da vinci

  1. B

    Hii ndio Sababu Waadventist Wasabato huamini Mwisho wa Dunia Ulianza Mwaka 1844

    Ndugu zangu naleta kwenu hii Nadharia ya Mwisho wa Dunia kwa mujibu wa Mafundisho ya Sauti ya Unabii kutoka kwa Elen G White. Hawa wenzetu wasabato wanaamini kipindi cha Mwisho wa dunia kimeshawadia kwa hiyo kinachosubiriwa ni Ujio wa Yesu Kristo Masihi. Andiko hili litakuwa endelevu kadiri...
  2. sychellis

    Nimepotelewa na vyeti vyangu vya shule pamoja na cha kuzaliwa

    Habari, Naitwa MGOLE MWITA CHACHA Nimepotelewa na vyeti vyangu vya shule pamoja na kuzaliwa vyenye jina tajwa hapo juu. CHETI CHA FORM FOUR-MAJANI YA CHAI SEC SCHOOL CHETI CHA FORM SIX-UWEMBA SEC SCHOOL CHETI CHA CHUO-NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT(NIT) CHETI CHA KUZALIWA Iwapo ukibahatika...
  3. THE JAGGERS

    Hivi kati ya kuacha lawama au alama bora lipi?

    Hv kati ya kuacha lawama au alama bora lipi wakuu??
  4. G

    Mfahamu Leonardo Da Vinci (1452 - 1519)

    Huyu ni mmoja kati ya watu wachache wenye uwezo mkubwa kuwahi kutokea duniani. Kazaliwa 15April 1452 na kufariki 2May 1519. Huyu jamaa hakuwahi kanyaga shule ila alijaliwa kila aina ya kipaji Music, Uchoraji, Fasihi, Uhandisi, Geology, Mathematics, Astronomy, Botany, History, Cartography. The...
  5. Da'Vinci

    The Vitruvian man: Ufahamu mchoro wenye utata kuhusu mwili wa mwanadamu uliochorwa na Da Vinci

    Parental Advasory: 18+ MATES Hapo zamani dunia ilipitia kipindi butu/kibaya cha maisha ambapo dunia ilikua imesimama katika kila Nyanja ya maendeleo ya maisha ya mwanadamu kiliathiri zaidi bara la Ulaya. Kipindi hicho kiliitwa Zama za Kati/Middle Age (sio zama za mawe). Kipindi hiki kilianza...
  6. fungi6

    Installation problem of utorrent n pc

    bila shaka naisi tupo wengi ambao tumekumbwa na janga ili la window 10 updates yani kila niki download any app kwenye pc inakuja na icon ya website iliyo downlodia kama ile ya e ambayo ni explorer, naombeni msaada kwa wana jamvi wale ambao mnaujuzi mnipe mwongozo kidogo maaana am not good with...
  7. sychellis

    Mchumba kakataa kuongea na mimi kwenye simu aliyopelekewa na mama yangu

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nasoma Chuo Degree Mwaka wa Pili, kuna binti mmoja mama yangu alinambia ni mzuri ana tabia nzuri, sema mimi nikawa napotezea sikuwa na haja hiyo. Siku moja nilienda kumsalimia mama nikamuona huyo binti, jamani ni mzuri balaa. Yeye baba ni Mzanzibar na mama...
  8. 0782561354

    Hukumu ya ajabu

    Mtu akamatwa kwa kesi ya gongo hukumu ilikuwa kama ifuatavyo. Jaji: Nakuhukumu kwa kosa la kuuza gongo Mtuhumiwa: Me siuz gongo mnanionane 2 Jaji: Si tumekukamata na kifaa cha kutengenezea gongo Mtuhumiwa: Dah sasa si mmenikuta na mashine 2 lakini siuzi Jaji: Hata kama Mthumiwa: Basi nikamateni...
  9. Damaso

    Tambua mambo sita ya ajabu kutoka kwa jamii ya Aghori nchini India

    Habarini za Alhamisi natumaini mpo vizuri sana, poleni kwa wale wagonjwa Mungu awape afya njema. kama ilivyo kawaida yangu ya kuwaletea makala za kutambua mambo mbalimbali kuhusu jamii kadhaa hapa duniani. kuanzia utamaduni wao, mila pamoja na namna ya maisha yao kwa ujumla. Leo nitakuja...
  10. kajamaa kadogo

    Msaada jinsi ya kuandika barua ya kazi

    Naomba msaada wakubwa kama kichwa cha habari kinavyo jieleza naombeni msaada mambo ya kuzingatia katika uandishi wa barua ya kazi ila katika kampuni ndogo tu na ninacho hitaji ila anuani hinakaje na inataka vitu vingapi na mambo muhimu ya kuzingatia tu Nawasilisha wakuu "samahani pia kwa...
  11. Tanzanite klm

    Attitude is everything

    ATTITUDE IS EVERYTHING -Mawazo chanya ndio msingi wa mafanikio katika maisha yako. -Inahitajika mikakati na smart hardworking kufikia malengo yako. -Uwezo ulionao ndani huenda ni mkubwa zaidi kuliko unavyodahani, au pengine kuna mtu aliyewahi kukuambia una uwezo mkubwa ukachukulia poa, au kuna...
  12. neo1

    Tetesi: Russia imeingia Libya

    Kuna habari za kuaminika Kuwa Russia ameingia Libya na anawaunga mkono Haftar na pia amewapa silaha nzito, Pia kuna wanausalama wa GRU na vikosi toka Russia vimepelekwa Mashariki mwa Libya kwa kutoa mafunzo.. pia kuna kambi kubwa mbili huko Tobruk na Baghaz pia inaaminika siraha na...
Back
Top Bottom