Uchaguzi 2020 CCM inapaswa kumhofia Prof. Lipumba siyo Tundu Lissu

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,964
141,963
Huo ni mtazamo wangu.

Watanzania wa leo wana uwezo wa kuchanganua mambo yanayotoka kwenye vinywa vya wanasiasa wakilinganisha na data/ takwimu halisi.

Kama CCM inafikiria kumuhofia mtu basi mtu huyo awe Prof Lipumba siyo Tundu Antipas Lisu.

Tunaiona Caanan ng'ambo Mussa tuvushe!
 
Hali hii kwa CCM sio bahati mbaya bali calculated movement
IMG_20200405_054452.jpg
IMG_20200405_054529.jpg
 
Huo ni mtazamo wangu.

Watanzania wa leo wana uwezo wa kuchanganua mambo yanayotoka kwenye vinywa vya wanasiasa wakilinganisha na data/ takwimu halisi.

Kama CCM inafikiria kumuhofia mtu basi mtu huyo awe Prof Lipumba siyo Tundu Antipas Lisu.

Tunaiona Caanan ng'ambo Mussa tuvushe!
Wakati flani naonaga kama una akili kidogo, lkn wakati mwingine mmmmh!
 
Sasa CCM wamefikia mahali pa kuanza kuuliza wamwogope nani kati ya wengi wa kuogopa, kweli yajayo yanafurahisha, CHAMA OGA, mtaipata freshi hata kabla ya October,mmetunyanyasa sana sasa basi.
 
Back
Top Bottom