Mshambuliaji machachari wa real Madrid ambaye pia aliwakuichezea Chelsea ametoa utabiri wake kuhusu game kubwa itakayofanyika jumamosi itakao wakutanisha man city ambaye anashika nafasi ya 4 vs Chelsea anayeshika nafasi ya 3 ya league.
Hazard ameiambia sky sports yeye anaona Chelsea ataibuka na ushindi na ametoa sababu wakati nikiichezea Chelsea mwaka Jana nilikuwa Sana tegemezi ila Chelsea ya sasa " no hazard there is a party" wanacheza as a team work, wanafunga magoal mengi as fun na pia wanakocha mzuri Sana.
Hazard ameiambia sky sports yeye anaona Chelsea ataibuka na ushindi na ametoa sababu wakati nikiichezea Chelsea mwaka Jana nilikuwa Sana tegemezi ila Chelsea ya sasa " no hazard there is a party" wanacheza as a team work, wanafunga magoal mengi as fun na pia wanakocha mzuri Sana.