chelsea

  1. H

    JamiiForums Tanzania OFFICIAL: Timo Werner is Chelsea Player

    Team ya Chelsea hivi Leo wameconfirm usajili wa Timo Werner from RB Leipizig wa price clouse ya Paundi million 45 wa mkataba wake. Imeripotiwa Timo Werner atajiunga na Chelsea mwezi ujao(Mwezi wa 7) na atakuwa sehemu ya Kikosi Cha Chelsea itakaporudiana na Bayern Munich ligi ya mabingwa...
  2. RAKI BIG

    JamiiForums Tanzania Tammy Abraham, mchezaji wa chelsea F.C na timu ya Taifa ya England aikana nchi yake ya Nigeria

    "Kuna sababu za msingi ambazo zilinifanya nichague kuichezea timu ya Taifa ya England badala ya Nigeria, sababu ya kwanza ni wazi Nigeria haina nafasi kwenye michuano ya Kombe la Dunia wakati England ina nafasi kubwa ya kushinda Kombe la Dunia. Sababu ya pili ni kwamba siwezi kuimba wimbo wa...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Chelsea vs Bayern Munich

    Game ya Chelsea vs Bayern ninawezaje kuangalia kupitia online live? Mwenye kujua aniambie please.
  4. H

    JamiiForums Tanzania Chelsea imekubaliana na Ajax kumsajili Hakim Ziyech

    Chelsea imekubali kumsajili kiungo mchambuliaji hatari wa Ajax Hakim ziyech kwa Paundi Milioni 40. Hakim Ziyech amekuwa mchezaji tegemezi aliyebaki kwenye kikosi cha Ajax baada ya kuondoka De Jong na wachezaji wengine wawili kwenye kikosi kilichofika nusu fainali ya UEFA Champions League...
  5. Last Seen

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Arsenal tufarijiane hapa

    Habari wana jamvi, Msimu huu Arsenal tuna hali mbaya kuliko Misimu yote iliyopita, Emery alietegemewa kufanya makubwa na kikosi cha Arsenal akakibomoa kikosi kwa migogoro na wachezaji. Alianza kwa mbwembwe za kufika fainali ya Europa hatimaye akala kipigo kitakatifu kutoka kwa timu iliyokuwa...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Maoni yangu ya man city vs Chelsea

    Leo kutawakutanisha team ya man city vs Chelsea na inategemewa itakuwa game nzuri. tuanze kuona strength na weakness za Kila timu. Strength ya Chelsea Bahati nzuri kwa Chelsea leo trio midfilder wao wakali yaani kante,jorginho na kovacic wote wapo fit na inategemewa wote wataanza kwa...
  7. H

    JamiiForums Tanzania Hazard: Chelsea atamfunga man city

    Mshambuliaji machachari wa real Madrid ambaye pia aliwakuichezea Chelsea ametoa utabiri wake kuhusu game kubwa itakayofanyika jumamosi itakao wakutanisha man city ambaye anashika nafasi ya 4 vs Chelsea anayeshika nafasi ya 3 ya league. Hazard ameiambia sky sports yeye anaona Chelsea ataibuka na...
  8. H

    JamiiForums Tanzania Maoni yangu ya Chelsea 4 - 4 Ajax

    Kwangu hii ndiyo game ilikuwa nzuri sana kwangu kuitazama team zote zilicheza open football. Jambo lililovutia zaidi ni comeback ya Chelsea from kufungwa 4 kwa 1 mpaka kuwa 4 kwa 4. First half analysis First half Ajax walitumia vizuri makosa ya mabeki wa Chelsea ikasababisha Abraham...
  9. H

    JamiiForums Tanzania Leo Chelsea wanafungwa na Manchester United

    Najua Leo watu wengi mmempa nafasi kubwa chelsea kushinda dhidi ya man u game ya Leo ya carabao.Ukiangalia vikosi vyote viwili Chelsea ana kikosi Bora kuliko man u pia hata form yao pia ni nzuri huku man u yupo na alitete. Kati ya watu waliosema Chelsea atashinda me ni mmoja wapo lakini baada...
  10. bossswo

    JamiiForums Tanzania I was wery surprised

    you hear about sponsorship 1xbet with Chelsea? OMG 😮 https://1xlmq.world/en/ourpartners/chelsea/
  11. Kunguru Mjanja

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Full name: Chelsea Football Club Nickname(s): The Blues, The Pensioners Founded: 10 March 1905 League: Premier League Website: ChelseaFC.com Ground: Stamford Bridge, (Capacity: 41,663) - Pitch 103m x 67m Owner: The consortium of Todd Boehly, Clearlake Capital Group, Hansjörg...
Back
Top Bottom