Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
Wasalaam wana JF wote.
Chama cha Mapinduzi (CCM) kina kila sababu ya kubadili mbinu za kivita. Kama tetesi zinavyoenea kwamba kuna utekaji,kuumizana,kubambikiana kesi,kuuwawa nk mbinu hizi zote ni kwa minajili ya kusalia madarakani ,kwa mtazamo wangu ni liability kwa chama na taifa kuliko...
Wakuu, Toka Uhuru, japo majaribio Kadhaa ya kumpindua Nyerere yalitokea, baada ya ujio wa Vyama vingi , CCM ilikua imezoea kua na Upinzani Uchwara tu, unaahidiwa kugombea Urais, ukikosa, wanakuteua U-RC.
Wakati mwingine unamwagiwa Pesa tu basi.
Kwa Ufupi hapakuwahi kutokea UPINZANI unaoitaka...
Nawaonea huruma sana CCM.
Wamelipa mamluki wao kujaribu kuleta kashkash Chadema ili Wananchi waone chama kimekufa wapi? Wananchi ndo wanazidi kuipenda Chadema zaidi ya jana.
Wamemkamata Kiongozi Mkuu wa Chadema na kumuweka ndani, kutegemea Watanzania watarudi nyuma kuipenda Chadema ila wapi...
Nchi ipo katikakati ya majonzi. Viongozi wa dini wanavamiwa, wanataka kuuwawa wengine wanatishiwa maisha
Wanaharakati wanateswa, wanapotezwa na wengine wanatupwa jera kinachobaki ni familia kuwalilia wasijue watanyamanza lini
Katika katika ya majonzi mkuu wa jumba linalokusanya wawakilishi wa...
Ili kupunguza changamoto ya foleni katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) 2020-2025 ilieleza kwamba itaanza/ kukamilisha barabara za juu (flyovers) kwenye makutano ya barabara mbalimbali.
Baadhi ya maeneo yaliyoanishwa kwenye Ilani hiyo, makutano ya...
Kila siku wakiamka ni mwendo wa kunyosheana vidole... Huyu kanunuliwa, yule katumwa, huyu mamruki, Yale namna GANI huyu namna Ile.
Hivi watu emwa hii Tanzania wanadhani kuchukua nchi ni lelemama Sana ???
WanaCHADEMA wanaodhani upinzani unaposhinda pale Kenya, south, Zambia na nchi zingine...
No reforms no election, leo ilikuwa mjini Katoro Geita, maelfu ya wananchi waiunga mkono.
https://x.com/MariaSTsehai/status/1921221068045324414?t=vS8C8M6SsX_Rf2j8nb4cfQ&s=19
Wenje asema yeye ahami chama bado yupo chadema kupigania mageuzi...
Mtazameni na msikilizeni huyu kada wa CCM kisha tia neno unapata ujumbe gani kupitia kwake kuhusu kesi ya Tundu Lissu....
Anamtaka Mwenyekiti wake taifa - CCM, Bi Samia Suluhu Hassan kumwachia Tundu Lissu kwa sbb eti "..inatia doa uongozi wake bora..!!"
Kwa wajuvi wa mambo ya propaganda za...
Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga kimesema kuwa jumla ya wagombea tisa wa nafasi za ubunge na udiwani wilayani humo wamebainika kujihusish na vitendo vya kugawa fedha kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wa wilaya nyakati za usiku, kinyume na maadili ya chama.
Katibu wa...
Sijui ndani ya CCM ameingia shetani gani!! Maana kwa mwenye akili, hata ile akili ya kawaida sana, hawezi kufanya yale ambayo CCM inayafanya kwa sasa.
Kiuhalisia, CCM ya sasa imewekeza sana kwenye uovu huku ikiwafukuza wananchi wote wema na wanaotaka haki ndani ya nchi.
Fikiria chama ambacho...
Pitapita yangu nikakutana na habari za huyu millard ambaye kwa sasa uwezi kumuona mambo ya ukweli yupo na kusubiri matukio tu.
Nisioongee sana kwa mtu mwenye akili ya utanda wazi hapa kaunda nini zaidi ya kununua na kuboresha.
kwani ukisema kabuni mfumo kwenye robot ni kosa.
GT.
Kuna watu.wanakichukulia hiki chama masihara hao watu mi nawaita ni vipofu na hakuna wajualo. Hata huko CCM hawalali wanaposikia No Reform No election wanaijua nguvu ya Chadema.
Mkakati wa CCM kinunua wapinzani utabuma mwaka huu, hii ni kutokana na Chadema kuendelea kuwa imara pamoja na...
Moja ya hoja ambayo hivi karibuni CHADEMA wamekuwa wakiitumia kama kete muhimu kujitofautisha na CCM ni uwazi waliokuwanao nao katika uchaguzi mkuu wao. Uwazi wa kiwango kile hata mm ningelipenda kuuona kwenye chaguzi zote za nchi yetu. Ni imani yangu, kwamba kama chaguzi zetu zingekuwa na uwazi...
Wakati CCM kupitia viongozi wake wakuu wanakemea kampeni za mapema na viongozi kubeba wagombea/watia nia hali huko wilaya ya Moshi Vijijini ni tofauti.
Mwenezi wa CCM wilaya hiyo aitwaye Huseni Abduli eikei mwenyekiti anayeishi mji wa Himo amekuwa kinara wa kubeba wasaka ubunge wakiwemo Nicolas...
Kuna habari nimepenyewezewa sekunde kadhaa zilizo pita na mtu wa uhakika kwamba Seneti ya Marekani ndani ya mwezi huu wanaweza jadili hali y Kisiasa Tanzania na wao kuja na Maazimio yao ambao yanaweza kuwa balaa na kufanya CCM wapoteane.
Kuna Movement zinaefanyika na pia utakunbuka CHADEMA ni...
MAZITO YAJADILIWA KATIKA BUNGE LA ULAYA, TUNDU LISSU KESI YA UHAINI, ALI KIBAO KUUAWA,,WATU KUPOTEZWA N.K
https://m.youtube.com/watch?v=4QH2juya5sk
Wabunge wa Bunge la Ulaya wasema kuwa zile 4R za rais Samia Hassan zimetuhadaa
Misaada mfano €160,000,000 na mingine mingi ya EU inatumika...
Fuatilia yanayoendelea mitandaoni kwenye uwanja wa siasa .. Timu inayowa support ccm na mamluki wake iko taaban bin hoi
Hawana hoja zenye mantiki bali wamebaki na uzushi na vitu vya kufikirika na kutunga vilivyokosa uhalisia.
Hawana maudhui ya kutengeneza yaliyo na weledi na maono bali ni...
Kufa kwa nyani miti yote huteleza.ndicho nachoweza kusema. Leo hii CCM wapo mbele kupambana na kanisa katoliki Tanzania.
CCM wanaminya democracy na haki za raia katika uhuru wa kujieleza na kutoa maoni. Sasa.kazi kwenu kushoto Trump kulia Papa Leo Samia ana bahati.mbaya sana.
Nawakumbusha tu...
MaCCM wajue, sisi siyo wajinga... waache upumbavu.
CCM wanakataa ushoga mdomoni, wanakubali ushoga kwenye makaratasi na mikataba ya kulinda haki za mashoga wanasaini. CCM ni walaghai wasiotaka kuwaeleza ukweli wafuasi wa mbogamboga.
The Progressive Alliance (PA) ni jumuiya ya kimataifa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.