Attitude is everything

Tanzanite klm

JF-Expert Member
May 7, 2013
453
376
ATTITUDE IS EVERYTHING
-Mawazo chanya ndio msingi wa mafanikio katika maisha yako.
-Inahitajika mikakati na smart hardworking kufikia malengo yako.
-Uwezo ulionao ndani huenda ni mkubwa zaidi kuliko unavyodahani, au pengine kuna mtu aliyewahi kukuambia una uwezo mkubwa ukachukulia poa, au kuna kipindi katika maisha yako ukikua una uwezo mkubwa lakini sasa umepungua kidogo kutokana na kuingiza negative thoughts in your mind.
-Attitude ndio kila kitu maana kila kitu ufanyacho huanza na wazo
-ulivyo na utendavyo ni matokeo ya mawazo uliyonayo
-Moyo wako ni control centre ya nawazo yako
-Filtet ya mawazo ni ubongo wako
-Mawazo sio chochote bali ni matokeo ya vile vilivyojaa ndani ya moyo wako
-kubadili your attitude/ mtizamo kwanza lazima ubadili moyo wako.
- COMPUTER KUBWA KUKIKO ZOTE NI UBONGO WA BINADAMU.------- na kama ni computer software ni your mind; unaeza fanyia programming ubongo wako ili uwe super human being
- umewahi jiuliza hollywood wanatumia mabilion mangapi ya pesa kutengeneza na kutangaza filamu zao? Kwenye akili yako nikikuuliza ukisikia kuna gaidi kwenye akili yako atakuja muarabu, ukisikia jambazi kwenye akili inakuja mwafrica, ukisikia mfanyabiashara ya madawa ya kulevy inakuja mmexico, ukisikia kuna mtu kagundua kitu kikubwa akilini mwako anakuja mzungu:
Huo ni mfumo wataalamu wa saikolojia wanaufahamu ukitaka kumbadili na kumtawala mtu mfanyie systematic programming ya akili yake:
Poul Freire aliopandika kitabu chake Pedagogy of oppressed huko brazili alikasirisha wajanja wachache akafukuzwa, maana wajanja wengi hawataki wajinga wajitambue: Hekima ya shule haiwezi kukufanya uwe Enlightened being; bado utakua human being aliyekariri mawazo ya watu wengine ili hali hawezi kutengeneza yake.
Braining Programing ni muhimu mmno
- Ear gate- chukua positive things to listen, do you know hata musics unasikiliza zina effect in your life?
-Mouth gate- chunga unachoongea maana ni energy una send......

Eye gate- chunga unachoangalia sana kina effect kwenye mfumo wako wa kufikiri
--------------
https://chat.whatsapp.com/EIAOWEN4ymW70tMFo2X0ra Subscribe group kujifunza mengi zaidi
 
ATTITUDE IS EVERYTHING
-Mawazo chanya ndio msingi wa mafanikio katika maisha yako.
-Inahitajika mikakati na smart hardworking kufikia malengo yako.
-Uwezo ulionao ndani huenda ni mkubwa zaidi kuliko unavyodahani, au pengine kuna mtu aliyewahi kukuambia una uwezo mkubwa ukachukulia poa, au kuna kipindi katika maisha yako ukikua una uwezo mkubwa lakini sasa umepungua kidogo kutokana na kuingiza negative thoughts in your mind.
-Attitude ndio kila kitu maana kila kitu ufanyacho huanza na wazo
-ulivyo na utendavyo ni matokeo ya mawazo uliyonayo
-Moyo wako ni control centre ya nawazo yako
-Filtet ya mawazo ni ubongo wako
-Mawazo sio chochote bali ni matokeo ya vile vilivyojaa ndani ya moyo wako
-kubadili your attitude/ mtizamo kwanza lazima ubadili moyo wako.

Mkuu, kwanza hongera kwa andiko lako, nakubaliana na wewe kuhusu attitude. Hata Biblia (kitabu ninachokiamini) inaeleza wazi kuhusu kubadili moyo kwanza kabla ya kubadili mtizamo: Mithali 23:7 a “Maana aonavyo (mtu) nafsini mwake, ndivyo alivyo.”

- COMPUTER KUBWA KUKIKO ZOTE NI UBONGO WA BINADAMU.------- na kama ni computer software ni your mind; unaeza fanyia programming ubongo wako ili uwe super human being
- umewahi jiuliza hollywood wanatumia mabilion mangapi ya pesa kutengeneza na kutangaza filamu zao? Kwenye akili yako nikikuuliza ukisikia kuna gaidi kwenye akili yako atakuja muarabu, ukisikia jambazi kwenye akili inakuja mwafrica, ukisikia mfanyabiashara ya madawa ya kulevy inakuja mmexico, ukisikia kuna mtu kagundua kitu kikubwa akilini mwako anakuja mzungu:
Huo ni mfumo wataalamu wa saikolojia wanaufahamu ukitaka kumbadili na kumtawala mtu mfanyie systematic programming ya akili yake:

Ni kweli kabisa! Na kwa msingi huo, vile tunavyofikiri ndivyo, uhalisia wa utu wetu. Wewe na mimi ni matokeo ya kile tunachokifikiri, na kwa sababu hiyo ni muhimu kufikiri pia kuhusu nini tunakiwaza na kama kina kibali mbele za Mungu. Zaburi 19:13-14 “Umzuie mtumishi wako asitende mambo ya kiburi, Yasinitawale mimi. Ndipo nitakapokuwa kamili, Nami nitakuwa safi, sina kosa lililo kubwa. Maneno ya kinywa changu, Na mawazo ya moyo wangu, Yapate kibali mbele zako, Ee Bwana, Mwamba wangu, na mwokozi wangu”.

NB. Kwanini mwandishi wa Zaburi anataka mawazo ya moyo wake yapate kibali mbele za Mungu? Maana yake ni kama anamuomba Mungu amsaidie kuwaza sawasawa, hii ni muhimu sana vile tunavyowaza ndivyo tunavyoweza kusema na kutenda, kama tutawaza sawasawa tutakuwa tumejizuia, kutenda, kutawaliwa, kusema na kijiepusha na makosa makubwa na uovu.

Mfumo wa maisha yako unafafanuliwa na moyo wako na fikira zako:

1. Kama unajifikiri mwenyewe sana utakuwa mbinafsi sana
- 2 Timotheo 3:1-2 “Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi,”

2. Kama utafikiri sana kuhusu wengine utakuwa mkarimu, na mwenye kujali
- Warumi 12:10-13. “Kwa pendo la udugu, mpendane ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu; kwa bidii, si walegevu; mkiwa na juhudi katika roho zenu; mkimtumikia Bwana; kwa tumaini, mkifurahi; katika dhiki, mkisubiri; katika kusali, mkidumu; kwa mahitaji ya watakatifu, mkifuata ukarimu; katika kukaribisha wageni mkijitahidi.”

3. Kama unafikiri sana kuhusu fedha utakuwa mtu mwenye tamaa
- 1 Timotheo 6:9-10 “Lakini hao watakao kuwa na mali huanguka katika majaribu na tanzi, na tamaa nyingi zisizo na maana, zenye kudhuru, ziwatosazo wanadamu katika upotevu na uharibifu. Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha; ambayo wengine hali wakiitamani hiyo wamefarakana na Imani, na kujichoma kwa maumivu mengi.”

4. Kama utakuwa mwenye kushukuru sana utakuwa mtu mwenye kuridhika
- 1 Timotheo 6:6-8 “Walakini utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa. Kwa maana hatukuja na kitu duniani, tena hatuwezi kutoka na kitu; ila tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.”

5. Kama utafikiri sana kuhusu ngono utakuwa mwenye tamaa/ kahaba
- Mathayo 5: 27-28 “Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini; lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.”

6. Kama tutafikiri sana kuhusu uadilifu tutakuwa wenye moyo safi
- 1 Wakoritho 6:18, Mathayo 5:8 “Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.”

7. Kama utafikiri sana kuhusu kutenda hila utakuwa muongo mkubwa
- Wakolosai 3:9-10 “Msiambiane uongo, kwa kuwa mmevua kabisa utu wa kale, pamoja na matendo yake; mkivaa utu mpya, unaofanywa upya upate ufahamu sawasawa na mfano wake yeye aliyeuumba.”

8. Kama utakuwa mwenye kufikiri kuhusu ukweli utakuwa mtu muaminifu
- Waefeso 4:25 “Basi uvueni uongo, mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake.”

9. Kama utakuwa mwenye kutaka sifa kutoka kwa watu utakuwa mnafiki
- Mathayo 6:5,23:12 Mathayo 6:5 “Tena msalipo, msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata thawabu yao.”

10. Kama utakuwa mwenye kufikiri sana kuhusu kumuinua Mungu, utakuwa mtumishi wake mkubwa sana
- 1 Petro 2:1-3. “Basi, wekeni mbali uovu wote na hila yote, na unafiki na husuda na masingizio yote. Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu; ikiwa mmeonja ya kwamba Bwana ni mwenye fadhili.”

Poul Freire aliopandika kitabu chake Pedagogy of oppressed huko brazili alikasirisha wajanja wachache akafukuzwa, maana wajanja wengi hawataki wajinga wajitambue: Hekima ya shule haiwezi kukufanya uwe Enlightened being; bado utakua human being aliyekariri mawazo ya watu wengine ili hali hawezi kutengeneza yake.
Braining Programing ni muhimu mmno
- Ear gate- chukua positive things to listen, do you know hata musics unasikiliza zina effect in your life?
-Mouth gate- chunga unachoongea maana ni energy una send......
Eye gate- chunga unachoangalia sana kina effect kwenye mfumo wako wa kufikiri --------------
Macho ya binadamu huvutwa zaidi kuangalia uzuri, yakivutwa kuangalia ubaya huutia moyo wa mtu majeraha. Nadhani huu ndiyo mchango wangu kwenye hii mada. Ubarikiwe sana...
 
ATTITUDE IS EVERYTHING
-Mawazo chanya ndio msingi wa mafanikio katika maisha yako.
-Inahitajika mikakati na smart hardworking kufikia malengo yako.
-Uwezo ulionao ndani huenda ni mkubwa zaidi kuliko unavyodahani, au pengine kuna mtu aliyewahi kukuambia una uwezo mkubwa ukachukulia poa, au kuna kipindi katika maisha yako ukikua una uwezo mkubwa lakini sasa umepungua kidogo kutokana na kuingiza negative thoughts in your mind.
-Attitude ndio kila kitu maana kila kitu ufanyacho huanza na wazo
-ulivyo na utendavyo ni matokeo ya mawazo uliyonayo
-Moyo wako ni control centre ya nawazo yako
-Filtet ya mawazo ni ubongo wako
-Mawazo sio chochote bali ni matokeo ya vile vilivyojaa ndani ya moyo wako
-kubadili your attitude/ mtizamo kwanza lazima ubadili moyo wako.
- COMPUTER KUBWA KUKIKO ZOTE NI UBONGO WA BINADAMU.------- na kama ni computer software ni your mind; unaeza fanyia programming ubongo wako ili uwe super human being
- umewahi jiuliza hollywood wanatumia mabilion mangapi ya pesa kutengeneza na kutangaza filamu zao? Kwenye akili yako nikikuuliza ukisikia kuna gaidi kwenye akili yako atakuja muarabu, ukisikia jambazi kwenye akili inakuja mwafrica, ukisikia mfanyabiashara ya madawa ya kulevy inakuja mmexico, ukisikia kuna mtu kagundua kitu kikubwa akilini mwako anakuja mzungu:
Huo ni mfumo wataalamu wa saikolojia wanaufahamu ukitaka kumbadili na kumtawala mtu mfanyie systematic programming ya akili yake:
Poul Freire aliopandika kitabu chake Pedagogy of oppressed huko brazili alikasirisha wajanja wachache akafukuzwa, maana wajanja wengi hawataki wajinga wajitambue: Hekima ya shule haiwezi kukufanya uwe Enlightened being; bado utakua human being aliyekariri mawazo ya watu wengine ili hali hawezi kutengeneza yake.
Braining Programing ni muhimu mmno
- Ear gate- chukua positive things to listen, do you know hata musics unasikiliza zina effect in your life?
-Mouth gate- chunga unachoongea maana ni energy una send......

Eye gate- chunga unachoangalia sana kina effect kwenye mfumo wako wa kufikiri
--------------
Nimepata kwa kunzia....

Thanks kwa uzi mkuu...!!
 
ATTITUDE IS EVERYTHING
-Mawazo chanya ndio msingi wa mafanikio katika maisha yako.
-Inahitajika mikakati na smart hardworking kufikia malengo yako.
-Uwezo ulionao ndani huenda ni mkubwa zaidi kuliko unavyodahani, au pengine kuna mtu aliyewahi kukuambia una uwezo mkubwa ukachukulia poa, au kuna kipindi katika maisha yako ukikua una uwezo mkubwa lakini sasa umepungua kidogo kutokana na kuingiza negative thoughts in your mind.
-Attitude ndio kila kitu maana kila kitu ufanyacho huanza na wazo
-ulivyo na utendavyo ni matokeo ya mawazo uliyonayo
-Moyo wako ni control centre ya nawazo yako
-Filtet ya mawazo ni ubongo wako
-Mawazo sio chochote bali ni matokeo ya vile vilivyojaa ndani ya moyo wako
-kubadili your attitude/ mtizamo kwanza lazima ubadili moyo wako.
- COMPUTER KUBWA KUKIKO ZOTE NI UBONGO WA BINADAMU.------- na kama ni computer software ni your mind; unaeza fanyia programming ubongo wako ili uwe super human being
- umewahi jiuliza hollywood wanatumia mabilion mangapi ya pesa kutengeneza na kutangaza filamu zao? Kwenye akili yako nikikuuliza ukisikia kuna gaidi kwenye akili yako atakuja muarabu, ukisikia jambazi kwenye akili inakuja mwafrica, ukisikia mfanyabiashara ya madawa ya kulevy inakuja mmexico, ukisikia kuna mtu kagundua kitu kikubwa akilini mwako anakuja mzungu:
Huo ni mfumo wataalamu wa saikolojia wanaufahamu ukitaka kumbadili na kumtawala mtu mfanyie systematic programming ya akili yake:
Poul Freire aliopandika kitabu chake Pedagogy of oppressed huko brazili alikasirisha wajanja wachache akafukuzwa, maana wajanja wengi hawataki wajinga wajitambue: Hekima ya shule haiwezi kukufanya uwe Enlightened being; bado utakua human being aliyekariri mawazo ya watu wengine ili hali hawezi kutengeneza yake.
Braining Programing ni muhimu mmno
- Ear gate- chukua positive things to listen, do you know hata musics unasikiliza zina effect in your life?
-Mouth gate- chunga unachoongea maana ni energy una send......

Eye gate- chunga unachoangalia sana kina effect kwenye mfumo wako wa kufikiri
--------------
Hyo maneno ya mwisho kbsa, series na movie za kizungu zinahusika
 
Nini maana ya neno mtazamo au attitude?

Je kila mtu aweza kubadili mtazamo wake au kuna wengine hadi nguvu ya nje iwasaidie kubadili mitazamo yao?

Je mtu anaweza kurithi mtazamo mzuri?
 
Nini maana ya neno mtazamo au attitude?
Attitude (mtazamo) ni namna unavyofikiri na jinsi kufikiri kwako kunavyoathiri kutenda kwako

Je kila mtu aweza kubadili mtazamo wake au kuna wengine hadi nguvu ya nje iwasaidie kubadili mitazamo yao?

Swali zuri sana. Kwa uelewa wangu ni kwamba kila mtu anao uwezo wa kubadili attitude yake, kwa kuwa attitude ipo ndani ya mtu wala si nje. Rejea maandiko matakatifu: Mithali 23:7 a “Maana aonavyo (mtu) nafsini mwake, ndivyo alivyo.”

kwa mfano, unadhani kwamba unaweza kuupata upendo wa dhati na thamani ya kweli toka kwa wengine. Umetafuta kwa muda sana upendo toka kwa ndugu, marafiki na majirani. Umetafuta kwa wale uliowaamini kwa dhati na mara nyingi kuishia kwenye kuumia.

Ukaingia kuutafuta upendo na thamani ndani yako mwenyewe lakini mara nyingi umeshindwa kuupata. Hivyo kushindwa kuutambua ndani mwako kumekufanya kushindwa kutoa kwa wengine. Na kwa vile umeshindwa kuupata kwako umeutafuta unapodhani upo, unaukosa na kuishia kuogopa kuweka matumaini yako huko ulipodhani upo.

Na hivyo ndivyo itokeavyo, tunatafuta pale ambapo hatukuhifadhi. Na kama hatukuuweka upendo popote vivyo hivyo hatuwezi kuupata. Kile ambacho hatukitoi maishani hatuwezi kukipata kwa sababu hapa duniani sisi ndio wasanifu na wabomoaji.

Kama tunakosa kusamehewa, ni kwa sababu hatukupata kusamehe. Kama hatuthaminiwi ni kwa sababu hatukupata kuijenga thamani sisi wenyewe. Kama hatuvumiliwi, ni kwa sababu hatukujenga uvumilivu sisi wenyewe. Kama hatupati haki na usawa ni kwa sababu hatukuanza kuijenga ndani mwetu. Kama hatuupati upendo, basi ni kwa sababu hatukupata kuujenga upendo ndani mwetu. Na kama hakuna ambaye anapata thamani toka kwa wengine, ni kwa sababu hatukuanza sisi kuijenga ndani mwetu.

Je mtu anaweza kurithi mtazamo mzuri?

Ndiyo, attitude inaweza kurithiwa kutoka kwa wazazi, lakini pia inaweza kutokana na mazingira ambayo mtu fulani amekulia (kwa maana ya watu wanaomzunguka). Kwa mfano, mtoto akifundishwa kushukuru kwa kila kitu basi atajifunza kuwa mtu mwenye kuridhika na
akiishi katika hali ya kukosolewa mara kwa mara hujifunza kulaumu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom