Wacha CCM wazungumzie sera mpaka washikwe na presha, huku upinzani ni kampeni za kuisaga CCM na kuonyesha uovu wake wote na hawastahili kuongezwa hata dakika moja.
Waende mitaani na sera zao za ajabu ajabu wanampigia mbuzi gitaa, wananchi walio wengi tumechoka na sera na mikakati hio hio kila siku, hawana jipya. Wanajua Lissu amewashika pabaya sana na hawatoki wala kuona nje, huku hakuna cha sera yaani mtazisikia sera baada ya kuwaondoa kwenye viti na meza, yaani CCM tutawaajiri watengeneze barabara na madaraja ndio jambo wanaloliweza, hawana habari na mwananchi wa kawaida wanajisifu kwa kuwa wao ndio wanamiliki magari mazuri ya kifahari, sasa watakaa pembeni na kuajiri kusuka barabara.
Lissu endelea kuwaanika na katika hii lala salama wapige virungu wapigike kwelikweli, sera utatupa ukiwa Raisi hapo tarehe 29/10/2020.
Waende mitaani na sera zao za ajabu ajabu wanampigia mbuzi gitaa, wananchi walio wengi tumechoka na sera na mikakati hio hio kila siku, hawana jipya. Wanajua Lissu amewashika pabaya sana na hawatoki wala kuona nje, huku hakuna cha sera yaani mtazisikia sera baada ya kuwaondoa kwenye viti na meza, yaani CCM tutawaajiri watengeneze barabara na madaraja ndio jambo wanaloliweza, hawana habari na mwananchi wa kawaida wanajisifu kwa kuwa wao ndio wanamiliki magari mazuri ya kifahari, sasa watakaa pembeni na kuajiri kusuka barabara.
Lissu endelea kuwaanika na katika hii lala salama wapige virungu wapigike kwelikweli, sera utatupa ukiwa Raisi hapo tarehe 29/10/2020.