johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,964
- 141,963
Huo ni mtazamo wangu.
Watanzania wa leo wana uwezo wa kuchanganua mambo yanayotoka kwenye vinywa vya wanasiasa wakilinganisha na data/ takwimu halisi.
Kama CCM inafikiria kumuhofia mtu basi mtu huyo awe Prof Lipumba siyo Tundu Antipas Lisu.
Tunaiona Caanan ng'ambo Mussa tuvushe!
Watanzania wa leo wana uwezo wa kuchanganua mambo yanayotoka kwenye vinywa vya wanasiasa wakilinganisha na data/ takwimu halisi.
Kama CCM inafikiria kumuhofia mtu basi mtu huyo awe Prof Lipumba siyo Tundu Antipas Lisu.
Tunaiona Caanan ng'ambo Mussa tuvushe!