Asali haijawahi kumuacha mtu salama, ukilamba lazima utamani kulamba tena. Ccm oyeee
Kwa uelewa wako huu Hakika mfumo wetu wa elimu una shida
Wanachama wenzangu wa CCMKwa uelewa wako huu Hakika mfumo wetu wa elimu una shida
Mtu mzima na familia bado unashindwa kuelewa video, Je ingekuwa maandishi si ungepagawa kabisa
Ningekuwa karibu na wewe Hakika ningekutandika viboko mbele ya mkeo na watoto wako
Kama unashindwa kuelewa video ya dakika moja utaweza elewa hotuba ya mfumuko wa bei ya dk kumi na tano
Nchi hii kuna mbumbu wengi sana
Kuna watu JF mliwezaje kufaulu mitihani kama uelewa wenu ni finyu namna hii
Ngoja walevi wenzake waje watafute njia ya kumnasua boss wao na U'CCM wake
Haya angeongea Zito au Mbatia humu JF pasingekalika.Mbowe kunasaa akili inamkaga sawa
Wanachama wenzangu wa CCM
Hebu toa uzuzu wako hapa
Haya angeongea Zito au Mbatia humu JF pasingekalika.
Watu wetu wa mfumo huwa ni vigumu sana kukaa mbali na mfumo.Umenikumbusha lowasa akiwa anagombea urais akiwa chadema aliwahi kusema ccm oyeee
Kwa hiyo Kikwete aliposema ndugu wamerekani wenzetu, Kikwete ni mmarekani?Wanachama wenzangu wa CCM
Kwa hiyo Kikwete aliposema ndugu wamerekani wenzetu, Kikwete ni mmarekani?
Mama Samia alipokutana na wakristo alisema ndugu wakristo wenzangu kwa hiyo Rais Samia ni mkristo?
Jifunze matumizi ya Fasihi na Sarufi
Duh, umecharuka kwelikweli!Kwa uelewa wako huu Hakika mfumo wetu wa elimu una shida
Mtu mzima na familia bado unashindwa kuelewa video, Je ingekuwa maandishi si ungepagawa kabisa
Ningekuwa karibu na wewe Hakika ningekutandika viboko mbele ya mkeo na watoto wako
Kama unashindwa kuelewa video ya dakika moja utaweza elewa hotuba ya mfumuko wa bei ya dk kumi na tano
Nchi hii kuna mbumbu wengi sana
Kuna watu JF mliwezaje kufaulu mitihani kama uelewa wenu ni finyu namna hii
Kwa akili hizi na wewe unaitwa Baba kwenye familia
Hakika mwanao ana kazi kubwa kukukomboa kifikra
Rais Samia anaposema ndugu wakristu wenzangu, Kwa hiyo Samia ni mkristo?
Nafikiri ni vizuri ukatumia akili kujibu hoja iliyopo hapa ambayo inahusu kauli ya jana ya Mbowe mwenyewe kujiita mwana CCM.Kwa hiyo Kikwete aliposema ndugu wamerekani wenzetu, Kikwete ni mmarekani?
Mama Samia alipokutana na wakristo alisema ndugu wakristo wenzangu kwa hiyo Rais Samia ni mkristo?
Jifunze matumizi ya Fasihi na Sarufi