Formula iliyotolewa na NIMR kudhibiti Covid19 ikizingatiwa tukaitumia bila dharau hatuhitaji chanjo

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wana jf,

Naungana na rais Wangu Dr. j.Magufuri kugomea chanjo, ikiwa tuna wataalum wakali kutoka NIMR wameonyesha uwezo Wa kukabili kirusi hiki hatari duniani. Yapo magonjwa Mengi ambayo tunaishi nayo na hatujawahi kupewa chanjo kwa Kuwa wenzetu washatokomeza labda kwa madawa yao. Sisi kwa kutoa tibalishe Nimrcaf itoshe to kusema hata kirusi kijibadiri vipi tiba lishe ile ile itakingoa mwilini.

Hata hivyo baada ya kupitia hotuba ya juzi na kuona Rais anavyopambana tusiuliwe na njaa badala ya corona kwa kutufungia huku hana uwezo Wa kutulisha tz mil 58 naona ameshiriki kututia moto na nguvu tusitishwetishwe na wazungu. Pia mpaka sasa hakuna mfanya mazoezi au mwanamichezo amefariki kwa corona hiyo kumbe kinga ni kufanya mazoezi na kula vyakuka vilivyoainishwa, inatosha kufukuza ndudu bila chanjo. Si kila kinachoua wazungu sie tukitilie maanani na kukiogopa sana bali tukifanyie kazi tukitokomeze.

Asante rais wangu kwa kututia moyo kuwa tusitishike ila tuchukue tahadhali kutokana maelekezo ya idara ya Afya.

Leo nilikuwa kwenye msiba bunju ambao mtu mmoja aliyefariki inasemekana alikuwa nayo lakini ameuhudumiwa na watu wa kila aina bila kutambua kuwa ni ugonjwa gani, walionhudumia hawajapigwa karanteen kuanzia mtoto wake dreva na mke wake bado wako vizuri, ikiwa wao wana afya mzuri na wanafuata masharti ya tibalishe ugonjwa huu utapita tu.

Nashauri wale vibonge, wazee, wenye vifua vikuu, ukimwi kila wiki wanywe nimricaf waongeze kinga ugonjwa utapotea
 
Tiba lishe sio dawa ya kutibu ugojwa,lakini inasaidia kumpa nafuu mgojwa kwa kutuliza dalili zinazoambatana na ugonjwa huo.
 
Watengeze pia dawa lishe ya nguvu za kiume, màana kila ukipita mtaani na kwenye blogs nyingi mabango yameenea : "tunatibu nguvu za kiume/ rudisha heshima ya ndoa" . Hii inaonyesha hii ni corona ya ndoa inayo waathiri sana wanaume hususani wa Dar.
 
Umenena.

Ila kwa mtizamo wa kitaalamu hii Fomula unayoipigia Chaput bado jna mapungufu yapata 3 ! Hamna Asali, chumbi ya made, na sana Karafuu. Ambavyo vote tunavyo! Nimeijaribu bill hivyo ni ukakasi tu.

Sawa hatukatai ila wataalamu wake wajiongeze. Joking kila uwezavyo.
 
Lyman from nowhere hajui hata virus ni nini na tiba yake inatakiwa iwe nini anafungua uzi JF na moods wanauangalia tu kisa unampamba JPM kwa mgongo wa chupa.

Kwa nyuzi za namna hii JF inautofaut gani na FB sasa?
 
Wana jf
Naungana na rais Wangu Dr. j.Magufuri kugomea chanjo, ikiwa tuna wataalum wakali kutoka NIMR wameonyesha uwezo Wa kukabili kirusi hiki hatari duniani. Yapo magonjwa Mengi ambayo tunaishi nayo na hatujawahi kupewa chanjo kwa Kuwa wenzetu washatokomeza labda kwa madawa yao. Sisi kwa kutoa tibalishe Nimrcaf itoshe to kusema hata kirusi kijibadiri vipi tiba lishe ile ile itakingoa mwilini.

Hata hivyo baada ya kupitia hotuba ya juzi na kuona Rais anavyopambana tusiuliwe na njaa badala ya corona kwa kutufungia huku hana uwezo Wa kutulisha tz mil 58 naona ameshiriki kututia moto na nguvu tusitishwetishwe na wazungu. Pia mpaka sasa hakuna mfanya mazoezi au mwanamichezo amefariki kwa corona hiyo kumbe kinga ni kufanya mazoezi na kula vyakuka vilivyoainishwa, inatosha kufukuza ndudu bila chanjo. Si kila kinachoua wazungu sie tukitilie maanani na kukiogopa sana bali tukifanyie kazi tukitokomeze.

Asante rais wangu kwa kututia moyo kuwa tusitishike ila tuchukue tahadhali kutokana maelekezo ya idara ya Afya.

Leo nilikuwa kwenye msiba bunju ambao mtu mmoja aliyefariki inasemekana alikuwa nayo lakini ameuhudumiwa na watu wa kila aina bila kutambua kuwa ni ugonjwa gani, walionhudumia hawajapigwa karanteen kuanzia mtoto wake dreva na mke wake bado wako vizuri, ikiwa wao wana afya mzuri na wanafuata masharti ya tibalishe ugonjwa huu utapita tu.

Nashauri wale vibonge, wazee, wenye vifua vikuu, ukimwi kila wiki wanywe nimricaf waongeze kinga ugonjwa utapotea
Kama alikuwa na Covid 19 na wewe umefika kwake msibani basi hata wewe utakuwa umeipata. Maana huu ugonjwa unaambukizwa kwa kupiga chafya au kugusana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom