Kasome alicho andika Chakwera.Iwapo jambo hili ni kweli, basi ni wazi kwamba CHADEMA imewasaliti Watanzania.
View attachment 3574549ma
kuna wafuasi wengine wa CHADEMA wanamnyooshea TAL kidole juu ya hili .Iwapo jambo hili ni kweli, basi ni wazi kwamba CHADEMA imewasaliti Watanzania.
View attachment 3574549ma
Hivi we una akili timamu? Amepambana kuliko waliofumuliwa vichwa october 29? Kuna sapoti kubwa kama ile ya october 29?, chadema haikushiriki maandamano lakini vijana waliingia mitaani kwa kupambania ajenda zilizopambaniwa na chadema, hivyo hata lissu ana deni, akitoka huko anatakiwa kuendeleza mapambano, watu wamemwagwa utumbo huku nje , yeye yuko jela lakini shavu dodo, TUNAWADAIkuna wafuasi wengine wa CHADEMA wanamnyooshea TAL kidole juu ya hili .
Ilhali
-hawakuwahi kuhudhuria walau tu kesi yake au kusogelea majengo ya mahakama,
-Octer 29 walikua wamejifungia ndani.
Behind the keyboard na kuongea kwa maneno ni rahisi… TAL anapambana sana mkuu ..kule ngome pasikie tu.. ata akifanya hayo mazungumzo wakati bado yupo ngome kamwe sitamnyooshea kidole.
The guy amepambana sana na Watanzania bado hatujampa support inayotakiwa. Ata akisema anaishia hapa ana nawa mikono sintomlaumu
Acha mihemko na hisia za kijingaIwapo jambo hili ni kweli, basi ni wazi kwamba CHADEMA imewasaliti Watanzania.
View attachment 3574549ma
Watu wamepoteza maisha kwa ajili ya nchi hii tarehe 29 October, Lisu bado yupo hai nani kapambana zaidi ya mwingine.!?kuna wafuasi wengine wa CHADEMA wanamnyooshea TAL kidole juu ya hili .
Ilhali
-hawakuwahi kuhudhuria walau tu kesi yake au kusogelea majengo ya mahakama,
-Octer 29 walikua wamejifungia ndani.
Behind the keyboard na kuongea kwa maneno ni rahisi… TAL anapambana sana mkuu ..kule ngome pasikie tu.. ata akifanya hayo mazungumzo wakati bado yupo ngome kamwe sitamnyooshea kidole.
The guy amepambana sana na Watanzania bado hatujampa support inayotakiwa. Ata akisema anaishia hapa ana nawa mikono sintomlaumu
Msimamo wa Chadema ni upi!?Acha mihemko na hisia za kijinga
Msimamo wa chadema uko wazi ufuatilie
Hakika 💯Hii nchi bora upambanie tumbo lako tu. Watanzania hovyo kabisa, ni wakuachwa tu na taabu zetu zitunyooshe.
Pua je!?Yangu macho, na masikio.
Duh!Inasemekana ametishiwa kuuawa kama alivyouawa hampered polepole kama ataendelea kupinga serikali haramu ya huyu bibi wa makunduchi
Tumesoma lakin bado kuna harufu ya usaliti kwenye maandishi hayo soma kwa umakini utaona.Kasome alicho andika Chakwera.
Tupunguze porojo
Hadi 'makende' kaka.Pua je!?
Hutaki mazungumzo baada ya kufutiwa kesi? au sijakuelewa na usaliti ni upi kutaka kesi zifutweIwapo jambo hili ni kweli, basi ni wazi kwamba CHADEMA imewasaliti Watanzania.
View attachment 3574549ma
Kwenye harakati Lissu alishawahi kumiminiwa risasi(assassination attempt) zaidi ya thelathini na risasi zisizo chini ya 16 zikamuingia mwilini, hao waliofariki kwa kupigwa risasi pasina shaka yoyote ni mashujaa sana katika historia ya kupambana haki na demokrasia lakini kwa kuwa tu walifariki haiwafanyi kuwa mashujaa zaidi ya mtu ambaye pia kwenye mapambano alimiminiwa risasi nyingi kwa lengo la kumuua ila akanusurika na mwili umejazwa mavyuma na una makovu lukuki ya majeraha ya risasi na ya surgeries alizofanyiwa katika kumtoa risasi nyingi mwilini mwake.Watu wamepoteza maisha kwa ajili ya nchi hii tarehe 29 October, Lisu bado yupo hai nani kapambana zaidi ya mwingine.!?