JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Uwezekano wa ccm na Jpm kufanya kampeni za MATUSI na KASHFA ni 99%.
Kwanza, wameshaonja mafanikio ya kampeni za namna hiyo kwa kumshambulia na kumkashifu Lowassa mwanzo mwisho mwaka 2015.
Bahati nzuri ni kwamba Lowassa hakuwa ktk hali ya kuweza kujibu matusi hayo, au hata kufanya kampeni za uhakika.
Safari hii tunao Tundu Antiphas Lissu, Bernard Camilius Membe, ...watu ambao wana uwezo wa kujisemea wenyewe, na kujibu kashfa kwa kashfa.
Ninachojiuliza ni kama Jpm ana kifua cha kuvumilia matusi na kashfa kama wagombea wa vyama vingine wanavyovumilia kashfa na matusi toka kwa CCM.
Pia vyombo kama Tume ya Uchaguzi na vyombo vya dola vitachukua hatua gani? Je, vitaadhibu vyama mbadala na kumuacha Jpm na ccm wafurumushe uzushi, kashfa, na matusi?
Kwanza, wameshaonja mafanikio ya kampeni za namna hiyo kwa kumshambulia na kumkashifu Lowassa mwanzo mwisho mwaka 2015.
Bahati nzuri ni kwamba Lowassa hakuwa ktk hali ya kuweza kujibu matusi hayo, au hata kufanya kampeni za uhakika.
Safari hii tunao Tundu Antiphas Lissu, Bernard Camilius Membe, ...watu ambao wana uwezo wa kujisemea wenyewe, na kujibu kashfa kwa kashfa.
Ninachojiuliza ni kama Jpm ana kifua cha kuvumilia matusi na kashfa kama wagombea wa vyama vingine wanavyovumilia kashfa na matusi toka kwa CCM.
Pia vyombo kama Tume ya Uchaguzi na vyombo vya dola vitachukua hatua gani? Je, vitaadhibu vyama mbadala na kumuacha Jpm na ccm wafurumushe uzushi, kashfa, na matusi?