Marekani Waiomba China msaada

The Initiator huru

JF-Expert Member
Dec 4, 2017
1,530
1,733
CHINA YAKUBALI KUISAIDIA MAREKANI KUPAMBANA NA CORONA

China imekubali kutoa msaada kwa Marekani ambayo imethibishwa kuwa na maambukizi mengi zaidi ya virusi vya corona kuliko nchi nyingine duniani, ikiwa na zaidi ya wagonjwa 85, 500 kwa mujibu wa chuo kikuu cha Johns Hopkins, Marekan
Source: Azam news
 
CHINA YAKUBALI KUISAIDIA MAREKANI KUPAMBANA NA CORONA

China imekubali kutoa msaada kwa Marekani ambayo imethibishwa kuwa na maambukizi mengi zaidi ya virusi vya corona kuliko nchi nyingine duniani, ikiwa na zaidi ya wagonjwa 85, 500 kwa mujibu wa chuo kikuu cha Johns Hopkins, Marekan
Source: Azam news
Tuwekee hayo maombi na kukubaliwa kwake tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2FBE6D91-FC84-49ED-8963-89151AF08753.jpeg
 
Uadui wa Marekani na China sio serious kivile. Hawa jamaa wanategemeana sana hasa kwenye mambo ya biashara.

Adui mkubwa wa Marekani ni Iran. China na Marekani kinachowasumbua ni wivu tu wa kiuchumi.
 
Alafu huwezi amini, utasikia Pompeo naye anatangaza Vikwazo dhidi ya China.


Marekan huwa hawaangalii hayo, Rafiki wake wa kweli ni Israel na Uingereza

"What is yours will always be yours no matter what "
 
Back
Top Bottom