#COVID19 Zaidi ya watu laki 8 hawajarudi kupata chanjo kamili ya COVID-19

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,379
8,123
Takwimu za Wizara ya Afya zimeonesha kuwa watu 449,416 sawa na 26% ya watu milioni 1.71 waliotakiwa kurudi Julai 31,2022 kwa ajili ya dozi ya Pfizer hawakurudi, huku wengine 416,869 sawa na 24% waliotakiwa kurudia dozi ya pili ya Pfizer Agosti 14, 2022 hawakurudi

Taarifa hiyo pia imeonesha Mkoa wa Dodoma umeongoza kwa idadi ya waliochanja kwa 85% na mkoa wa mwisho ni Songwe ambapo ni 18.6% tu ya watu wamepata Chanjo ya COVID.19.

Hadi kufikia sasa waliopata Chanjo kamili ya COVID-19 ni watu milioni 15.96 (51.92%) ya wananchi milioni 30.74 wenye miaka 18 na zaidi.

Serikali inakusudia kutoa Chanjo ya Uviko-19 kwa wananchi zaidi ya milioni 21 ambao ni 70% ya wananchi milioni 30.74 wenye miaka 18 na zaidi ifikapo Disemba 2022.

WIZARA YA AFYA
 
Hiyo idadi ya waliochanjwa, inajumuisha na wale waliojulishwa na mjumbe wa shina aliyekusanya majina kisha, "umeshachanja", mara ujumbe kwenye simu, "maombi yako yamekubaliwa", mara "cheti chako kipo tayari".

Jamaa mmoja huku kijijini kwetu akawa ananiuliza, "vipi upande wenu, wote mmeshapata vyeti?", ndo nikahoji vipi hivyo? Jamaa akanijaza hiyo taarifa hapo, sijui ni kweli!
 
Corona imeisha ilikuwa ni ajenda ya kuzimu mission yao completed, ilikuwa ni one two one two test ya 666.
Wanafanya tathmini.
 
J&J inarudiwa au ni Pfizer peke yake? Dodoma lazima iongoze maana ndipo vigogo walipo.
 
Takwimu za Wizara ya Afya zimeonesha kuwa watu 449,416 sawa na 26% ya watu milioni 1.71 waliotakiwa kurudi Julai 31,2022 kwa ajili ya dozi ya Pfizer hawakurudi, huku wengine 416,869 sawa na 24% waliotakiwa kurudia dozi ya pili ya Pfizer Agosti 14, 2022 hawakurudi

Taarifa hiyo pia imeonesha Mkoa wa Dodoma umeongoza kwa idadi ya waliochanja kwa 85% na mkoa wa mwisho ni Songwe ambapo ni 18.6% tu ya watu wamepata Chanjo ya COVID.19.

Hadi kufikia sasa waliopata Chanjo kamili ya COVID-19 ni watu milioni 15.96 (51.92%) ya wananchi milioni 30.74 wenye miaka 18 na zaidi.

Serikali inakusudia kutoa Chanjo ya Uviko-19 kwa wananchi zaidi ya milioni 21 ambao ni 70% ya wananchi milioni 30.74 wenye miaka 18 na zaidi ifikapo Disemba 2022.

WIZARA YA AFYA
Ni hatari, COVID-19 ilishaisha halafu bado wanakomaa na chanjo.
 
Takwimu za Wizara ya Afya zimeonesha kuwa watu 449,416 sawa na 26% ya watu milioni 1.71 waliotakiwa kurudi Julai 31,2022 kwa ajili ya dozi ya Pfizer hawakurudi, huku wengine 416,869 sawa na 24% waliotakiwa kurudia dozi ya pili ya Pfizer Agosti 14, 2022 hawakurudi

Taarifa hiyo pia imeonesha Mkoa wa Dodoma umeongoza kwa idadi ya waliochanja kwa 85% na mkoa wa mwisho ni Songwe ambapo ni 18.6% tu ya watu wamepata Chanjo ya COVID.19.

Hadi kufikia sasa waliopata Chanjo kamili ya COVID-19 ni watu milioni 15.96 (51.92%) ya wananchi milioni 30.74 wenye miaka 18 na zaidi.

Serikali inakusudia kutoa Chanjo ya Uviko-19 kwa wananchi zaidi ya milioni 21 ambao ni 70% ya wananchi milioni 30.74 wenye miaka 18 na zaidi ifikapo Disemba 2022.

WIZARA YA AFYA
Hii idadi ya Dom inauhusiano na uwepo wa hispitali ya Milembe hapa? Hivi ilijengwa hapa kutokana na uhitaji wake mkubwa kuwa ni hapa?
 
Back
Top Bottom