DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,801
- 44,934
CCM + JPM imekaa miaka mitano ikifanya siasa, na haikutosha wakajenga mabarabara, wakanunua mandege, wakafanya kila aina ya kitu huku Lissu akiwa Belgium akiwekewa vyuma lakini cha ajabu wanamuogopa mtu wa aina hiyo.
Mimi ningeshauri CHADEMA tungefungua account kwenye mitandao ya Youtube, Facebook, Insta pamoja na Twitter na acount zote hzo ziwe official na tutangaziwe kuwa hzo ndo acount za chama ili mambo yote yote yawe yanarushwa humo maana kuna kila dalili kampeni zikianza hakuna hata media yoyote itakayoruhusiwa kuweka hata picha ya mtu wa CHADEMA.
Viongoz fanyeni hilo suala haraka sana ili mikutano iwe inaruka live na nina uhakika mtapata wafuas wengi, hasa Youtube.
Mimi ningeshauri CHADEMA tungefungua account kwenye mitandao ya Youtube, Facebook, Insta pamoja na Twitter na acount zote hzo ziwe official na tutangaziwe kuwa hzo ndo acount za chama ili mambo yote yote yawe yanarushwa humo maana kuna kila dalili kampeni zikianza hakuna hata media yoyote itakayoruhusiwa kuweka hata picha ya mtu wa CHADEMA.
Viongoz fanyeni hilo suala haraka sana ili mikutano iwe inaruka live na nina uhakika mtapata wafuas wengi, hasa Youtube.