ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kwamba CCM walicheza na upepo baada kusikia press ya Polepole leo wakamuita Mbowe

    Ina maana Dar to Dodoma ni karibu kuliko anapoishi Mbowe kwenda kisitu kusikiliza kesi ya Lissu. CCM washajijua kuwa hawasikilizwi na hawafatiliwi.Kumuita Mbowe ni kuchanganya masafa ya wasikilizaji ambayo watu wengi walitaka kujua polepole anasema nini.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Pamoja na figisu zote za kisiasa anazofanyiwa Lissu na CHADEMA kutoka kwa Mbowe na CCM, bado naamini atashinda

    Sijafurahishwa kabisaa na kitendo cha Mbowe kuungana na CCM kumshughulikia kisiasa Lissu, naamini kabisa haya yote anyopitia Lissu na CHADEMA ni mchoro wa Mbowe moja kwa moja. Wengi walitutahadharisha humu, tusimuamini Mbowe ila tuliwakatilia kabisaa, lakini kuanzia leo imedhihirika rasmi...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM ahamia CHAUMMA

    Aliyekuwa Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Peter Buhime amejiunga rasmi na Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), na kukabidhiwa kadi na Mkurugenzi wa Mawasiliano kwa Umma wa Chaumma, John Mrema katika Mji wa Biharamulo Peter, aliyewahi kuwa mtia nia wa Ubunge Jimbo la Biharamilo kupitia CCM...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Msingi wa Dira ya taifa ya maendeleo 2050 ni kiini macho, kama kweli serikali ya CCM ipo serious tunataka tuone vitendo kuanzia sasa

    Nimepitia haraka haraka dira ya maendeleo ya taifa 2025-2050 iliozinduliwa leo na kugundua misingi yake ina hadaa umma wa Watanzania. "Kila mtu anafurahia uhuru, ulinzi wa maisha yake na haki zote za msingi zilizowekwa kikatiba, zinazosimamiwa na mahakama zilizo huru, zinazozingatia makundi...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu vikubwa ambavyo Wanasiasa hasa wa CCM, vitendo vinaongea zaidi ya maneno, na wanasheria wanasema ushahidi wa kimaandishi unaheshimika zaidi

    Kuna vitu vikubwa ambavyo Wana siasa hasa wa Sisiemu, vitendo vinaongea zaidi ya maneno. Na wanasheria wanasema ushahidi wa kimaandishi unaheshimika zaidi wa kimaneno. Hivyo haya maneno ya dira, Haki, tume Huru, tume ya marekebisho ya utendaji Haki na maneno Mengine, haya maana kama haya...
  6. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Nasikitika kuna watu wanajiita great thinker bado wanauziwa uongo kwamba Mbunge analetea jimbo maendeleo. Huu ni uongo mkuu.

    Kuna nyakati zifike watu tutumia akili tulizo pewa na Mwenyezi Mungu, tupunguze kuuziwa ujinga na hadaa. Hakuna mbunge kutoka chama chochote kile anaweza letea Jimbo lake maendeleo ilihali nchi haina sera za Jimbo na jimbi linategemea sera za nchi. Hawa wabunge tunao wapigia chapuo kwa...
  7. funaku

    JamiiForums Tanzania Ni CCM pekee itakayoweza kuwavusha vijana wa rika la Gen Z salama

    Watazame vijana waliolelewa na CCM na namna wanavyoenenda kisiasa utaona tofauti kubwa sana hii ikimaanisha program ya ulezi ya CCM imefanikiwa mno. Nawatafuta vijana waliolelewa kidini pia nitakuja kuweka mifano
  8. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kifo ni kifo tu isitumike kuwakebehi Machawa wa Mama na CCM tumuachie Mungu

    Nina uhakika hao machawa wa CCM wao mtu kupotezwa au kuuwawa kama mzee Ali Kibao sio ishu kubwa kwao maana chawa anajali tumbo lake kuliko uhai wa Mtanganyika. Tumuachie Mungu. Tuache kuwakebehi wanapofiwa. Ipo siku Mungu ataikomboa Tanganyika
  9. Subira the princess

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kumbukizi: Balozi pole pole; "uchaguzi ukiwa huru na haki CCM ijiandae kukabidhi ikulu"

    Wasalaam. Kujiuzulu ubalozi kwa aliekua balozi wa Tanzania nchini Cuba hakujaja kwa bahati mbaya, kwani ni mara kadhaa hapo nyuma mzalendo huyu amekua akikionya chama chake ccm juu ya kuheshimu misingi ya democrasia na utawala bora. Lakini CCM ni kama sikio la kufa halisikii dawa kiasi wenye...
  10. L

    JamiiForums Tanzania CCM imvue Uanachama na kumfukuza kabisa Chamani Askofu Gwajima haraka sana bila kuchelewa

    Ndugu zangu Watanzania, Lazima tukubali ukweli ya Kuwa Askofu Gwajima siyo mwana CCM na hajawahi kuwa mwana CCM kiuhalisia. Askofu Gwajima siyo Mwenzetu na hajawahi kuwa mwenzetu hata siku moja. Hajawahi kuwa na uchungu wala kuwa na maombi mema au mazuri kwa CCM. Askofu Gwajima na Humphrey...
  11. 888I

    JamiiForums Tanzania Rais anaupiga mwingi, ila kwanini tusifanye Reforms?

    NITATUMIA ALIYOYASEMA GWAJIMA PIA.. Kwa takwimu zao wenyewe, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinasema kimefanikiwa kuwasajili wanachama zaidi ya milioni 10 kote nchini. Hii si idadi ndogo. Hii ni jeshi la maana kweli kweli wameshashinda Uchaguzi kabla ya kupiga kampeni hapa. Tukigeuka upande wa...
  12. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Bashiru: Tutatumia sana dola kubaki Madarakani ilimradi kwa mujibu wa Katiba, Sheria na kwa Maendeleo ya wananchi

    Naomba tumsikilize ndugu Bashiru Ally aliyekuwa kwenye utawala wa hayati Magufuli. Anadai chama chochote kilichopo madarakani ili kiondoke madarakani basi kimependa chenyewe maana kina faida nyingi sana za kukifanya kubakia madarakani. Kwa maana hii basi ccm itatawala milele labda aje kiongozi...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Gwajima akisema CHADEMA wapewe 'minimum reforms' anatuambia CCM ni wenye hati milki ya Katiba na kuwaamulia vyama vingine wapewe nini, kwa kiasi gani?

    Kwa muda mfupi nilidhani Gwajima ni mtu mwenye busara na uwezo wa kutafakari mambo. Lakini kwa hii Press Conference yake nimemtoa tena kwenye watu wenye hekima. Bila aibu kabisa anasema CCM iwape Chadema minimum reforms na kuwaruhusu waingie kwenye uchaguzi. Ni aibu sana mtu kama Gwajima...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Mapito wanayopitia CHADEMA na Viongozi wake kama wangekuwa wanapitia CCM basi chama kingekuwa kilishakufa zamani

    Nakiangalia mapito wanayopitia CHADEMA na Viongozi wake kama ndiyo wangekuwa wanapitia CCM,basi chama kingekuwa kilishakufa zamani. Naamini ni mda wa kukipa madaraka chama cha Chadema kama kukomaa kimekomaa zaidi ya CCM ni vile tu serikali haitaki kuruhusu uchaguzi huru maana hata wanachama wa...
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Uko sahihi Lusinde makosa mengine ni yetu Wenyewe halafu tunamtupia Lawama Rais Samia na CCM yake, tubadilike tafadhali bado hatujachelewa

    Kuna jamaa namfahamu ni Mlinzi na anapokea Mshahara wa Shilingi Laki Moja na Elfu Themanini za Kitanzania ila ana Watoto Sita na Mahawara Watatu halafu Kutwa tu ukikutana nae Kijiweni ndiyo Mkosoaji mkubwa wa Serikali ya Rais Samia na Kukilaani Chama Cha Mapinduzi (CCM) utadhani Samia na CCM...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Askofu Gwajima: Mimi Sihami CCM, tunabanana humu humu mpaka paeleweke

    Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, akizungumza leo Julai 16, 2025 jijini Dar es Salaam na waandishi wa habari, amesema, "Nataka nisisitize kwamba mimi bado ni Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi na nitaendelea kuwepo" "Mara nyingi Watu wasiopenda mema, ukizungumza tu jambo...
  17. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania Video ya Kumbukizi: CCM wataondoka kama alivyoondoka Firauni

    Kama alivyoondoka firauni
  18. M

    JamiiForums Tanzania Lissu ni kiboko kubali au kataa

    Ameshitakiwa katika mashitaka ya uhaini, ambayo ni makubwa, lakini anajitetea mwenyewe na kutoa hoja nzito za kisheria, kiasi kwamba jaji na mawakili wa serikali wanashangaa na kumkubali. Hajatetemeka, wala hana presha, licha ya kuwekwa katika selo la watu wanaosubiri kunyongwa — jambo ambalo...
  19. F

    JamiiForums Tanzania Polepole na Bashiru hawakulelewa na CCM !

    Humphrey Polepole na Bashiru Ali hawa ni WanaCCM walioibuliwa na Hayati John Pombe Magufuli!! Hawana historia yoyote ya kuwahi kuwa na mapenzi na CCM hapo kabla ya kuibuliwa na Magufuli! Waonyeshe kadi zao walizipata lini na wapi kama siyo kadi za michongo. Mtu aliyelelewa vizuri na CCM hawezi...
  20. Mama Edina

    JamiiForums Tanzania Watia nia waliokatwa CCM

    Naomba orodha ya watia nia waliokataa majimboni. Mfano Gambo Arusha Makamba Bumbuli
Back
Top Bottom