johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,877
Akizungumza mubashara katika kipindi cha Jicho letu ndani ya habari kinachoongozwa na Nyanda " Mtozi" mwandishi mbobezi Moses Methew amemtaka msemaji mkuu wa serikali Dkt. Abbas atoke hadharani kuelezea sakata la bunge la EU na Tanzania.
Moses anasema hakuna sababu ya kulinyamazia swala hili kwani linagusa maisha ya watanzania wote na kwamba taarifa ya balozi wetu Ubelgiji haitoshi na haiwafikii wananchi wote.
Kipindi kinaendelea....
Ni Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Moses anasema hakuna sababu ya kulinyamazia swala hili kwani linagusa maisha ya watanzania wote na kwamba taarifa ya balozi wetu Ubelgiji haitoshi na haiwafikii wananchi wote.
Kipindi kinaendelea....
Ni Star tv
Maendeleo hayana vyama!