kuanza ujenzi au kuendeleza eneo mara pale tu atakapo maliza malipo yake kwa asilimia 100%.
PIA TUNAFWATILIA HATI ZA VIWANJA NA KUFANYA UPIMAJI NA UPATIKANAJI WA RAMANI ZA MAENEO MBALIMBALI KWA GHARAMA NAFUU ZA MTEJA
MALIPO YOTE YANAFANYWA KWENYE AKAUNTI YA KAMPUNI ILIYOSAJILIWA NA KUTAMBULIKA KISHERIA
ALIPO YOTE YANAFANYWA KA NJIA YA BENKI NA SI VINGINEVYO
Pia unaweza kutembelea page yetu ya instagram @official_noble_real_estate
KWA ADHA YOYOTE AU MASWALI YOYOTE USISITE KUTUPIGI KUPITIA NAMBA
0693128612
Noble Real Estate ni wauzaji wa mashamba na viwanja waliojitika hasa katika jiji la Dar es Salaam na Pwani. Viwanja vyetu vimepimwa na vinatambulika toka Wizara ya Ardhi.
Nitakua nikiwaletea miradi mbali mbali kuanzia picha, bei na maelekezo mengineyo. Kwa kuanza Ningependa niwatambulishe mradi wa Mbopo kinondo.
Mradi upo km 3 kutoka Bunju A, bagamoyo road(lami)
Eneo limepimwa na ramani kutoka wizarani ipo
Tsh 15,000 kwa square metre na eneo limepimwa kuanzia square metre 400 sawa na Tsh 6,000,000
Mradi umezungukwa na huduma zote za kijamii kama maji, umeme, barabara ,shule nk.
Mteja ataruhusu kuanza ujenzi au kuendeleza eneo mara pale tu atakapo maliza malipo yake kwa asilimia 100%.
PIA TUNAFWATILIA HATI ZA VIWANJA NA KUFANYA UPIMAJI NA UPATIKANAJI WA RAMANI ZA MAENEO MBALIMBALI KWA GHARAMA NAFUU ZA MTEJA
MALIPO YOTE YANAFANYWA KWENYE AKAUNTI YA KAMPUNI ILIYOSAJILIWA NA KUTAMBULIKA KISHERIA
ALIPO YOTE YANAFANYWA KA NJIA YA BENKI NA SI VINGINEVYO
Pia unaweza kutembelea page yetu ya instagram @official_noble_real_estate
KWA ADHA YOYOTE AU MASWALI YOYOTE USISITE KUTUPIGI KUPITIA NAMBA
0693128612