Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,556
- 9,532
Wanaume tumeumbiwa shida na si raha na ndiyo maana maisha yetu ni kupambana na shida ili kupata raha.
Hebu jiulize mwanaume umefiwa au umeumia kweli ukianza tu kutoa chozi utasikia kaka jikaze wewe ni mwanaume usilie unajikaza tu mpaka nyongo inavilia rohoni.
Unajaza maumivu mia kidogo Ila akilia mwanamke wewe atalia mpaka roho isuuzike.
Vijana chozi la mwanaume halina thamani ukilia unaambiwa acha umama jikaze ufe kijerumani.
Hebu jiulize mwanaume umefiwa au umeumia kweli ukianza tu kutoa chozi utasikia kaka jikaze wewe ni mwanaume usilie unajikaza tu mpaka nyongo inavilia rohoni.
Unajaza maumivu mia kidogo Ila akilia mwanamke wewe atalia mpaka roho isuuzike.
Vijana chozi la mwanaume halina thamani ukilia unaambiwa acha umama jikaze ufe kijerumani.