Uchaguzi 2020 Uchaguzi huru na haki unaanzia kwenye kampeni, Polisi TZ pamoja na NEC, anzeni kumshughulikia mgombea urais kupitia CCM

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Uchaguzi huru na wa haki unaanzia kipindi cha kampeni, lakini tunaona uoendeleo wa wazi kwa CCM.

Mgombea wake Magufuli kila anapopita anaomba kura kwa vitisho lakini hakuna anayehoji iwe ni NEC ama Polisi.

CCM imeshirikiana na vyama vingine lakini hakuna aliyewakemea ila ikitokea upinzani wakashirikiana basi inakuwa nongwa.

Anasimama njiani kuhutubia na kuomba kura kwa wananchi lakini hakuna anayesema

Lakini ikitokea kwa upinzani, basi polisi, masjili pamoja na NEC lazima wakinukishe.
Screenshot_20201001-175545.png
 
Uchaguzi huru na wa haki unaanzia kipindi cha kampeni, lakini tunaona uoendeleo wa wazi kwa CCM.

Mgombea wake Magufuli kila anapopita anaomba kura kwa vitisho lakini hakuna anayehoji iwe ni NEC ama Polisi.

CCM imeshirikiana na vyama vingine lakini hakuna aliyewakemea ila ikitokea upinzani wakashirikiana basi inakuwa nongwa.

Anasimama njiani kuhutubia na kuomba kura kwa wananchi lakini hakuna anayesema

Lakini ikitokea kwa upinzani, basi polisi, masjili pamoja na NEC lazima wakinukishe.
View attachment 1587134
Usipate tabu, kuna beberu hapa limeshakunjuwa pembe.
FB_IMG_1601559493930.jpg
 
Mkurugenz wa Tume wanafanana vichwa kama mbegu za ubuyu na mmoja wa wagombea..
 
Uchaguzi huru na wa haki unaanzia kipindi cha kampeni, lakini tunaona uoendeleo wa wazi kwa CCM.

Mgombea wake Magufuli kila anapopita anaomba kura kwa vitisho lakini hakuna anayehoji iwe ni NEC ama Polisi.

CCM imeshirikiana na vyama vingine lakini hakuna aliyewakemea ila ikitokea upinzani wakashirikiana basi inakuwa nongwa.

Anasimama njiani kuhutubia na kuomba kura kwa wananchi lakini hakuna anayesema

Lakini ikitokea kwa upinzani, basi polisi, masjili pamoja na NEC lazima wakinukishe.
View attachment 1587134
Tunakaribia siku ya kupiga kura, wewe na wafuasi wenzio wa Lissu, humu JF, ni wakati sasa mtoe ufafanuzi wa Sera za CHADEMA, badala ya kila bandiko ni ama lahusu matukio ya kumsifia mgombea Urais kupitia CHADEMA au kumbeza/kukashifu mgombea Urais kupitia CCM. AIBU
 
Uchaguzi huru na wa haki unaanzia kipindi cha kampeni, lakini tunaona uoendeleo wa wazi kwa CCM.

Mgombea wake Magufuli kila anapopita anaomba kura kwa vitisho lakini hakuna anayehoji iwe ni NEC ama Polisi.

CCM imeshirikiana na vyama vingine lakini hakuna aliyewakemea ila ikitokea upinzani wakashirikiana basi inakuwa nongwa.

Anasimama njiani kuhutubia na kuomba kura kwa wananchi lakini hakuna anayesema

Lakini ikitokea kwa upinzani, basi polisi, masjili pamoja na NEC lazima wakinukishe.
View attachment 1587134
Msaliti Lissu na beberu Robert Amsterdam ndiyo wakushughulikiwa kwanza.
 
Back
Top Bottom