china

  1. M

    See Some foods eaten in China that got more people talking

    Chinese people LOVE to eat. If eating is a sport, no other country will come close. I’ve never seen a nation having so much time for consuming anything that walks, crawls, flies swims, slithers or grows in my whole life until I traveled to China. Strange foods. I love eating therefore, most of...
  2. S

    China: Wakazi wa Wuhan kuondolewa zuio la kusafiri Arpil 8

    Baada ya wakazi wa China kuwekewa vizuizi vya kusafiri kwa wiki kadhaa, hasa kuingia jimbo la Hubei (lenye mji wa Wuhan, kitovu cha corona) kwa karibu miezi 2 ili kuepusha kusambaa kwa korona, zuio hilo litaondolewa rasmi April 8. Wakazi wa Wuhan watakuwa huru kusafiri popote nchini kuanzia...
  3. M

    Recovered Corona Virus patients in China tests positive again!!!

    14 percent of the recovered patients in China test positive for the coronavirus for a second time. Doctors in China have revealed that patients that had fully recovered from Covid-19, have contracted the virus again. There is fear in China that there may be a second coronavirus outbreak in the...
  4. M

    China ina dawa ya CORONA, kinachosubiriwa Ni ugonjwa huu kupamba Moto ulimwengu mzima ili apige pesa

    Kwa wenye akili kubwa watakubaliana na Mimi kuwa nchi ya China tayari in dawa ya ugonjwa wa CORONA, ila kwa kuwa hii ni Vita ya kiuchumi, wanasubiri nchi nyingi zikabwe barabara na ugonjwa huu Kisha wapige pesa kwa kuziuzia dawa. Time will tell.
  5. T

    Marekani Waiomba China msaada

    CHINA YAKUBALI KUISAIDIA MAREKANI KUPAMBANA NA CORONA China imekubali kutoa msaada kwa Marekani ambayo imethibishwa kuwa na maambukizi mengi zaidi ya virusi vya corona kuliko nchi nyingine duniani, ikiwa na zaidi ya wagonjwa 85, 500 kwa mujibu wa chuo kikuu cha Johns Hopkins, Marekan Source...
  6. Trump amekuwa mpole kwa Rais wa China Xi

    Kuna baadhi ya watu wanasema china anapika data kuhusu takwimu za corona lakini tweet ya leo trump ameomba ushauri wa kupambana na corona tena kwa lugha ya upole bila kuweka mbwembwe za kuita corona chinese virus.
  7. Marekani na China zaungana katika kupambana na Corona

    Rais wa China amesema nchi yake na Marekani lazima ziungane kupambana na janga la Corona, huku mawaziri wa fedha wa Umoja wa Ulaya wakitakiwa kufikia mpango wa kuuokoa uchumi wao uliodhoofishwa kutokana na janga hilo. Rais Xi Jinping wa China pia ameitolea wito Marekani kuimarisha uhusiano wa...
  8. M

    10 Delicious foods to try out in China!!

    The saying must be true: “The Chinese eat everything that has four legs, except tables and chairs, and everything that flies except planes.” However, the State and federal health officials have been clear: You’re no more likely to contract the novel coronavirus from a person of Asian descent...
  9. China: Virusi vingine (Hanta Virus) vyaua mmoja, wengine 32 wapimwa kuona kama wana maambukizi

    Mtu mmoja amefariki dunia kutokana na Virusi vinavyofahamika kama Hanta Virus baada ya vipimo kuthibitisha amepata maambukizi. Mtu huyo alifariki ndani ya basi katika Jimbo la Yonnan na abiria 32 waliokuwepo katika basi hilo wamepimwa ili kuona kama wameathirika. Hanta Virus husambazwa na Panya...
  10. Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19

    Wakuu hamjambo? Nimekuwa nafuatilia kuhusu hili gonjwa la Corona kwa wataliano, naona linawapukutusha kama mti unavyopukutisha majani wakati wa kiangazi. Idadi ya vifo inasoma 400+ kila siku,angalia hii record ya vifo kwa Jana na Leo, ambapo Jana tu uliua watu 475. Leo hii watu takribani 425...
  11. China yatangazi mwanzo wa ushindi vita ya dhidi Corona mjini WUHAN

    Mamlaka mjini Wuhan nchini China wametangaza siku ya tar 19/3/2020 kua ni mwanzo wa ushindi wa vita dhidi ya virus vya corona Mjini Wuhan jumbo la Hubei ambako ndio kiini cha mlipuko huo. -Siku ya Leo hukuna taarifa ya maambukizi mapya -hakuna kifo kipya kilichoripotiwa -hakuna washukiwa wapya...
  12. China inaonekana kuibuka na ushindi dhidi ya janga la Corona

    Wakati nchi nyingi zikiingiwa na taharuki kutokana na kuenea kwa virusi vya corona nchini China katika jimbo la Guizhou Kusini-Magharibi mwa nchi hiyo wanafunzi wameanza kurejea mashuleni kama kawaida pasi na vilinda pua na midomo (mask). Taarifa hii ni kwa Mujibu wa kituo cha habari cha Taifa...
  13. M

    New Drug cures 80 Coronavirus patients is now approved for mass production in China

    Experts in China have now narrowed down to favipiravir. Source/Xinhua News A pharmaceutical company in China has been been handed a go ahead by the National Medical Products Administration to kick-start the mass-production of a drug that has been clinically proven to cure coronavirus. The...
  14. M

    Us biological Warfare against China could lead into World war lll

    According to Kevin Barret A number of intersting developments here in United States and China suggested that there is something strange going on regarding the Coronavirus and US government. We are now hearing from the Chinese government itself, as well as Chinese social media, which is normally...
  15. China yasema Corona ilianzia Marekani na wanajeshi wa Marekani ndio walioileta China na imeua zaidi ya watu 20,000 nchini Marekani

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Kigeni wa China Zhao Lijian amesema kuna wasiwasi kwa asilimia kubwa kuwa Marekani kupitia Jeshi lake ndio wahusika wakuu waliopandikiza corona China na kwamba ugonjwa huo haukuanzia eneo la Wuhan,China bali ulianzia Marekani. Source: Chinese News
  16. S

    Niliwashauri ATC wasiende China kupitia Bangkok, hawatapata faida njia ina ushindani sana, naona hawakusikia

    Naona ATCL wameamua kwamba wataenda China kupitia Bangkok, Thailand Bangkok. Njia hii ina ushindani sana, haitakuwa na faida kwao kupitia Bangkok na kushindana na mashirika makubwa ambayo yameweka mizizi sana kwenda au kupitia Bangkok pamoja na Ethiopian Airways and Kenya Airways. Ninawashauri...
  17. Kaka yangu amewekwa quarantine China akitokea Italy

    Kaka yangu amewekwa quarantine China akitokea Italy kwa kifupi yupo Corona positive. At the moment nahisi jambo pia tumekutana in two weeks, personally najiweka quarantine nione majibu. Huu ni ujumbe wake wa mwisho. "🇨🇳🙏🏽...it wasn’t easy leave my family in that way 🥺 I do miss them a lot and...
  18. M

    Hali ya kupambana na Corona ilivyokuwa huko China

    1. Mbinu za kijeshi za wakati wa vita zinatumika, kama vile kufungia ndani kwa kufuli maalum wasthirika wa corona wasitoke 2. Kupeleka waathirika kwenye makambi maalum yaliyotengenezwa 3. kubadiri viwanja vya michezo na mabweni ya shule kuwa vituo maalum vya karantini 4. Kukamata wasiovaa...
  19. J

    Corona: Zanzibar yasitisha safari zote za ndege kutoka Italy

    Serikali ya mapinduzi Zanzibar imesitisha safari zote za ndege kutoka Zanzibar na sherehe zote zinazohusisha wageni kutoka nje. Waziri wa Afya Zanzibar Mh. Hamad Rashid amesema wamechukua hatua hizo ili kukabiliana na hatari ya Corona iliyoko huko duniani. Source Star tv!
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…