Labda kwa kuwafichulia siri , mimi ni miongoni mwa wazaliwa wa Kanda hii Kabambe , natokea kijiji cha Kajunjumele Wilaya ya Kyela , ni miongoni mwa wadau kadhaa waliochangia kuifuta ccm Kyela, wengine ni Japhet Mwakasumi sasa Marehemu, japo baadaye aliunga juhudi, ila demage aliyoisababishia CCM...