Msemaji wa CHADEMA amepwaya sana

Msemaji wa CHADEMA amepwaya sana

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,718
Reaction score
13,218
Huwa najiuliza sana sipati jibu

1. Sijui kwanini sio verified member wa JF.
2. Sijui huu woga umetokea wapi?
3. Naamini anatumia I'd ambayo not verified. Kwanini atumie I'd iliojificha?

Mbona dk Slaa akiwa mtumiaji mzuri wa JF, achilia mbali hoja hiyo. Hoja nyengine kwamba amekuwa mbali sana na media kama vile TV. Zaidi utakuta post zake ktk social media huku akiwa amejificha ktk keyboard.

Huyu dada inaonekana amepwaya saba tofauti kabisa na vyama vyengine
 
Huwa najiuliza sana sipati jibu
1. Sijui kwanini sio verified member wa jf.
2. Sijui huu woga umetokea wapi?
3. Naamini anatumia I'd ambayo not verified. Kwanini atumie I'd iliojificha?

Mbona dk Slaa akiwa mtumiaji mzuri wa Jf
Achilia mbali hoja hiyo.
Hoja nyengine kwamba amekuwa mbali sana na media kama vile TV. Zaidi utakuta post zake ktk social media huku akiwa amejificha ktk keyboard.
Huyu dada inaonekana amepwaya saba tofauti kabisa na vyama vyengine
Hayakuhusu, wewe vaa mabomu ukajilipue kwenye ubalozi wa Marekani .
 
Sasa ataongea nini wakati chama chenyewe hakina ajenda wala hoja zaidi ya kupoteza Muelekeo na dira. Wanachama wake wamejaa matusi muda wote utafikiri vichaa au wendawazimu
 
Huwa najiuliza sana sipati jibu

1. Sijui kwanini sio verified member wa JF.
2. Sijui huu woga umetokea wapi?
3. Naamini anatumia I'd ambayo not verified. Kwanini atumie I'd iliojificha?

Mbona dk Slaa akiwa mtumiaji mzuri wa JF, achilia mbali hoja hiyo. Hoja nyengine kwamba amekuwa mbali sana na media kama vile TV. Zaidi utakuta post zake ktk social media huku akiwa amejificha ktk keyboard.

Huyu dada inaonekana amepwaya saba tofauti kabisa na vyama vyengine
Huyu dada yuko vizuri sana ndo maana dola imetumua miguvu mingi kumbana asisikike. Yuko vizuri kichwani na anauwezo mkubwa wa kufukisha ujumbe wa chama kwa jamii. Huwezi kumfananisha na akina mrema au Kihongosi.
 
Huwa najiuliza sana sipati jibu

1. Sijui kwanini sio verified member wa JF.
2. Sijui huu woga umetokea wapi?
3. Naamini anatumia I'd ambayo not verified. Kwanini atumie I'd iliojificha?

Mbona dk Slaa akiwa mtumiaji mzuri wa JF, achilia mbali hoja hiyo. Hoja nyengine kwamba amekuwa mbali sana na media kama vile TV. Zaidi utakuta post zake ktk social media huku akiwa amejificha ktk keyboard.

Huyu dada inaonekana amepwaya saba tofauti kabisa na vyama vyengine
It seems you are deeply in love 😍 with CHADEMA.
 
Huwa najiuliza sana sipati jibu

1. Sijui kwanini sio verified member wa JF.
2. Sijui huu woga umetokea wapi?
3. Naamini anatumia I'd ambayo not verified. Kwanini atumie I'd iliojificha?

Mbona dk Slaa akiwa mtumiaji mzuri wa JF, achilia mbali hoja hiyo. Hoja nyengine kwamba amekuwa mbali sana na media kama vile TV. Zaidi utakuta post zake ktk social media huku akiwa amejificha ktk keyboard.

Huyu dada inaonekana amepwaya saba tofauti kabisa na vyama vyengine
Watu wanawindwa kama digidigi atafanyaje kazi kwa uhuru ns ufanisi. Hali ya uwoga imetawala mno
 
CCM bana

Sasa chama ndio KWANZA kimeruhusiwa kuifanya siasa siku 3 zilizopta Toka kifungiwe kwa hyo ndan ya siku tatu aende kwenye tv aite press conference na wewe uende ukamuhoji

TULIA ATAANZA NA AKIANZA MSISEME ANAVURUGA AMAN MAANA NDIYO KIMBILIO LENU

JESHI LA POLISI SAFARI HII MJITAMBUE ACHEN KUWA DEKIO LA WATAWALA
 
Huwa najiuliza sana sipati jibu

1. Sijui kwanini sio verified member wa JF.
2. Sijui huu woga umetokea wapi?
3. Naamini anatumia I'd ambayo not verified. Kwanini atumie I'd iliojificha?

Mbona dk Slaa akiwa mtumiaji mzuri wa JF, achilia mbali hoja hiyo. Hoja nyengine kwamba amekuwa mbali sana na media kama vile TV. Zaidi utakuta post zake ktk social media huku akiwa amejificha ktk keyboard.

Huyu dada inaonekana amepwaya saba tofauti kabisa na vyama vyengine
In 3 years of ban Chama kujihusisha na siasa ulitegemea usikie nini ambacho Chama kingefanya?
 
Back
Top Bottom