ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na Jeshi la Polisi, hawataki Waumini wa Ufufuo na Uzima wamwabudu Mungu, Hata Leo ,Walituma Askari Polisi kwenda Kuzuia Ibada ya Waumini

    Video hii hapa Wakuu !. https://youtu.be/zwQUrn544As?si=5x4Ui0D4tQBilTOt
  2. F

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha balozi Polepole kujiuzulu kimeivua nguo CCM kimataifa lakini ni nini kinampa Polepole ujasiri huu?

    Kwa kweli kujiuzulu kwa balozi Humphrey Polepole kumeishtua CCM lakini zaidi sana kimemshtua mwenyekiti wa CCM na rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Kujiuzulu kwa balozi Polepole kumetokea wakati ambapo serikali ya Tanzania inashutumiwa ndani na nje kwa kukandamiza haki za raia. Tayari...
  3. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nitaipigia kura CCM kama Samia hatokuwa mgombea wa nafasi ya urais

    Ninaahidi kuipigia kura CCM kama tu samia hatopewa nafasi ya kugombania nafasi ya urais Samia hatoshi, mbadala wake anahitajika.
  4. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania CCM ni kama vipofu wanaoongozana!

    Ushaghalabaghala wa mambo ndani ya CCM , ni kama tafrani inayotokea pale kipofu anapokuwa akimuongoza kipofu mwenzie kuipita njia Mpya. Na ndiyo maana watu wengi ndani ya CCM wanaishi kwa staili ile ya "ukila na kipofu usimshike mkono". CCM wanauishi ule msemo wa kiafrika kuwa uruhusiwi...
  5. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa CCM kupitisha wagombea ubunge ni kituko,kichekesho,mzaha na mchezo wa kitoto

    Ukiona jina la mbunge limerudi moja ujue huyo ni chaguo la Rais au tumwite mwenyekiti wa Chama. Vikao vya chini sijui kamati ya siasa ya wilaya au mkoa michakato yao haitambuliki popote. Rais akikutaka tu.we chukua fomu tu jina lako atalipitisha Hii michakato ya chini ni danganya toto na...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Amos Makalla atoa kauli Kuhusu barua ya kujiudhuru Humprey Polepole

    Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla amesema ameiona barua ya Balozi wa Cuba, Humphrey Polepole mtandaoni na kwamba yeye mwenyewe ndio mwenye kuthibitisha uhalali wake Makalla ameyasema hayo leo Julai 13,2025 Jijini Dodoma baada ya kuulizwa kuhusu...
  7. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania CCM yakanusha kukata majina ya waliochukua fomu

    Chama Cha Mapinduzi(CCM)Kimekanusha taarifa zinazoesambaaa kwenye Mitandao ya Kijamii kuwa Kuna baadhi ya watia nia wa Udiwani na Ubunge majina Yao yamekatwa huku wengine wakifanikiwa Kupita katika mchakato wa uteuzi Akizungumza na Waandishi wa Habari Leo Julai 13,2025 Jijini Dodoma Katibu wa...
  8. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Wana CCM Endeleeni na Dhambi zenu Hamprey poleple kaamua kuokoka

    GT Ni wazi polepole ni moja ya wale walioshiriki kuminya demokrasia nchini. Lakini hilo halimuondolei.uhalali na haki ya kutubu na kuyaacha ya zamani na kuanza ukurasa mpya. Kwa hiyo mwacheni nyie endleeni kuua na kuteka malipo ni hapa hapa duniani.
  9. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Naiona CCM imerudi kwa wenyewe chama, yale malaplap yaliohamia yakihisi yataendelea na vyeo ni kilio

    Hahaaa wajumberee sio watu wazuriii kabisaaa Nimechekaaaa sanasanaaa Hahahaaa KAZI iendeleee Wale mabwana waliohama vyama vyao wakakimbilia ccm wakahisi na dis tym watapata vyeoooo Naonaaaa Ki Chi Njioooooooooo Kimewakataaa bilaaa hurumaaa POLENI sanaaa tuungane kuinarishaaa chama...
  10. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Baada ya CCM kupigwa kwenye mshono, sasa yajipanga kumvua uanachama Humphrey Polepole

    Baada ya Humphrey Polepole kufanya shambulio zito la ghafla la kisiasa kitaifa na kimataifa dhidi ya utawala wa sasa wa Mama Samia, tayari ndani ya CCM kuna maumivu makali ikiashiria kisu kimetua kwenye mfupa. Kwa sasa ndani ya CCM hakukaliki, na mpango uliopendekezwa kufanyika kwa haraka ni...
  11. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Tetesi: CCM yajipanga kumvua uanachama Humphrey Polepole

    Baada ya Humphrey Polepole kufanya shambulio zito la ghafla la kisiasa kitaifa na kimataifa dhidi ya utawala wa sasa wa Mama Samia, tayari ndani ya CCM kuna maumivu makali ikiashiria kisu kimetua kwenye mfupa, ndani ya CCM hakukaliki, na mpango uliopendekezwa kufanyika kwa haraka ni kumvua...
  12. Benson Mramba

    JamiiForums Tanzania Nionavyo mimi, CCM ya sasa ni kama iliyokuwa Chadema ya Mbowe.

    Kila ninavyojaribu kutathimini na kufanya hisabati zangu za siasa naona similarities nyingi sana. Kubwa kabisa ni kitu kilikuwa kinaitwa Kamati ndogo ya Kamati Kuu (Decision Making group) na Chadema ni Msingi (Network formation). Wanachama wengine na viongozi walibakia kuwa watekelezaji na...
  13. mshale21

    JamiiForums Tanzania Je, kukosa akili, kuwa Chawa na kusifia viongozi ni vigezo vinavyofaa kuwa mbunge kupitia CCM badala ya uadilifu na utendakazi?

    Siku hizi msema kweli, muadilifu , mtu wa haki na mtetezi wa wanachi anayepinga udhalimu, ufisadi , rushwa nk, hastaili kuwa mbunge kupitia CCM? Je, CCM inahitaji watu wapambe , chawa, wasiowajibika kwa wananchi na wenye muonekano kama wasio na akili ndio vipaumbele vya watu wanaostahili...
  14. Econometrician

    JamiiForums Tanzania Status ya wabunge waliohama kutoka CDM kwenda CCM

    Wadau tupeni updates za wabunge waliotoka CDM kwenda CCM hasa wale walionunuliwa kipindi cha Magufuli. 1.David Ernest Silinde-Momba 2.Patrobas Katambi-Shinyanga Mjini 3.Mwita Waitara-Tarime Vijijini 4.Godwin mollel-Siha 5 .Ester Bulaya-Bunda 6 Ester Matiko-Tarime Mjini 7.Upendo Peneza-Geita...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Dkt. Kimei Aingiwa na Hofu Vunjo: Enock Koola Atamng’oa Kwenye Tatu Bora za CCM mbele ya wajumbe?

    Dkt. Kimei Aingiwa na Hofu Vunjo: Enock Koola Atamng’oa Kwenye Tatu Bora za CCM mbele ya wajumbe? Na mwandishi wetu Vunjo Tarehe: 13 Julai 2025 Katika kile kinachotajwa kama moja ya michakato migumu zaidi ya ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa miaka ya karibuni, Jimbo la Vunjo limegeuka...
  16. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Maftaha Nachuma: Nilihama CUF baada ya kugundua Viongozi walikuwa wanashirikiana na CCM

    "Nilikuja kugombea Mtwara wakati sina uhakika kama je wana Mtwara mtanichagua kuwa Mbunge ama lah, lakini kwasababu niliapa kwa Mwenyenzi Mungu wana Mtwara mlikuwa mnaonewa sana, wana Mtwara mlikuwa mnapigwa sana, Bodaboda walikuwa wanaonewa sana, barabara Mtwara kulikuwa hakuna, maji...
  17. B

    JamiiForums Tanzania Tetesi: GE2025 Uzi Maalum wa Tetesi za Watiania CCM Kuenguliwa/Kupita Mchujo wa kupata majina 3 ya kupigiwa kura na wajumbe

    Wakuu salama? Watiania huko matumbo joto, presha inapanda na kushuka, wanaoroga wanachochea kuni na wanaosali wanasugua maguti/paji za uso kwelikweli kuhakikisha wanatoboa kwenye mchujo wa kwanza. Tupeane tetesi kupitia uzi huu na kujadili kule kwenye ushindani mkali kutabari ni majina ya...
  18. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Heche kuna kigogo ndani ya CCM aliwekwa ndani Ili hasiende kwenye usahili wa ubunge.

    Ndani ya CCM Kuna mambo ya kutisha. Henche amesema sahivi Wana CCM wanampiga simu wanasema kuwa na wenyewe wanataka reforms. Heche amesema kuna kigogo ndani ya CCM Kwakua mfumo haumuitaji siku ya usahili aliwekwa ndani Ili hasiende kwenye usahili. Lakini pia amebainisha ya kwamba Majaliwa...
  19. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Yosepha Komba: Hakuna namna unaweza kuzuia uchaguzi ikiwa si sehemu ya uchaguzi

    Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Kaskazini Yosepha Komba ambae kwa sasa ni mtia nia wa Ubunge Jimbo la Muheza kupitia CHAUMMA amedai kuwa ni vyema kuwakabili CCM kwenye maboksi ya kupigia kura kuliko kuwasusia wabaki wenyewe, kwakuwa hakuna namna uchaguzi unaweza kuzuiliwa ikiwa...
  20. A

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHADEMA mjifunze demokrasia hii ya CCM upatikanaji wa wagombea

    Nimepitia baadhi ya majina yaliyopitishwa na CCM hakika chama kimeonesha ukomavu wa kidemokrasia wa hali ya juu na ya kupigiwa chapuo na kila mpenda demokrasia awaye yoyote. Chama kimekomaa na ndio dhana kubwa kuwa CCM ni chama kikubwa ndani ya TZ Pamoja na nje ya bara la Africa na duniani...
Back
Top Bottom