Hello JF,
Mwenzenu nahisi Bunge lijalo litakuwa very interesting...
Je, watanyamaza kimya pale mambo yatakapokuwa against matarajio yao?
Pale je mambo yakifanyika bila kuwashirikisha, watakua na uthubutu wa kuhoji?
I'm sure wengine japokua mmebebwa mkapelekwa Bungeni, still kuna some of you...