Team ya Chelsea hivi Leo wameconfirm usajili wa Timo Werner from RB Leipizig wa price clouse ya Paundi million 45 wa mkataba wake. Imeripotiwa Timo Werner atajiunga na Chelsea mwezi ujao(Mwezi wa 7) na atakuwa sehemu ya Kikosi Cha Chelsea itakaporudiana na Bayern Munich ligi ya mabingwa.
Usajili wa Timo Werner unakuwa wapili wa miamba hiyo ya London baada ya hapo awali kumsajili Winga wa kushoto na kiungo mshambuliaji hatari wa Ajax Hakim Ziyech. Hakim Ziyech amemaliza ligi before ya kuvunjwa kutokana na ugonjwa hatari wa Corona akiwa Ni top teyali Ni top assist wa ligi.
Usajili wa Timo Werner unakuwa wapili wa miamba hiyo ya London baada ya hapo awali kumsajili Winga wa kushoto na kiungo mshambuliaji hatari wa Ajax Hakim Ziyech. Hakim Ziyech amemaliza ligi before ya kuvunjwa kutokana na ugonjwa hatari wa Corona akiwa Ni top teyali Ni top assist wa ligi.