bukoba mjini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mgt software

    Watia nia Jimbo la Bukoba Mjini wambana Mbunge Byabato kugawa mitungi ya gesi, naye ajibu

    Mh. Byabato akijibu tuhuma za kugawa mitungi 70 kwa wapiga kura wake bika kukamilika. August 2. 2022 aligawa mitungi 100 nayo bila kukamilika Neema Lugangira viti maalum Kagawa 300 ikiwa imekamilika. Wadau wanauliza kulikoni Mbunge na Waziri agawe mitungi 170 bila kukamilika? Wakati burners na...
  2. DodomaTZ

    DOKEZO Mamlaka za Uhamiaji tusaidieni Bukoba Mjini, kuna raia wa kigeni anatishia maisha ya watu

    Jeshi la Uhamiaji Tanzania tunawashukuru kwa kazi nzuri, tunaomba msaada huku Bukoba Mjini, kuna jamaa mmoja raia wa Uganda anaishi Mtaa wa Kagondo, aliua mtu kwa kumchoma na moto, jamaa huyo ni Mwalimu wa chekechea anaitwa Karangwa Pascal. Alikamatwa yuko Polisi Bukoba sasa hivi ni wiki mbili...
  3. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Stephen Byabato Mgeni Rasmi Mkutano wa CCM Bukoba Mjini

    WAKILI STEPHEN BYABATO(MB) MGENI RASMI MKUTANO WA CCM BUKOBA MJINI. Naibu Waziri wa Nishati na Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Mhe. Stephen Byabato tarehe 12 Machi, 2023 alikuwa mgeni rasmi katika Mkutano wa hadhara wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Bukoba Mjini. Kupitia Kikao Hicho Mhe...
Back
Top Bottom