ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. A

    JamiiForums Tanzania Tunahitajiana CCM bila upinzani thabiti haiwezi kuwa bora. Yafaa nini CCM ikishinda vita hii halafu wakafa watanzania wengi?

    Wasalaam wana JF wote. Chama cha Mapinduzi (CCM) kina kila sababu ya kubadili mbinu za kivita. Kama tetesi zinavyoenea kwamba kuna utekaji,kuumizana,kubambikiana kesi,kuuwawa nk mbinu hizi zote ni kwa minajili ya kusalia madarakani ,kwa mtazamo wangu ni liability kwa chama na taifa kuliko...
  2. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Ukweli ni kua kwa mara ya kwanza, Dola na CCM ndio wamepata upinzani wa kweli

    Wakuu, Toka Uhuru, japo majaribio Kadhaa ya kumpindua Nyerere yalitokea, baada ya ujio wa Vyama vingi , CCM ilikua imezoea kua na Upinzani Uchwara tu, unaahidiwa kugombea Urais, ukikosa, wanakuteua U-RC. Wakati mwingine unamwagiwa Pesa tu basi. Kwa Ufupi hapakuwahi kutokea UPINZANI unaoitaka...
  3. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Aibu yao CCM: Pamoja na figisu zote CHADEMA yazidi kukubaliwa na Wananchi kiwango cha kutisha

    Nawaonea huruma sana CCM. Wamelipa mamluki wao kujaribu kuleta kashkash Chadema ili Wananchi waone chama kimekufa wapi? Wananchi ndo wanazidi kuipenda Chadema zaidi ya jana. Wamemkamata Kiongozi Mkuu wa Chadema na kumuweka ndani, kutegemea Watanzania watarudi nyuma kuipenda Chadema ila wapi...
  4. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanarumbana CCM wanachekelea Watanzania wanaumia, ni nani mtetezi wa kweli wa Watanzania?

    Nchi ipo katikakati ya majonzi. Viongozi wa dini wanavamiwa, wanataka kuuwawa wengine wanatishiwa maisha Wanaharakati wanateswa, wanapotezwa na wengine wanatupwa jera kinachobaki ni familia kuwalilia wasijue watanyamanza lini Katika katika ya majonzi mkuu wa jumba linalokusanya wawakilishi wa...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Mpango wa kujenga 'Flyover' Tabata, Morocco, Mwenge, Magomeni kama Ilani ya CCM-2020/2025 ilivyoeleza umefikia wapi?

    Ili kupunguza changamoto ya foleni katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) 2020-2025 ilieleza kwamba itaanza/ kukamilisha barabara za juu (flyovers) kwenye makutano ya barabara mbalimbali. Baadhi ya maeneo yaliyoanishwa kwenye Ilani hiyo, makutano ya...
  6. 05CUBA

    JamiiForums Tanzania Hivi Mnadhani CCM iliingia madarakani kwa kusonyana na kusuta a Kama wafanyavyo CHADEMA?

    Kila siku wakiamka ni mwendo wa kunyosheana vidole... Huyu kanunuliwa, yule katumwa, huyu mamruki, Yale namna GANI huyu namna Ile. Hivi watu emwa hii Tanzania wanadhani kuchukua nchi ni lelemama Sana ??? WanaCHADEMA wanaodhani upinzani unaposhinda pale Kenya, south, Zambia na nchi zingine...
  7. A

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tazama kimbunga cha No reforms no election Geita, Wenje aseme ahami chama, CCM hoi

    No reforms no election, leo ilikuwa mjini Katoro Geita, maelfu ya wananchi waiunga mkono. https://x.com/MariaSTsehai/status/1921221068045324414?t=vS8C8M6SsX_Rf2j8nb4cfQ&s=19 Wenje asema yeye ahami chama bado yupo chadema kupigania mageuzi...
  8. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kada wa CCM: Rais Samia mwachie Tundu Lissu (Msingida) inatia doa uongozi wako bora

    Mtazameni na msikilizeni huyu kada wa CCM kisha tia neno unapata ujumbe gani kupitia kwake kuhusu kesi ya Tundu Lissu.... Anamtaka Mwenyekiti wake taifa - CCM, Bi Samia Suluhu Hassan kumwachia Tundu Lissu kwa sbb eti "..inatia doa uongozi wake bora..!!" Kwa wajuvi wa mambo ya propaganda za...
  9. E

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Watia nia CCM wabainika kugawa rushwa

    Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga kimesema kuwa jumla ya wagombea tisa wa nafasi za ubunge na udiwani wilayani humo wamebainika kujihusish na vitendo vya kugawa fedha kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wa wilaya nyakati za usiku, kinyume na maadili ya chama. Katibu wa...
  10. Mag3

    JamiiForums Tanzania Nchi iliyojaa neema yageuka kuwa taifa la ombaomba...asante CCM!

    Misaada peke yake tunayopata ingetosha kuendesha nchi hii bado mikopo na tpzp!
  11. H

    JamiiForums Tanzania CCM Imewekeza Sana Kwenye Uovu, Huku Kila Siku Ikiwafukuza Wananchi.

    Sijui ndani ya CCM ameingia shetani gani!! Maana kwa mwenye akili, hata ile akili ya kawaida sana, hawezi kufanya yale ambayo CCM inayafanya kwa sasa. Kiuhalisia, CCM ya sasa imewekeza sana kwenye uovu huku ikiwafukuza wananchi wote wema na wanaotaka haki ndani ya nchi. Fikiria chama ambacho...
  12. Fbn

    JamiiForums Tanzania Millard Ayo Bwana hivi unafahamu maanda ya kuunda kweli .Ndio maana CCM wanatuona sisi hatuna Akili

    Pitapita yangu nikakutana na habari za huyu millard ambaye kwa sasa uwezi kumuona mambo ya ukweli yupo na kusubiri matukio tu. Nisioongee sana kwa mtu mwenye akili ya utanda wazi hapa kaunda nini zaidi ya kununua na kuboresha. kwani ukisema kabuni mfumo kwenye robot ni kosa.
  13. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania CHADEMA siyo ya kubezwa ni Chama kikubwa na kikongwe sana Tanzania, Kilizaliwa Mwaka 1993 wakati huo CCM ikiwa na Miaka 17 tu

    GT. Kuna watu.wanakichukulia hiki chama masihara hao watu mi nawaita ni vipofu na hakuna wajualo. Hata huko CCM hawalali wanaposikia No Reform No election wanaijua nguvu ya Chadema. Mkakati wa CCM kinunua wapinzani utabuma mwaka huu, hii ni kutokana na Chadema kuendelea kuwa imara pamoja na...
  14. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania CHADEMA, ukomavu wa kisiasa ni pamoja na kuyakubali mazuri ya CCM

    Moja ya hoja ambayo hivi karibuni CHADEMA wamekuwa wakiitumia kama kete muhimu kujitofautisha na CCM ni uwazi waliokuwanao nao katika uchaguzi mkuu wao. Uwazi wa kiwango kile hata mm ningelipenda kuuona kwenye chaguzi zote za nchi yetu. Ni imani yangu, kwamba kama chaguzi zetu zingekuwa na uwazi...
  15. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenezi CCM Moshi Vijijini anavyobeba watia nia majimbo ya Moshi Vijijini na Vunjo

    Wakati CCM kupitia viongozi wake wakuu wanakemea kampeni za mapema na viongozi kubeba wagombea/watia nia hali huko wilaya ya Moshi Vijijini ni tofauti. Mwenezi wa CCM wilaya hiyo aitwaye Huseni Abduli eikei mwenyekiti anayeishi mji wa Himo amekuwa kinara wa kubeba wasaka ubunge wakiwemo Nicolas...
  16. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Seneti ya Marekani itajadili hali ya Kisiasa Tanzania wakati wowote mwezi huu, hapa CCM lazima wapoteane

    Kuna habari nimepenyewezewa sekunde kadhaa zilizo pita na mtu wa uhakika kwamba Seneti ya Marekani ndani ya mwezi huu wanaweza jadili hali y Kisiasa Tanzania na wao kuja na Maazimio yao ambao yanaweza kuwa balaa na kufanya CCM wapoteane. Kuna Movement zinaefanyika na pia utakunbuka CHADEMA ni...
  17. B

    JamiiForums Tanzania Mbunge Bunge la Ulaya: Pesa zetu za Umoja wa Ulaya zinatumika kusaidia Serikali kandamizi Tanzania

    MAZITO YAJADILIWA KATIKA BUNGE LA ULAYA, TUNDU LISSU KESI YA UHAINI, ALI KIBAO KUUAWA,,WATU KUPOTEZWA N.K https://m.youtube.com/watch?v=4QH2juya5sk Wabunge wa Bunge la Ulaya wasema kuwa zile 4R za rais Samia Hassan zimetuhadaa Misaada mfano €160,000,000 na mingine mingi ya EU inatumika...
  18. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa timu ya CCM mitandaoni ishapigwa tano bila na timu CHADEMA

    Fuatilia yanayoendelea mitandaoni kwenye uwanja wa siasa .. Timu inayowa support ccm na mamluki wake iko taaban bin hoi Hawana hoja zenye mantiki bali wamebaki na uzushi na vitu vya kufikirika na kutunga vilivyokosa uhalisia. Hawana maudhui ya kutengeneza yaliyo na weledi na maono bali ni...
  19. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Papa Kutoka Marekani inawezekana isiwe habari nzuri sana kwa CCM

    Kufa kwa nyani miti yote huteleza.ndicho nachoweza kusema. Leo hii CCM wapo mbele kupambana na kanisa katoliki Tanzania. CCM wanaminya democracy na haki za raia katika uhuru wa kujieleza na kutoa maoni. Sasa.kazi kwenu kushoto Trump kulia Papa Leo Samia ana bahati.mbaya sana. Nawakumbusha tu...
  20. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Soma hapa upate elimu juu ya CCM na mikataba iliyoingia na mashirika ya misaada ya mashoga

    MaCCM wajue, sisi siyo wajinga... waache upumbavu. CCM wanakataa ushoga mdomoni, wanakubali ushoga kwenye makaratasi na mikataba ya kulinda haki za mashoga wanasaini. CCM ni walaghai wasiotaka kuwaeleza ukweli wafuasi wa mbogamboga. The Progressive Alliance (PA) ni jumuiya ya kimataifa ya...
Back
Top Bottom