chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. U

    Chadema badala ya kuuza sera mshike Dola mmeamua kudandia, kujadili na kukosoa agenda za CCM!

    Mnacheza Ngoma ya Lumumba badala ya kuwazia kushuka Dola kwa sanduku la Kura. Niwape pole ila hamjachelewa sana
  2. Tlaatlaah

    GE2025 Baada ya CHADEMA kusambaratika, Demokrasia imesitawi na kushamiri vizuri zaidi tanzania kuelekea Uchaguzi Mkuu wa October 29, 2025

    Uhuru kwa vyama vya siasa kufanya siasa za kistaarabu umeongezeka na mazingira bora zaidi ya kisheria kwa wananchi na wanasiasa kufanya shughuli za kisiasa kwa usawa, uhuru, uwazi na haki yameboreshwa na kua bora zaidi. Kuelekea uchaguzi mkuu wa October, vyama vya siasa nchini vinaenjoy kwa...
  3. chiembe

    Kwa nini chadema imefanya siri majina ya watu waliochanga fedha za tonetone

    Ni vyema vyama vya siasa vikawa na uwazi kuhusu michango wanayopokea. Najiuliza chadema wana hofu gani mpaka wanakusanya fedha kwa siri kubwa sana?
  4. econonist

    Public reception ya Mpina imekuwa tofauti na matarajio

    Niwe mkweli, public reception ya Mpina haijawa kubwa kivile kama ilivyotegemewa. Hii ni tofauti na public reception waliyopata Maalim Seif alipoanzisha KAMAHURU na baadaye CUF, Mrema kuhamia NCCR na Lowassa kuhamia CHADEMA. Hawa walipohama walihama na wanachama wa CCM na viongozi wao na jamii...
  5. Dennis Robert Shughuru

    Yanga ina mashabiki Waislamu, Wakristo, wapagani, wanachama wa CCM, CHADEMA, CUF, wasionachama n.k

    Yanga ni taasisi watu wanatakiwa wajue hili ndani ya taasisi kuna mashabiki na watu aina tofauti-tofauti Mfano Kuna mashabiki wa Yanga ni Waislamu Kuna mashabiki wa Yanga ni Wakristo Kuna mashabiki wa Yanga ni wapagani Kuna mashabiki wa Yanga ni wachawi Kuna mashabiki wa dini ya ki-hindu Kuna...
  6. R

    Bado kuna vijana wana wito wa kumpigania Tundu Lissu, maana si kwa hali hii jamaa alivyokuwa anapambana na Polisi

    Mmoja kati ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akivutana na askari wa Jeshi la Polisi katika Mahakama ya Kisutu ambako kesi inayomkabili mwenyekiti wao, Tundu Lissu, inaendelea.
  7. L

    Ni aibu kwa CHADEMA kushindwa kukusanya Tsh Millioni 100 kwa zaidi ya Mwezi wakati CCM inakusanya Billion 86 kwa usiku mmoja

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika, CCM imeonyesha umwamba wake. Imeonyesha namna ilivyo na watu, namna inavyopendwa, namna inavyokubalika, kuungwa mkono na kukaa mioyoni mwa watu. Ikumbukwe ya kuwa chama cha siasa ni watu. Na ili upate watu, ni lazima watu wawe na imani na chama kutokana na...
  8. U

    GE2025 Vigogo sita wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamechangia jumla ya Sh.milioni 150 katika harambee ya chama hicho

    Vigogo sita wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamechangia jumla ya Sh.milioni 150 katika harambee ya chama hicho, inayolenga kupata kiasi cha Sh. bilioni 10 za kuwezesha kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu. Wametoa michango yao leo Agosti 12, 2025, katika harambee inayoendelea ukumbi wa Mlimani City...
  9. MWAISEMBA CR

    Tathmini ya Kampeni ya “No Reforms, No Election” na Mapendekezo ya Hatua za Haraka

    BARUA YA WAZI KWA VIONGOZI WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) Yah: Tathmini ya Kampeni ya “No Reform No Election” na Mapendekezo ya Hatua za Haraka Viongozi wangu wapendwa, Kwa heshima na taadhima, ninawandikia barua hii kama mwanachama mtiifu wa CHADEMA, mwenye mapenzi makubwa...
  10. Erythrocyte

    CHADEMA yatangaza Septemba 7 kuwa siku ya Mashujaa nchini

    Tangazo hilo kabambe linaongeza siku za Mashujaa za Tanzania kutoka Moja na Kuwa Mbili limetolewa na Wananchi Wote wa Tanzania kupitia kwa Msemaji wao John Heche, Ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Septemba 7 ndio siku ambayo Viongozi Wajinga na Waoga waliagiza Tundu Lissu Auawe...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    Yericko Nyerere na wenzake waende Stand Up Comedy; kama walimshindwa Lissu CHADEMA wataiweza CCM yenye Dola?

    Hamjambo! Unajua kuna watu wanadunia ya peke Yao. Hasa kwenye hawa Vituko Show, au Futuhi. Kina Yericko Nyerere na wenzake ni watu wenye vipaji bora sana katika ufutuhi na standup comedy. Coy Mzungu ni vile hajawaona. Lakini nina uhakika wananamba Pale Cheka Tuu. Hasa Yericko namwona kama mtu...
  12. J

    Yeriko Nyerere nadi sera za CHAUMMA achana CHADEMA

    Yeriko Nyerere mwanachama wa zamani wa CHADEMA aliyejiunga CHAUMMA hivi karibuni, amepewa kazi maalum. Kazi hiyo maalum ni kuhakikisha anawadhoofisha kimkakati baadhi ya viongozi wa CHADEMA na Chama chao kwa ujumla. Katika kazi yake hiyo mpya ndani ya CHAUMMA, Yeriko ameelekeza Moja kwa moja...
  13. Waufukweni

    GE2025 Bwege: Dalili zote zinaashiria Mbowe hayupo CHADEMA

    Seleman Bungara (Bwege), aliyewahi kuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, anasema "Dalili zote Mbowe hayupo CHADEMA" Soma > Bwege: Polepole Kathibitisha CCM ndiyo tatizo, inavunja Katiba ya Chama na Tanzania na inadharau maoni ya Watanzania
  14. TODAYS

    GE2025 Hakika Lissu ndiye ataweza, Mbowe hakutegemea hiki

    Amani muswano mtanzania. Katika jambo nililojiuliza ni moja, kwa nini Lissu?. Nimepitia mijadala mingi na kujipa jibu, kwamba kumbe hatukuwahi kuwa na kiongozi wa kisiasa anayetaka kuiondoa CCM kiringeni. Wote hawa ni sinema tu. Siku Lissu alipovaa jacket la kuzuia risasi nikaelewa, siku...
  15. Waufukweni

    GE2025 Lumola Kahumbi ajiondoa CHADEMA, atangaza kuhamia CHAUMMA

    Aliyekuwa mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Lumola Kahumbi, amejiunga rasmi na Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), akibainisha kuwa uamuzi wa chama chake cha zamani kususia Uchaguzi Mkuu wa 2025 umekuwa sababu kuu ya kuhama. Akizungumza Agosti 11, 2025 katika ofisi za...
  16. Dr Akili

    GE2025 ACT wazalendo walichokifanya kule Zanzibar 2015 baada ya kumeguka CUF wanaweza kukifanya tena 2025 huku bara baada ya kumeguka CCM na CHADEMA

    Siasa ni kama mchezo wa karata. Mjanja anayeweza kuzicheza karata zake vizuri kwa kawaida huibuka mshindi. Zitto Kabwe ni hodari wa kuucheza huo mchezo. Anajua kuwa kumeguka kwa vyama vikuu vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu vinatoa fursa za kuimarisha chama chake. Mwaka 2015 chama cha CUF...
  17. J

    GE2025 Kwanini Wafuasi wa Chadema waliohamia Chaumma bado Akili zao zote zinawaza Chadema ila Matumbo yao ndio yameketi Chaumma?

    Kama unabisha Angalia Yericko Mengele anavyohangaika kuitangaza Chadema mitandaoni ilhali ameshahamia Chaumma Je Utumbo unakishinda kichwa au ikoje? Mlale unono 😄✔️
  18. Mzee Mwanakijiji

    GE2025 Bila Tundu Lissu Kuachiliwa na CHADEMA Kuruhusiwa, uhalali wa Rais Samia Suluhu utahojiwa

    Na. M. M. Mwanakijiji Ni kweli. Rais Samia anaweza kushinda Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 tena kwa kishindo kweli kweli. Ni kweli. Mamilioni ya wanachama, mashabikiki na wapenzi wa Chama cha Mapinduzi wataenda kutiki kwenye sanduku la kura na kumpa kura Rais na kuandika historia ya...
  19. tonicimmobility

    SI KWELI PreGE2025 LHRC waionya CHADEMA lugha za matusi

    LHRC waionya CHADEMA kuhusu matumizi ya lugha za matusi
  20. Just Pray

    GE2025 Yericko Nyerere: Siku Lissu akiondoka CHADEMA tutarudi upya, tatizo ni Lissu siyo mtu mwingine

    Wakuu Yericko Yohanesy Msambila Mkana Nyerere, mwanachama wa chama cha ukombozi wa Umma (CHAUMMA), ameweka wazi kuwa siku Mwenyekiti wa chama hiko Tundu Lissu akiondoka basi yeye atarejea CHADEMA.
Back
Top Bottom