johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,000
- 142,028
Katika hotuba yake jana Mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA Mh John Heche amesema polisi wameona madhara ya kutokuwepo wabunge wa Upinzani bungeni.
Kwa maana hiyo polisi wamempa mh Heche hoja zao akazitetee.
Kama ni kweli maelezo haya ya mh Heche basi kuna tatizo mahali.
Heche hayuko katika nafasi yoyote ya kuweza kuchukua hoja za polisi na kuzitetea siyo Mbunge siyo diwani wala siyo chochote kwenye mihimili ya Dola.
Yawezekana ni kutafuta Kiki tu za "Kikurya"
Kwa maana hiyo polisi wamempa mh Heche hoja zao akazitetee.
Kama ni kweli maelezo haya ya mh Heche basi kuna tatizo mahali.
Heche hayuko katika nafasi yoyote ya kuweza kuchukua hoja za polisi na kuzitetea siyo Mbunge siyo diwani wala siyo chochote kwenye mihimili ya Dola.
Yawezekana ni kutafuta Kiki tu za "Kikurya"