4 Feb 2020
Zanzibar ilivyopoteza kwa kuiuwa ASP
Mwanasiasa mkongwe na aliyewahi kushika nyadhifa mbalimbali kwenye serikali ya Zanzibar, Juma Duni Haji, anasema ingawa CCM Zanzibar wanaadhimisha miaka 43 ya kuundwa chama hicho, lakini wanapaswa kukumbuka kuwa kuzaliwa kwa CCM hapo mwaka 1977...