business

  1. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Meet the Eastleigh Business Bay Square Mall , Nairobi’s Newest Mall under construction!!!!

  2. SAFCo_Academy

    JamiiForums Tanzania SOFTWARE Smart Accounting software for your business

    Kama unahitaji software hii basi check me on 0713388317/0757749641. Iko complete from Source documents to Final financial statements. Na imefuata sheria zote za kiuhasibu IFRS/IPSAS! Karibu sana, kwa maelezo zaidi nipigie hizo namba!
  3. Lameckjr

    JamiiForums Tanzania Taratibu za kufuatwa kwenye real estates Business

    Habari zenu Watanzania wenzangu na Wengine pia!! Naomba kufahamishwa ni Taratibu zakufuatwa ili mtu afungue real estate agent business ( uwakala wa kuuza na kununua viwanja, Mashamba na Nyumba) Nitafurahi zaidi akijitokeza Yeyote anayefanya hii ishu, ili anieleweshe zaidi!! Asante na Mungu...
  4. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Business Planning as the thinking Process

    Moja kati ya changamoto ambazo huwa nakutana nazo mara kwa mara ninapokuwa nafanya kazi na wateja wangu ni tatizo katika uandaaji wa Business Plan.Kwanza kabisa wengi hushindwa kutofautisha kati ya Business Plan Template na actual business plan.Wote tunajua na kuamini kwamba Failure to Plan is...
  5. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Kupiga mizinga kabla ya kutoa mzigo ni staili mpya ya business?

    Unatongozwa unakubali unatoa ahadi vizuri, siku ya kwenda kutoa mzigo ndio unaanza kupiga mizinga, hii ni tabia gani? Kwa nini usiseme mapema kama unauza papuchi mtu akakukatia chako alafu mkamalizana? Huu sio uungwana.
  6. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Freelance Business Executive, Courier at Mwananchi Communications Limited

    Job Summary To develop, maintain and increase a solidly dependable client base, to sell courier opportunities and provide an effective service to clients so as to maximize sales volumes and revenue targets. Full Job Description Sourcing of courier business in line with the courier sales...
  7. Fortune Akilimali

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza business cards

    Bado tunasisitiza UBORA NI KIPAUMBELE KWETU. Karibu Ujipatie Business Cards (Plastic Material) zenye ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu sana. 30,000/= per 50 Pcs. Tunapatikana Dodoma lakini Huduma inakufikia popote. Tupigie simu: 0762994422.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta Business Partener

    Habari wakuu. ELIMU: Bachelor of science in Mechanical Engineering from University of Dar es Salaam. UZOEFU Nina uzoefu wa miaka 4 kwenye masuala ya Machine design, Metal fabrication, Machine operation, Cost estimation, Project management, Leadership na mambo ya Management. KAMPUNI...
  9. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Administrative Assistant: International Business Development Foreign Policy & Diplomatic Service at High commission of Canada in Tanzania

    1. Administrative Assistant: International Business Development Foreign Policy & Diplomatic Service Job Ref: 4423 Job Title: Administrative Assistant: International Business Development Foreign Policy & Diplomatic Service Salary: TZS 27,577,247 per annum Vacancy type: Indeterminate Level...
  10. isajorsergio

    JamiiForums Tanzania Ni wakati gani jambo ulipendalo liligeuka kuwa biashara?

    Habari 👋 Kama swali linavyouliza "At what point in time did your hobby turn into a business?" au Ni wakati gani jambo ulipendalo liligeuka kuwa biashara? Binafsi jambo/mambo niyapendayo kugeuka na kuwa biashara ni 2012 ilivyoanza kuonesha mwelekeo. Niseme rasmi 2015 mambo niyapendayo ndio...
  11. Kasomi

    JamiiForums Tanzania College of Business Education (CBE)

    The College History in brief. The origin of the College of Business Education (CBE) is closely linked to the history of the Nation itself. It was soon after Independence on 9th December 1961, that the newly independent state found itself in need of trained personnel to Commercial and Industrial...
  12. ubongokid

    JamiiForums Tanzania Tanzanians reactions are just a facade - its Business as Usual

    I have learnt to always not trust politicians.I have also learn that most Tanzanians are Politicians in their own capacity and hence I can conclude that I have learnt not to trust Tanzanians. We are mourning the passing of JPM with alot of rhetorics,headline and Camera friendly swags which is...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Real estate business Tanzania inaelekea kufa kabisa, kwa sasa inapumulia mashine

    Biashara ya kujenga na kupangisha Tanzania inaelekea kufa kabisa. Sasa hivi hii biashara inapumulia mashine ICU. Kwa wakazi wa Dar es Salaam mtakuwa mashahidi, malls nyingi na majengo mengi ni matupu miaka sasa, Mkuki house sasa inaanza kujaa panya, Quality Centre and Plaza mnajua...
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi GSM: Business Development Manager

    Position: Business Development Manager Reporting to: General Manager dotted line to Chief Commercial Officer Responsibilities: Oversee entire sales of GSM Home Products countrywide channeled to Key Accounts Understand requirements and champion bidding process to win tenders from...
  15. Z

    JamiiForums Tanzania Anatafutwa Business Partner kwa ajili ya kusimamia biashara ( Mtaji upo)

    Wadau Natafuta mtu wa kusimamia biashara ninayotaka kuanzisha ( bidhaa ndogo ndogo) , awe na sifa zifuatazo; 1. Awe na uzoefu na upeo wa kufanya biashara hasa za bidhaa ndogo ndogo 2. Awe na uzoefu katika mambo ya kutafuta masoko 3 .Awe na elimu ya kawaida lakini ambayo imempa upeo...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Business Development Coordinator at ISACA Tanzania Chapter

    ISACA Tanzania Chapter became operational in March 2002 and became the fourth country in Africa to formulate the local chapter. The idea to formulate a Chapter started in 1999 with the objectives of raising awareness in the areas of information system auditing, security and control due to the...
  17. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje mtu kasoma business administration degree halafu hawezi fungua hata genge la kuuza nyanya. A business administrate?

    Hivi inakuwaje mtu kasoma business administration degree halafu hawezi fungua hata genge la kuuza nyanya a business administrate? Genge la kuuza nyanya mtaji elfu 20 Hizo skili zake za business administration anataka akazionyeshee wapi?
  18. F

    JamiiForums Tanzania BRELA ( Business Registration and Licensing Agency) kuna matatizo makubwa! Waziri wa Viwanda na Biashara tunakuomba uingilie kati haraka!

    Matumizi ya teknolojia yanapochukua nafasi kila mtu anategemea ufanisi kuongezeka! Hii imekuwa kinyume kabisa kwa BRELA, inaumiza, kuleta hasira na hasara sana kwa Wafanyabiashara. Mwaka jana mwezi wa nne 2020 nilianza mchakato wa kuhuisha taarifa za kampuni yangu ili kuomba leseni za...
  19. Kevin85ify

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Projects that will cement Nairobi status as the top business hub in sub-Saharan Africa

    That Nairobi is currently a huge construction site is not in doubt. Here are a select few projects that will change the face of Nairobi over the next 2 years and cement Nairobi as the preferred Business hub of sub-Saharan Africa. Nairobi commuter Rail (Phase 2) After an outstanding two...
Back
Top Bottom