CHADEMA imewasaliti Watanzania

CHADEMA imewasaliti Watanzania

Ozon

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2024
Posts
2,553
Reaction score
4,043
Iwapo jambo hili ni kweli, basi ni wazi kwamba CHADEMA imewasaliti Watanzania.
1000393869.jpg
ma
 
Iwapo jambo hili ni kweli, basi ni wazi kwamba CHADEMA imewasaliti Watanzania.
View attachment 3574549ma
kuna wafuasi wengine wa CHADEMA wanamnyooshea TAL kidole juu ya hili .

Ilhali
-hawakuwahi kuhudhuria walau tu kesi yake au kusogelea majengo ya mahakama,
-Octer 29 walikua wamejifungia ndani.

Behind the keyboard na kuongea kwa maneno ni rahisi… TAL anapambana sana mkuu ..kule ngome pasikie tu.. ata akifanya hayo mazungumzo wakati bado yupo ngome kamwe sitamnyooshea kidole.

The guy amepambana sana na Watanzania bado hatujampa support inayotakiwa. Ata akisema anaishia hapa ana nawa mikono sintomlaumu
 
kuna wafuasi wengine wa CHADEMA wanamnyooshea TAL kidole juu ya hili .

Ilhali
-hawakuwahi kuhudhuria walau tu kesi yake au kusogelea majengo ya mahakama,
-Octer 29 walikua wamejifungia ndani.

Behind the keyboard na kuongea kwa maneno ni rahisi… TAL anapambana sana mkuu ..kule ngome pasikie tu.. ata akifanya hayo mazungumzo wakati bado yupo ngome kamwe sitamnyooshea kidole.

The guy amepambana sana na Watanzania bado hatujampa support inayotakiwa. Ata akisema anaishia hapa ana nawa mikono sintomlaumu
Hivi we una akili timamu? Amepambana kuliko waliofumuliwa vichwa october 29? Kuna sapoti kubwa kama ile ya october 29?, chadema haikushiriki maandamano lakini vijana waliingia mitaani kwa kupambania ajenda zilizopambaniwa na chadema, hivyo hata lissu ana deni, akitoka huko anatakiwa kuendeleza mapambano, watu wamemwagwa utumbo huku nje , yeye yuko jela lakini shavu dodo, TUNAWADAI
 
kuna wafuasi wengine wa CHADEMA wanamnyooshea TAL kidole juu ya hili .

Ilhali
-hawakuwahi kuhudhuria walau tu kesi yake au kusogelea majengo ya mahakama,
-Octer 29 walikua wamejifungia ndani.

Behind the keyboard na kuongea kwa maneno ni rahisi… TAL anapambana sana mkuu ..kule ngome pasikie tu.. ata akifanya hayo mazungumzo wakati bado yupo ngome kamwe sitamnyooshea kidole.

The guy amepambana sana na Watanzania bado hatujampa support inayotakiwa. Ata akisema anaishia hapa ana nawa mikono sintomlaumu
Watu wamepoteza maisha kwa ajili ya nchi hii tarehe 29 October, Lisu bado yupo hai nani kapambana zaidi ya mwingine.!?
 
Watu wamepoteza maisha kwa ajili ya nchi hii tarehe 29 October, Lisu bado yupo hai nani kapambana zaidi ya mwingine.!?
Kwenye harakati Lissu alishawahi kumiminiwa risasi(assassination attempt) zaidi ya thelathini na risasi zisizo chini ya 16 zikamuingia mwilini, hao waliofariki kwa kupigwa risasi pasina shaka yoyote ni mashujaa sana katika historia ya kupambana haki na demokrasia lakini kwa kuwa tu walifariki haiwafanyi kuwa mashujaa zaidi ya mtu ambaye pia kwenye mapambano alimiminiwa risasi nyingi kwa lengo la kumuua ila akanusurika na mwili umejazwa mavyuma na una makovu lukuki ya majeraha ya risasi na ya surgeries alizofanyiwa katika kumtoa risasi nyingi mwilini mwake.
Lissu amevipigana vita vya kupigania haki na demokrasia na amehatarisha maisha yake kwa kiwango cha juu sana hivyo HADAIWI kabisa.
 
Back
Top Bottom