Chelsea imekubali kumsajili kiungo mchambuliaji hatari wa Ajax Hakim ziyech kwa Paundi Milioni 40.
Hakim Ziyech amekuwa mchezaji tegemezi aliyebaki kwenye kikosi cha Ajax baada ya kuondoka De Jong na wachezaji wengine wawili kwenye kikosi kilichofika nusu fainali ya UEFA Champions League.
Hakim Ziyech amecheza michezo 78 na amefunga goals 29 na ana assist 45 tangu ajiunge na Ajax
UPDATE: RASMI
Hakim Ziyech amekuwa mchezaji tegemezi aliyebaki kwenye kikosi cha Ajax baada ya kuondoka De Jong na wachezaji wengine wawili kwenye kikosi kilichofika nusu fainali ya UEFA Champions League.
Hakim Ziyech amecheza michezo 78 na amefunga goals 29 na ana assist 45 tangu ajiunge na Ajax