Wajumbe mnasemaje? Mwaka huu, uchaguzi wa mwaka huu ni kweli kabisa dalili zipo wazi kuwa mwaka huu ni kupatwa kwa CCM.
Lissu tayari ameshashinda na kwa ujumla wananchi walio wengi wameshaishinda CCM.
Sasa, nasema sasa ni kujipanga kulinda ushindi, kura hata moja isipotee kusikojulikana.
CCM...