Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Sitaki kuwafundisha kufanya maamuzi lakini mnatakiwa mtoe adhabu kali kwa wanaowatisha kua msipowachagua watawanyima Maendeleo. Wakataeni hawa na waonyeshe ni kua mmechukizwa na kauli hizi.
Mnalipa kodi na kodi zinatakiwa ziwahudumie, mpeni ujumbe mzito anayesema hawezi kuwaletea maendeleo tarehe 28.10.2020 kwanza yeye asirudi ili tuone kama hayo maneno yatajirudia. Mgombea wa Urais wa CCM amekosea sana tunatafsiri kua hizi lugha ni za kibaguzi sana.Hatupaswi hata kumpa kura yeye ni bora apite asiyejua na lugha za kibaguzi.
=====
Akiwa Tunduma, Rais Magufuli amewaomba wananachi wamchague Silinde kuwa mbunge ili awatiririshie maji. Amewaambia kwa vipindi viwili wamekuwa wakichagua upinzani na hii ndio mara mwisho kuwaomba.
Alisema, "Lakini msinichanganyie, mkiniletea hao, nasema maji hamyapati. Lazima tuambizane ukweli na mimi nazungumzaga ukweli."
Akiwa
Mnalipa kodi na kodi zinatakiwa ziwahudumie, mpeni ujumbe mzito anayesema hawezi kuwaletea maendeleo tarehe 28.10.2020 kwanza yeye asirudi ili tuone kama hayo maneno yatajirudia. Mgombea wa Urais wa CCM amekosea sana tunatafsiri kua hizi lugha ni za kibaguzi sana.Hatupaswi hata kumpa kura yeye ni bora apite asiyejua na lugha za kibaguzi.
=====
Akiwa Tunduma, Rais Magufuli amewaomba wananachi wamchague Silinde kuwa mbunge ili awatiririshie maji. Amewaambia kwa vipindi viwili wamekuwa wakichagua upinzani na hii ndio mara mwisho kuwaomba.
Alisema, "Lakini msinichanganyie, mkiniletea hao, nasema maji hamyapati. Lazima tuambizane ukweli na mimi nazungumzaga ukweli."