Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kuondolewa kwa zuio la mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa zuio hilo lililodumu kwa miaka 6 baada ya kauli hii watanzania wazalendo tunasema Rais Samia Suluhu amekuja kuikomboa Tanzania zile 4R zinafanya kazi kweli kweli.
Watu wengi humu walikua wanataka Rais afungue mikutano hiyo hasa ndugu zetu CHADEMA tunaamini sasa mtafanya siasa safi kama Rais Samia Suluhu alivyoagiza