Ambaye amekwazwa na shughuli za uchaguzi akalalamike kwenye Bunge au Mahakama za Afrika Mashariki – Naibu Waziri wa Katiba na Sheria

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,500
9,279
Serikali imewataka watu ambao hawaridhiki na mwenendo wa shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, bado wanayo fursa ya kufungua kesi kwenye Mahakama za Afrika Mashariki au kushtaki katika Bunge la Afrika Mashariki.

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt Damas Ndumbaro leo Bungeni jijini Dodoma wakati wa kipindi cha maswali na majibu ambapo alikuwa akijibu swali la Mbunge wa CUF, Ally Saleh.

Ally Saleh alidai kwa kuhoji kuwa tabia ya kuwakata wagombea wa upinzani kwa zaidi ya asilimia 90, Tanzania inakiuka matakwa ya Afrika Mashariki.

Akijibu swali hilo Naibu Waziri Damas Ndumbaro, amesema kwa mujibu wa mkataba wa Afrika Mashariki, ambao wanaona mambo hayako sawa wanayo nafasi ya kwenda huko.

“Tanzania inafuata misingi ya utawala bora ya Afrika Mashariki, ambaye amekwazwa akalalamike Bunge au Mahakama za Afrika Mashariki.” amesema Ndumbaro.
 
Kesi itaamuliwa 2021 watu watakuwa wameshamailiza chaguzi zote wanasubiri 2025
 
Serikali imewataka watu ambao hawaridhiki na mwenendo wa shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, bado wanayo fursa ya kufungua kesi kwenye Mahakama za Afrika Mashariki au kushtaki katika Bunge la Afrika Mashariki.

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt Damas Ndumbaro leo Bungeni jijini Dodoma wakati wa kipindi cha maswali na majibu ambapo alikuwa akijibu swali la Mbunge wa CUF, Ally Saleh.

Ally Saleh alidai kwa kuhoji kuwa tabia ya kuwakata wagombea wa upinzani kwa zaidi ya asilimia 90, Tanzania inakiuka matakwa ya Afrika Mashariki.

Akijibu swali hilo Naibu Waziri Damas Ndumbaro, amesema kwa mujibu wa mkataba wa Afrika Mashariki, ambao wanaona mambo hayako sawa wanayo nafasi ya kwenda huko.

“Tanzania inafuata misingi ya utawala bora ya Afrika Mashariki, ambaye amekwazwa akalalamike Bunge au Mahakama za Afrika Mashariki.” amesema Ndumbaro.
kwani jamaa si washajitoa wao si waendelee tu na uchaguzi wao???mbona kila mtu anatoa tamko lake kila siku?
 
Hata siku moja usikubali kufuata ushauri wa mpinzani/adui yako.
 
Serikali imewataka watu ambao hawaridhiki na mwenendo wa shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, bado wanayo fursa ya kufungua kesi kwenye Mahakama za Afrika Mashariki au kushtaki katika Bunge la Afrika Mashariki.

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt Damas Ndumbaro leo Bungeni jijini Dodoma wakati wa kipindi cha maswali na majibu ambapo alikuwa akijibu swali la Mbunge wa CUF, Ally Saleh.

Ally Saleh alidai kwa kuhoji kuwa tabia ya kuwakata wagombea wa upinzani kwa zaidi ya asilimia 90, Tanzania inakiuka matakwa ya Afrika Mashariki.

Akijibu swali hilo Naibu Waziri Damas Ndumbaro, amesema kwa mujibu wa mkataba wa Afrika Mashariki, ambao wanaona mambo hayako sawa wanayo nafasi ya kwenda huko.

“Tanzania inafuata misingi ya utawala bora ya Afrika Mashariki, ambaye amekwazwa akalalamike Bunge au Mahakama za Afrika Mashariki.” amesema Ndumbaro.
Mleta mada atakuwa ni mmoja wa Vila.za wa CHADEMA! Toka lini Wizara ya Sheria na Katiba ikawa na Naibu Waziri Bungeni. Ndio maana tunawambie muwe mnatulia kujifunza mambo na muache mihemuko!
Dr.Damas Ndumbaro ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje..........
 
Serikali imewataka watu ambao hawaridhiki na mwenendo wa shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, bado wanayo fursa ya kufungua kesi kwenye Mahakama za Afrika Mashariki au kushtaki katika Bunge la Afrika Mashariki.

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt Damas Ndumbaro leo Bungeni jijini Dodoma wakati wa kipindi cha maswali na majibu ambapo alikuwa akijibu swali la Mbunge wa CUF, Ally Saleh.

Ally Saleh alidai kwa kuhoji kuwa tabia ya kuwakata wagombea wa upinzani kwa zaidi ya asilimia 90, Tanzania inakiuka matakwa ya Afrika Mashariki.

Akijibu swali hilo Naibu Waziri Damas Ndumbaro, amesema kwa mujibu wa mkataba wa Afrika Mashariki, ambao wanaona mambo hayako sawa wanayo nafasi ya kwenda huko.

“Tanzania inafuata misingi ya utawala bora ya Afrika Mashariki, ambaye amekwazwa akalalamike Bunge au Mahakama za Afrika Mashariki.” amesema Ndumbaro.
Hii imekaaje?
 
Back
Top Bottom